Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Dr. Slaa leo ameanza kuwakawaka channel ten
Katika taarifa ya habari ya channel ten ya jioni ya leo, Dr. Slaa ameonyeshwa akiwa anahutubia mkutano wake wa kampeni huko Ifakara.
Yaelekea channel ten imesitisha mgomo wake baridi.
Hongera channel ten kwa kuweka utaifa na maadili ya kazi mbele.
Katika taarifa ya habari ya channel ten ya jioni ya leo, Dr. Slaa ameonyeshwa akiwa anahutubia mkutano wake wa kampeni huko Ifakara.
Yaelekea channel ten imesitisha mgomo wake baridi.
Hongera channel ten kwa kuweka utaifa na maadili ya kazi mbele.