Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

jamani hii habari sijaielewa huyu anasema kweli au just ndio fitna zenyewe? iweje donge wakatae kufanyika mikutano ya siasa hule kwao? source Michuzi ZENGWE LA KAMPENI JIMBO LA DONGE...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) in Mpanda District, Katavi Region, has suspended indefinitely five of its members from the party for allegedly campaigning for an opposition aspirant. The suspended...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Send to a friend Friday, 15 October 2010 07:40 0diggsdigg Patricia Kimelemeta, Kigoma MGOMBEA urais kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Hashimu Rungwe jana alipata wakati mgumu baada ya wananchi wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani wana JF. Leo majira ya asubuhi nimeona kitu cha ajabu. CCM wamethubutu kutundika bendera za chama chao kwenye yadi ya makaburi ya wafu pale maeneo ya Buguruni. What is the meaning of this?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wizi na uwongo, ni ujanja nilorithi kutoka kwa mama yangu mimi, vyote mkagundua, mkaona silingani kabisa kuwaongoza. Na kama haitoshi, mkakata kabisa na shina la mabango yangu mimi, eti kisa...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
UCHAGUZI WA MWAKA 2005 WACHUNGAJI WALIMWITA JK KAMA NI CHAGUO LA MUNGU MWAKA HUU INAONEKANA WACHUNGAJI WAMETOFAUTIANA KAMA VILE KURA ZA MAONI ZINAVYOTOFAUTIANA HABARI ZAIDI GONGA HAPA: HabariLeo |...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
16th October 10 Utafiti mpya wajibu Redet na Synovate Elizabeth Zaya Baada ya Taasisi ya Utafiti na Demokrasia (Redet) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Kampuni ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Sasa mambo yameiva, asiye na mwana aeleke jiwe! Mwaka 2005 katika kampeni za uchaguzi CCM walishangazwa na CHADEMA kutumia Helkopta kufanya kampeni katika nchi masikini kama Tanzania. Katika...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Katika hali isiyo ya kawaida magazeti mawili ambayo tunachukulia wote wahariri wao walikuwepo kwenye mkutano wa waandishi wa habari wa TCIB yaani Tanzania Citizen Information Bureau lakini wametoa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Ichi kipindi leo kuanzia 21hrs mpaka 22hrs TBC kilihudhuliwa na JAHAZI ASILIA,CHADEMA(MWAIPAJA),TLP (MLUGE) ,CUF etc Wagombea wote walijiandaa vya kutosha kwa jinsi walivyokuwa wakiongea. Kati...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chadema naomba saana sasa mkae mbale na fujo nk wanataka kusababisha machafuko ili wawe pake matope au kuharisha/kuhahirisha uchaguzi, na pia muwaulize wateja wenu wanataka kuuzwa na kuibiwa basi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ukisikia kuchanganyikiwa ndio huku,leo akiwa mlandizi jk mbele ya kipaza sauti chake kiliwekwa kibao kilichoandikwa maneno hayo:for a fair future for all,vote for ccm,akaendelea kuhutubia akisema...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
‘Uchafu' wa mgombea Sumbawanga watua kwa Makamba * Apelekewa barua, picha za Mhindi akifanyiwa unyama * AFORD, asasi za kiraia zataka CCM ichukue hatua Na Waandishi Wetu, Dar na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya yote ni sehemu ya udhaifu wa CHADEMA na CUF lakini kuna mengi zaidi ya haya hasa kwa upande wa CHADEMA ambao wanaendesha propaganda zisizo na mwelekeo wala ujazo wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
By The guardian reporter Two Kiswahili tabloids, Rai and Tanzania Daima, have been identified as the most notorious in negative publicity to political parties participating in the ongoing...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni jambo la kawaida kabisa hususani kwa nchi zilizoendelea kidemokrasia wakati mkiwa kwenye kampeni na ushindi mnono unanukia kuanza maandalizi ya kukamata dola na kushika hatamu za uongozi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilikua nawaza sana na nikatafuta wa kumlinganisha Slaa na rais yeyote aliyewahi kuishi au aliyepo.Nimegundua Dr Slaa ni Sawa na Baraka Obama.Kama dunia ilivyokua inatamani sana America kuongozwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
hadi sasa polls za gazeti linalosomwa na wengi la mwananchi,jumla ya voters 3525 matokeo kama ifuatavyo dr slaa 71.1% kikwete22.4% lipumba 4.5% tlp na nccr wamepata 0.5 kila mmoja ukiangalia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna hili bango la wizara ya afya ambalo limekuwa pale ocean road takriban miezi miwili sasa. Ni wazi linampigia JK kampeni, na tume haikutoa amri ya kuliondoa. Tukumbuke rais wetu mteule Slaa ana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom