Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,241
- 113,615
Kwa nchi kama Marekani, wagombea uraisi wote wa vyama vikubwa (Republicans na Democrats) hupewa ulinzi Secret Service wakati wa kampeni hadi uchaguzi unapoisha.
Je kwa Tanzania, wagombea kama Dkt. Slaa na Ibrahim Lipumba wana ulinzi gani? Najua Kikwete kwa vile ni incumbent anapata ulinzi wake wa kila siku kama raisi. Hawa wengine inakuwaje....au vyama vyao ndio vina jukumu la kuwapa ulinzi?
Je kwa Tanzania, wagombea kama Dkt. Slaa na Ibrahim Lipumba wana ulinzi gani? Najua Kikwete kwa vile ni incumbent anapata ulinzi wake wa kila siku kama raisi. Hawa wengine inakuwaje....au vyama vyao ndio vina jukumu la kuwapa ulinzi?