Elections 2010 Pengo akanusha kauli ya "CHAGUO LA MUNGU"

Mdanganywa

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
620
342
...Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la D'Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amesema kwamba madai kwamba mgombea fulani ni chaguo la Mungu huo si usemi wa Kanisa Katoliki wala si msimamo wa Kanisa katoliki, bali ni maneno ya watu binafsi kwa nafsi zao.

"Wanasema kuwa fulani ni chaguo la Mungu, je na hao wengine ni chaguo la nani?". Alisema kuwa misemo ya namna hiyo na mingine inaweza kuleta tatizo katika jamii na kutaka kila mtanzania kuwa makini na mambo ya namna hiyo. {Refer: TUMAINI LETU, October 01-07, 2010, pg. 01-02}....
 
...Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la D'Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amesema kwamba madai kwamba mgombea fulani ni chaguo la Mungu huo si usemi wa Kanisa Katoliki wala si msimamo wa Kanisa katoliki, bali ni maneno ya watu binafsi kwa nafsi zao.

"Wanasema kuwa fulani ni chaguo la Mungu, je na hao wengine ni chaguo la nani?". Alisema kuwa misemo ya namna hiyo na mingine inaweza kuleta tatizo katika jamii na kutaka kila mtanzania kuwa makini na mambo ya namna hiyo. {Refer: TUMAINI LETU, October 01-07, 2010, pg. 01-02}....

Lyatonga ndo alisema
 
Ni kweli, Mungu hapigi kura wala halazimishi watu kumchagua nani. Isipokuwa watu huchagua wanaemtaka kwa utashi wao wenyewe. Hivyo kusema fulani ni chaguo la Mungu ni kind of mind setting ya washupavu wa kidini.
 
Ukisikia hayo ujue chizi kanyang'anya microphon harafu karopoka. Sisi Mungu aliye tuumba kwa mfano wake, anawezaje kutuchagulia mtu anaye anguka anguka kwenye majukwaa na kupoteza fahamu?????????????????????????????????????????? atuombe radhi aliyesema hivo.
 
Ahsante Pengo!
Kanisa kama entity liko makini sana kwa upande wa kauli.
Na ijulikane kuwa watu wanaoongea kwa niaba ya kanisa wana feelings zao, na kuna masuala kadha yanayowa elemea, hivyo kanisa lisilaumiwe muda wote!
 
Back
Top Bottom