Hotuba ya Mei 3: Vyombo Vya Habari(Redio na Tv stesheni) Havitutendei Haki

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,701
Moja ya hotuba zilizovuta hisia za watu wengi nchini mwaka huu ni ile iliyotolewa na mheshimiwa rais tarehe 3 mei. Hotuba ile mpaka sasa bado inajadiliwa mitaani na wengine wameanza kuitumia kwa ajili ya kampeni.
Vyombo vya habari (televisheni na redio) ambavyo hurudiarudia hotuba za waheshimiwa mfano ile iliyotolewa bungeni na raisi wakati anaingia madarakani, na nyingine nyingi zinazotolewa katika matukio mbalimbali. Hotuba hizi hurudiwa rudiwa na nyingine zimeandaliwa vipindi kama vile sikia la mkuu TBC1 nk, lakini ile ya Mei 3 sijaisikia kabisa ikirudiwa.
Sijui kwa nini wameitupa kapuni wakati ni hotuba nzuri na inafaa kusikilizwa kila wakati ili tusije kusahau maneno yenye "busara, hekima na ukali" ndani ya mheshimiwa rais.
 
Moja ya hotuba zilizovuta hisia za watu wengi nchini mwaka huu ni ile iliyotolewa na mheshimiwa rais tarehe 3 mei. Hotuba ile mpaka sasa bado inajadiliwa mitaani na wengine wameanza kuitumia kwa ajili ya kampeni.
Vyombo vya habari (televisheni na redio) ambavyo hurudiarudia hotuba za waheshimiwa mfano ile iliyotolewa bungeni na raisi wakati anaingia madarakani, na nyingine nyingi zinazotolewa katika matukio mbalimbali. Hotuba hizi hurudiwa rudiwa na nyingine zimeandaliwa vipindi kama vile sikia la mkuu TBC1 nk, lakini ile ya Mei 3 sijaisikia kabisa ikirudiwa.
Sijui kwa nini wameitupa kapuni wakati ni hotuba nzuri na inafaa kusikilizwa kila wakati ili tusije kusahau maneno yenye "busara, hekima na ukali" ndani ya mheshimiwa rais.


This Article May be resourceful in evaluating the Tanzanian media house:
17 August 2010 9:00
Threats to the media: we brought this on ourselves
Is the threat to media freedom a result of our lack of civic activism?HELGA JANSEN says that society should take the blame for threats to media due to our lack of responsibility in building a vigilant society... do you agree?
editor@thesouthafrican.com
Society and progressive civil society in particular, must take some of the blame for the state threats to the media. This is not some sensationalistic shock statement meant to upset you into action. In it lies the years of abdication from social responsibility to build a vigilant society. A society that guards its democratic freedom jealousy and vigorously - beyond the activism of media workers and NGOs. Instead, we allowed political interests and political actors to do so for us, to stand guard at the gates of a metaphorical constitutional hill, and watch out for those who would trample the hallowed grounds of democracy. Perhaps the Tata status of a fatherly Mandela in the early years lulled us to trust. Perhaps the nanny-like regime of the Mbeki years, which some say sought to squash political opposition inside the ruling party, incapacitated us, made us feel inadequate, bullied us into submission. And now the tragi-comedy played out by the Zuma regime with its kleptomaniacal overtones, have perhaps shocked us into inertia, embarrassment, cluelessness.
We brought this threat to the media on ourselves.
Throughout this has been an "independent" media, free to take up the baton for our responsibility towards our democracy. We allowed the media to become the "unofficial" opposition. The "serious journalism" of the "trashy tabloids" and the "acres of middle-class whingeing" confirmed our worst nightmares, a black ruling party would degenerate into a banana kleptocracy. The trashy tabloids dulled any reporting or portrayal of working-class political opposition, while the English-speaking dailies entrenched racial fears of "the other" through horror stories of black criminals violating innocent middle-class victims. Service-delivery failures, HIV/Aids denialism, the rape trials, and corruption tribulations of Zuma and others in the black government, and the imminent failure of the first African World Cup – these "true" stories sold newspapers.
The South African - NEWS FOR GLOBAL SOUTH AFRICANS
 
Natamani pia kupata Audio niwe nasikiliza mifano ya Mbayuwayu has kuelekea uchaguzi! Mwanakijiji kama unayo nadhani MOD wataiacha walau kwa nusu saa nihamishie kwenye hard drive!
 
Back
Top Bottom