Kibunago
JF-Expert Member
- Jan 11, 2008
- 300
- 122
Jamani si kwamba nimehisi tishio lolote la hatari la kiusalama nchini kwetu.
Leo nimeona na kusikiliza katika CNN wenzetu (USA) wakidadavua mjadala kama mfumo wao wa rangi wa kushauri hali ya usalama kwa wananchi na asasi zote bado unafaa.
Maswali:
1. Je sisi tuna mfumo gani wa kuwajulisha wananchi wakati wa janga dhanio lolote la kiusalama ili kila mwananchi awe tayari katika kuchukuwa hatua zinazopaswa pindi tapatapo kielekezo fulani?
2. Kama tunao mfumo fulani, je wananchi walio wengi wanaufahamu na ubora wake ukoje
4. Kama unafikiri hatuna tufanye nini
Hapa chini unaweza kuona Marekani wanavyotumia rangi kumaanisha hali tofauti ya usalama.
Leo nimeona na kusikiliza katika CNN wenzetu (USA) wakidadavua mjadala kama mfumo wao wa rangi wa kushauri hali ya usalama kwa wananchi na asasi zote bado unafaa.
Maswali:
1. Je sisi tuna mfumo gani wa kuwajulisha wananchi wakati wa janga dhanio lolote la kiusalama ili kila mwananchi awe tayari katika kuchukuwa hatua zinazopaswa pindi tapatapo kielekezo fulani?
2. Kama tunao mfumo fulani, je wananchi walio wengi wanaufahamu na ubora wake ukoje
4. Kama unafikiri hatuna tufanye nini
Hapa chini unaweza kuona Marekani wanavyotumia rangi kumaanisha hali tofauti ya usalama.