Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
NAWAHABARISHA WAKEREKETWA WA CCM KUWA CCM SI MALI YOA ILA NI MALI YA MAKAMBA NA MSEKWA.HAWA WAHESHIMIWA WAMETOA KAULI ZINAZODHIHIRISHA HAYA.
MFANO MSEKWA ALITOA RUHUSA KWA "WANACCM WALIOSHINDWA KWENYE KURA ZA MAONI PAMOJA NA WANAOWAPENDA WANAWEZA KUHAMA CHAMA KAMA WAKIPENDA" NA HII YA URAIA WA BASHE MAKAMBA ANASEMA "NIMEPOKEA VIDHIBITISHO VYA URAIA TOKA UHAMIAJI KUWA BASHE NI RAIA LAKINI MI NASEMA BASHE SI RAIA LICHA YA KWAMBA CHAMA TUNAKIPENDA"
Kauli hizi na nyingine vyingi zinathibitisha kuwa CCM ni chama cha watu hawa wawili,KWANI WAO HUWEZA KUSEMA MANENO YA NYODO AU DHARAU NA KUAMUA MAMBO MENGI WENYEWE BILA VIKAO MUHIMU VYA CHAMA,
Je wanachama mliopo mnangoja nini? kwani hawa wanao uwezo wa kuwalinda wale wawatakao kama ilivyotokea kwa Iringa nk.Hameni muwang'oe madarakani kama kundi la wanachama wa KANU waliohama wakiing'oa KANU madarakani.Karibuni CHADEMA tuungane kuking'oa Chama Cha Majungu (CCM).
MFANO MSEKWA ALITOA RUHUSA KWA "WANACCM WALIOSHINDWA KWENYE KURA ZA MAONI PAMOJA NA WANAOWAPENDA WANAWEZA KUHAMA CHAMA KAMA WAKIPENDA" NA HII YA URAIA WA BASHE MAKAMBA ANASEMA "NIMEPOKEA VIDHIBITISHO VYA URAIA TOKA UHAMIAJI KUWA BASHE NI RAIA LAKINI MI NASEMA BASHE SI RAIA LICHA YA KWAMBA CHAMA TUNAKIPENDA"
Kauli hizi na nyingine vyingi zinathibitisha kuwa CCM ni chama cha watu hawa wawili,KWANI WAO HUWEZA KUSEMA MANENO YA NYODO AU DHARAU NA KUAMUA MAMBO MENGI WENYEWE BILA VIKAO MUHIMU VYA CHAMA,
Je wanachama mliopo mnangoja nini? kwani hawa wanao uwezo wa kuwalinda wale wawatakao kama ilivyotokea kwa Iringa nk.Hameni muwang'oe madarakani kama kundi la wanachama wa KANU waliohama wakiing'oa KANU madarakani.Karibuni CHADEMA tuungane kuking'oa Chama Cha Majungu (CCM).