Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MWASISI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Katibu Mtendaji wa pili wa chama hicho, Balozi Daudi Mwakawago amewashauri viongozi wa serikali wanaotuhumiwa kwa ufisadi wajiondoe katika nafasi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
BALOZI Daudi Mwakawago, ambaye ni mwasisi na Katibu Mtendaji wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) asema chama hicho kinabidi kiongeze muda wa kufanya mkutano wake mkuu ili kuweza kuwapa wajumbe muda wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Na mwandishi wetu Mazungumzo ya Rais Jakaya Kikwete na Rais George W. Bush wa Marekani, yamezua mtafaruku nchini Kenya, hasa baada ya kubainika kuwa moja ya ajenda katika mazungumzo hayo...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndugu wana Bodi kumekuwa na hoja nyingi ambazo zimejizokeza hasa la madaraka ya Urais waNchi yetu,Kuna watu wamnampigia chepuo Wazitri Mkuu Lowassa na wengine wanasema kitendo cha Membe kung;ara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Askofu mstaafu Dkt. Mushemba Akizungumza kwenye hafla hiyo, Askofu Mkuu Mstaafu wa KKKT Dkt. Samson Mushemba alimpongeza Rais Kikwete kwa kufafanua chanzo cha mjadala huo na kusema ni salamu...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari ambazo zimeingia sasa hivi ni kuwa wananchi wa jamii ya Kimasai huko Kilosa wamejikuta wakichomewa nyumba zao kwa amri ya Mkuu wa Gereza la Mbigiri. Amri hiyo imetekelezwa bila kufuata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Na ITV Habari Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji- EWURA, inaandaa utaratibu mpya wa uagizaji wa bidhaa za mafuta ya petroli kutoka nje ambapo zitakuwa zikiingizwa na kampuni moja tu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
::Makala za Uchumi Jumatano Nov 07, 2007 •Kikwete alivyovutia wawekezaji Italia,kupigia debe mapinduzi ya kilimo Afrika Habari Zinazoshabihiana • Siku ya Chakula Duniani na...
1 Reactions
61 Replies
9K Views
Tuwaangalie hawa, John Chiligat, George Mkuchika, Amos Makala na Mohamed Dewji, wanaweza kuingia katika sekretarieti moja ya CCM
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Na padri privatus karugendo Baada ya kuona kwamba si wote wanaoimba yale yanayompendeza kama alivyotarajia, sasa mkubwa ameamua kutoa amri na maelezo ambayo kwayo yatawakatisha tamaa wanaomkaba...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Leo asubuhi Novemba 6 mwaka 2007 Viongozi wa Vijana wa CHADEMA Jimbo la Kawe Manispaa ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam tulipokea taarifa ya kuvunjwa kwa mara ya pili Tawi la CHADEMA la Ukombozi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Dubai ni moja ya sehemu inayoendelea kwa kasi kubwa. Cha kupendezesha ni kwamba jamaa wameamua kutumia mali ya asili waliyonayo, kama vile mafuta, kuendeleza nchi yao. Mainvesta kutoka sehemu zote...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna hoja imezuka leo ofisini kwangu juu ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzanaia bara kua inafaa apewe Makamba na siyo Msekwa. Ningependa kupata hoja za wadau wengine juu ya hili. Binafsi ninaona...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Bila ya shaka mmeanza kuona pembeni kuna sanduku la Kura. Swali la Msingi ni kuwa Kuendelea na habari binafsi za ngono za viongozi ambazo hazihusishi uvunjaji wa sheria au kuingilia utendaji wao...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Mkutano mkuu wa CCM unaanza wiki moja toka sasa na yawezekana katika historia ya CCM huo ndio mkutano mkubwa zaidi na wenye kupima mwelekeo wa CCM kwa miaka mingi ijayo. Mkutano Mkuu wa CCM kwa...
0 Reactions
75 Replies
10K Views
Mishahara sekta binafsi mwakani na Irene Mark, Dodoma SERIKALI imeahirisha kuanza kutumika kwa viwango vipya vya mishahara katika sekta binafsi. Tangazo la kuahirishwa kuanza kutolewa kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haiwezekani kupambana na mafisadi kwa maneno tu wakati huo huo bado mmewakumbatia mafisadi waliojivika ngozi ya uongozi Posted Date::10/30/2007 Serikali yapigana kujisafisha tuhuma za ufisadi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tanzanian MP Charged With Graft The Citizen (Dar es Salaam) NEWS 2 November 2007 Posted to the web 1 November 2007 Bukoba Another ruling party member of Parliament was on Thursday...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KATIKA historia ya mahusiano ya watawala na watawaliwa na hasa pale ambako yanawahusisha watu wenye historia moja na ambao wanatoka damu moja na hatma yao ni moja au watu ambao historia ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Serikali yaombwa kuingilia mgogoro Bulyanhulu na Hellen Ngoromera Tanzania Daima SIKU kadhaa baada ya Kampuni ya Barrick inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu uliopo wilayani Kahama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom