Chadema naomba saana sasa mkae mbale na fujo nk wanataka kusababisha machafuko ili wawe pake matope au kuharisha/kuhahirisha uchaguzi, na pia muwaulize wateja wenu wanataka kuuzwa na kuibiwa basi wapigie chama ......., na kama wamechoka kuuuzwa na kuibiwa basi wapigie chama wanacho ona kinafaa. iwe chadema, ccm, nccr, cuf tlp ni wao wenyewe waamue maana watanzania wanajua sera na vyama vinavyo gombea na ubore wenu au wao, play it wisely/diplomatically/carefully haina haja ya kutumia nguvu saaana kwa mtu anaye mlevi ambaye anaanguka mwenyewe, kwa nini kujitafutia kesi.