NAWAHABARISHA WAKEREKETWA WA CCM KUWA CCM SI MALI YOA ILA NI MALI YA MAKAMBA NA MSEKWA.HAWA WAHESHIMIWA WAMETOA KAULI ZINAZODHIHIRISHA HAYA.
MFANO MSEKWA ALITOA RUHUSA KWA "WANACCM WALIOSHINDWA...
Jamani wanajamvi tangu nchi yetu Tanzania ipate uhuru ni maraisi wanne sasa tunao kuna mengi ya kujiuliza nini tumepata na nini tumekosa katika ngwe zote nne za marais wetu,sina kumbukumbu nzuri...
Hii ni tanzania ninayoitamani, nchi imara ambayo watu wake wanajali uwezo wa mtu wa kuongoza Dr. Slaa. Mashehe watamke Dr Slaa ni chaguo la Mungu wamuunge mkono.
Moja ya hotuba zilizovuta hisia za watu wengi nchini mwaka huu ni ile iliyotolewa na mheshimiwa rais tarehe 3 mei. Hotuba ile mpaka sasa bado inajadiliwa mitaani na wengine wameanza kuitumia kwa...
WAGOMBEA kutoka vyama mbali mbali vya siasa nchini, wamejitokeza katika ofisi za Tume ya Uchaguzi, Manispaa ya Kinondoni kwa ajili ya kuchukua fomu za kugombea ubunge.
Wagombea 31 walifika...
JUZI SERIKALI IMETANGAZA KUONGEZEKA KWA KIMA CHA CHINI NA WARAKA UANONYESHA KUWA KIMA CHINI KIMETOKA KUTOKA TSH 135,000/= ALICHOTANGAZA JK SIKU ANAVYUNJA BUNGE HADI TSH 260,000/= AMBACHO NDICHO...
Wadau, mara kadha nimekuwa najiuliza hili swali: Baada ya kuona Takukuru ikiingilia rushwa katika mchakato wa kura za maoni za ugombea wa CCM, na kufanikiwa kuwanasa watoa rushwa kadha makada wa...
Kuna mtakao kasirika na wengine kufurahia au hata kulalamika. Huu ujumbe wa huyu jamaa wa CUF nimeusoma mahali na nimeona ni heri tuusome wote.
Wale wanaokwepa hoja, ngoja niwawekee tena hapa...
Ama kweli jana nilikuwa nikiangalia Taarifa ya habari saa 2 za usiku kupitia TBC1 na kumuona Kapt.John Chiligatti akisema viti maalum vimeongezwa hadi kufikia 100, sasa mimi naomba kuuliza hivi...
Kada wa muda mrefu wa CCM Arcado Ntagazwa ameamua kujiunga rasmi na chama cha Chadema.
Mzee Ntagazwa amewahi kuwa waziri katika awamu ya kwanza na ya pili ya serikali ya Tanzania.
Katika...
Kujaribu kuvunja Jamhuri ya Muungano kwa kisingizio chochote kile cha kisiasa ni uhaini. Mnaweza kutafuta kura na support ya wapiga kura lakini ukweli ni kuwa kuna nchi moja ambayo ni Jamhuri ya...
Jamani Waungwana wezangu mimi nashindwa kuelewa matamshi ya viongozi wakuu wa CCM kuelekea uchaguzi mbona hayaendani na chama kinachotegemea sanduku la kura kupata ushindi. Mwenyekiti wao alisema...
Na Mwandishi wetu.
Elias Kundecha.
10.08.2010
Habari za kurudi kwa Zanzibar kama nchi nje ya mipaka yake na ndani ya Jamhuri ya Muungano kumeibua hisia mpya za viongozi waandamizi ndani ya Chama...
Kwa kipindi cha bunge 2005-2010, Mhe. Jenista Mhagama (CCM, Peramiho) amekuwa mbunge hai (active) kati ya wabunge wote (zaidi ya 270). Katika bunge hilo (2005-2010) Mhe. Mhagama aliuliza maswali...
Tanganyika, Z`bar na gundi ya miaka 45
Na Conges Mramba
AGOSTI mwaka jana, waliojitambulisha kuwa ni Wazanzibari waishio Uingereza, walinishambulia kwa maneno makali, kuandika gazetini kwamba...
Kwa nchi kama Marekani, wagombea uraisi wote wa vyama vikubwa (Republicans na Democrats) hupewa ulinzi Secret Service wakati wa kampeni hadi uchaguzi unapoisha.
Je kwa Tanzania, wagombea kama...
JK ALITOA TAMKO KWAMBA HATA KAMA WAKIGOMA KWA MIAKA 8 HAKUNA BADILIKO KWENYE MISHAHARA NA KIKUBWA WATAAMBULIA KUPEWA NGEU,TUCTA NA WANASIASA WALIPOTIA HAMASA WAFANYAKAZI KUTOMPA KURA JK NA CHAMA...
Baada ya kuenguliwa kwa Bwana Mwakalebela, wana CCM wengi wameonesha kukerwa na kitendo hicho.
Kumekua na matukio Mengi yakiwemo na kuchana kadi za uanachama Mbele ya ofisi zao(CCM) hapa iringa...
Wadau wa JF ningeomba kujua matokeo ya kura za maoni katika jimbo la bariadi mashariki kwa tiketi ya CCM kuanzia nafasi ya kwanza hadi ya tano.
Nina interest ya kisiasa na hili jimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.