Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Lazima kitumike kidogo kupata kikubwa si kikubwa kupata kidogo. Maana hata kazi mbaya(ndogo) huzaa kazi nzuri (kubwa). Hatuwezi kuanza juu kushuka bali chini kukwea huku tukitumia kanuni ya hapo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndg wan JF, Kulingana na tathimini ya mwenendo mzima wa kampeni za uchaguzi kwa takribani siku 40, wapiga kura wameonyesha dhahiri kuwa CHADEMA itashinda katika majimbo yafuatayo; Hizi sio hisia...
0 Reactions
73 Replies
8K Views
Baada ya watu kuongelea saana kuhusu Kihehere1, 2 and 3 naona kampeni zao zime poa? kulikoni? wamekataa tamaa au nimi mimi kukosa mawasiliano nao/magazeti/redio au wanajadiliana kwanza. hatua za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bnafsi nilikua najua Dr. Slaa Atatembelea Iringa Tar 3 mwezi wa Kumi. Nashangazwa katika mitandao fulani kuwa Dr. atakua Iringa leo. yaani tar 2 October. Pita pita zangu mitaani wengi wanajua Dr...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ujerumani yashangazwa kutoendelezwa Reli ya Kati Na Mashaka Mgeta Serikali ya ujerumani imesema ni aibu kwa Tanzania kuiacha reli ya kati inayoendeshwa na Shirika la Reli nchini (TRL)...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii,nilikua natafakari sana urais kwa ndugu zetu wa Zanzibar,nimeona kua ni Vizuri wakampa Kura Maalim Seif wa CUF.Ukiangalia Dr Shain alipokua makamu wa Rais,amefanya kitu gani cha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Daniel Mjema,Moshi MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro,Christopher Ole Sendeka (CCM) amemtetea mgombea Urais wa CCM, Jakaya Kikwete kuwa ni kinara wa vita ya ufisadi. Alisema rais Kikwete ni kinara wa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
tembelea www.friendsofslaa.blogspot.com ndio nimeinas humu naona imeanzishwa na wanaompenda .
0 Reactions
16 Replies
3K Views
  • Closed
Jamani si kwamba nimehisi tishio lolote la hatari la kiusalama nchini kwetu. Leo nimeona na kusikiliza katika CNN wenzetu (USA) wakidadavua mjadala kama mfumo wao wa rangi wa kushauri hali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau, nimeipata stori hii katika Tanzania Daima ya leo uk. wa 3: Ujanja wa CCM wagundulika N Mwandishi wetu, Dodoma MBINU chafu za Chama cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
JK: Bila safari za nje tungekufa njaa Na Joseph Mwendapole * Asema hawezi kubakia Ikulu akimtazama Salma * Anataka akumbukwe kwa kujenga barabara, maji Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
1. CCM hadi hivi sasa imefanya juhudi kubwa za kuifanya CHADEMA ionekane kama chama chenye fujo na kinaharibu "utulivu na amani" wa Watanzania! CHADEMA bila kujua hila za CCM kimeingia mkenge...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Najua kua humu ndani kuna wanasheria waliobobea.Hivi CCM inapoamua kumpiga mtu au kundi la watu picha na kuamua kuweka publically kwenye mabango yao na bila ridhaa ya watu husika kwa manufaa ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna Askofu mmoja huko Moshi alisema kuwa uchaguzi mkuu mwaka huu utashangaza na kama haitakuwa hivyo basi yuko tayari kupigwa mawe. Nakubaliana naye na hapa kuna mengi ya kuangalia. Ndio mwaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dr. Slaa leo ameanza kuwakawaka channel ten Katika taarifa ya habari ya channel ten ya jioni ya leo, Dr. Slaa ameonyeshwa akiwa anahutubia mkutano wake wa kampeni huko Ifakara...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
...Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la D'Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amesema kwamba madai kwamba mgombea fulani ni chaguo la Mungu huo si usemi wa Kanisa Katoliki wala si msimamo wa Kanisa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kuelekea uchaguzi mkuu,ubaguzi wa rangi,udini na ukabila vipigwe vita Na JUMA KIDOGO Kwanza kabla ya yote nitakuwa mchache wa fadhila kama sinta mshukuru Mungu ambaye ameniwezesha leo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
brahim Bakari, Kaliua MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete amesema anataka Watanzania wamkumbuke kwa mambo nane wakati atakapoondoka Ikulu 2015. Kikwete alisema hayo alipokuwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimejaribu ku-attach makala kuhusu maelezo ya Jenerali Ulimwengu jana Chuo Kikuu Dar.
0 Reactions
111 Replies
17K Views
Back
Top Bottom