Elections 2010 Mh Slaa amkoromea Kikwete: Disco au Sera?

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
3,804
1,871
Sasa mambo yameiva, asiye na mwana aeleke jiwe!

Mwaka 2005 katika kampeni za uchaguzi CCM walishangazwa na CHADEMA kutumia Helkopta kufanya kampeni katika nchi masikini kama Tanzania. Katika uchaguzi mdogo wa Mara CCM wakaiga matumizi ya Helkopta, lakini baada ya uchaguzi Makamba akapiga marufuku kwa CCM kutumia Helkopta. Kwani mfuko ulitoboka sana bila mafanikio.

Mwaka huu CCM wamekuja na mpya 'Bongo flavor' mpaka asubuhi. Usisahau usafiri wa malori. Baada ya kuona mtindo huo umefanikiwa sana katika kuwakusanya vijana, ukimya wa Mh Slaa umemuishia na sasa ameshaanza kunena. Lakini jibu la KIKWETE NI RAHISI, KAZI NA BURUDANI. Kusanya watu kwanza ndio wape SERA.

Hii ni alama ya kuwa mambo kwa Mh Slaa hayaendi vizuri, na ameshaona kuwa hata lile lengo lake la 25% huenda asilifikie. Na ukizingatia kuwa siku zilizobaki ni chache ndio kiwewe kimempanda.

Hali sio hiyo tu bali mbaya zaidi ni kwamba mfuko wa CHADEMA umeshatoboka wakati ule wa CCM ndio kwanza unajaa.

Sasa Mh Slaa amechanganyikiwa na hajui afanye nini. Pengine kama hapa JF mtapitisha mchango kwani ni Rahisi mkiweka A/C namba.

Mpaka jibu halijapatikana, dawa iliyobaki ni kumkoromea Kikwete ili aachane wa wasanii bora, kitu ambacho ni vigumu kuwezekana.
 
Disco au wewe unaonaje?

kikwete1.jpg
 
kwako CHEGE na TEMBA ndo wasanii bora...ukiwa mlevi hata mkojo unaweza kusema ni TUSKER BARIDI
 
Sasa mambo yameiva, asiye na mwana aeleke jiwe!

Mwaka 2005 katika kampeni za uchaguzi CCM walishangazwa na CHADEMA kutumia Helkopta kufanya kampeni katika nchi masikini kama Tanzania. Katika uchaguzi mdogo wa Mara CCM wakaiga matumizi ya Helkopta, lakini baada ya uchaguzi Makamba akapiga marufuku kwa CCM kutumia Helkopta. Kwani mfuko ulitoboka sana bila mafanikio.

Mwaka huu CCM wamekuja na mpya 'Bongo flavor' mpaka asubuhi. Usisahau usafiri wa malori. Baada ya kuona mtindo huo umefanikiwa sana katika kuwakusanya vijana, ukimya wa Mh Slaa umemuishia na sasa ameshaanza kunena. Lakini jibu la KIKWETE NI RAHISI, KAZI NA BURUDANI. Kusanya watu kwanza ndio wape SERA.

Hii ni alama ya kuwa mambo kwa Mh Slaa hayaendi vizuri, na ameshaona kuwa hata lile lengo lake la 25% huenda asilifikie. Na ukizingatia kuwa siku zilizobaki ni chache ndio kiwewe kimempanda.

Hali sio hiyo tu bali mbaya zaidi ni kwamba mfuko wa CHADEMA umeshatoboka wakati ule wa CCM ndio kwanza unajaa.

Sasa Mh Slaa amechanganyikiwa na hajui afanye nini. Pengine kama hapa JF mtapitisha mchango kwani ni Rahisi mkiweka A/C namba.

Mpaka jibu halijapatikana, dawa iliyobaki ni kumkoromea Kikwete ili aachane wa wasanii bora, kitu ambacho ni vigumu kuwezekana.
mpenzi zawadi hivyo ndivyo unavyo zidi kuzeeka au wamekuloga mpenzi, nashindwa kukuelewa nami bado nakupenda.
 
Mambo ya Slaa hayaendi vizuri vipi Ngoda? Unataka na yeye aandae fiesta kama za Jakaya na magari ya kukodi kuwaleta wanachi mikutanoni? Tafuta habari utrapewa kilichotokea Mwanza wakati Kikwete alipoenda kukampeni. Wanachi kutoak Ukerewe walilala Uwanjani hadi keshoye maana hakukuwa na usafiri wa kuwarudihsa jioni ile. Kule Arusha baada ya fiesta kuisha wananchi waliatafuta namana ya kurudi vijijini kwao walipotolewa na magari ya kukodi (labda wao walipewa nauli mapema na kwa kuwa vijiji vyao vinafikika kirahisi) tofauti na wale wa Mwanza (Ukerewa) amabo hawakuwa na namna maana ni hatari kutumia mamboti kuwavusha mamia ya watu usiku.
 
Jaribu kutoa hoja. Hujaweka mezani ushahidi wa mfuko wa chadema kutoboka na ile wa ccm kutuna. Hujaweka mezani ushahidi kwamba ni pesa ndo unanunua nguvu ya wananchi. Hujathibitisha kwamba watz mwaka huu bado wanadanganyika na pesa tshirt nk

hebu anza upya, mwanzo kabisa
 
Jaribu kutoa hoja. Hujaweka mezani ushahidi wa mfuko wa chadema kutoboka na ile wa ccm kutuna. Hujaweka mezani ushahidi kwamba ni pesa ndo unanunua nguvu ya wananchi. Hujathibitisha kwamba watz mwaka huu bado wanadanganyika na pesa tshirt nk

hebu anza upya, mwanzo kabisa
 
Jaribu kutoa hoja. Hujaweka mezani ushahidi wa mfuko wa chadema kutoboka na ile wa ccm kutuna. Hujaweka mezani ushahidi kwamba ni pesa ndo unanunua nguvu ya wananchi. Hujathibitisha kwamba watz mwaka huu bado wanadanganyika na pesa tshirt nk

hebu anza upya, mwanzo kabisa

Hoja ni kwamba, anaweka Disko ili kuita watu waje kusikiliza ujumbe mahsusi. Halafu ana ujumbe mfupi 'KAZI NA DAWA'
hATA WASUKUMA WAKILIMA HUWA KUNA KUWA NA MTU MMOJA HUCHEZA DISCO AU NGOMA ZA ASILI KAMA UKIPENDA.

SASA HAPA KINACHOWAUMA NYIE NI NINI?
 
Sasa mambo yameiva, asiye na mwana aeleke jiwe!

Mwaka 2005 katika kampeni za uchaguzi CCM walishangazwa na CHADEMA kutumia Helkopta kufanya kampeni katika nchi masikini kama Tanzania. Katika uchaguzi mdogo wa Mara CCM wakaiga matumizi ya Helkopta, lakini baada ya uchaguzi Makamba akapiga marufuku kwa CCM kutumia Helkopta. Kwani mfuko ulitoboka sana bila mafanikio.

Mwaka huu CCM wamekuja na mpya 'Bongo flavor' mpaka asubuhi. Usisahau usafiri wa malori. Baada ya kuona mtindo huo umefanikiwa sana katika kuwakusanya vijana, ukimya wa Mh Slaa umemuishia na sasa ameshaanza kunena. Lakini jibu la KIKWETE NI RAHISI, KAZI NA BURUDANI. Kusanya watu kwanza ndio wape SERA.

Hii ni alama ya kuwa mambo kwa Mh Slaa hayaendi vizuri, na ameshaona kuwa hata lile lengo lake la 25% huenda asilifikie. Na ukizingatia kuwa siku zilizobaki ni chache ndio kiwewe kimempanda.

Hali sio hiyo tu bali mbaya zaidi ni kwamba mfuko wa CHADEMA umeshatoboka wakati ule wa CCM ndio kwanza unajaa.

Sasa Mh Slaa amechanganyikiwa na hajui afanye nini. Pengine kama hapa JF mtapitisha mchango kwani ni Rahisi mkiweka A/C namba.

Mpaka jibu halijapatikana, dawa iliyobaki ni kumkoromea Kikwete ili aachane wa wasanii bora, kitu ambacho ni vigumu kuwezekana.


Acha kujipendekeza kwanza wewe si mwanafamilia ebo!

_DSC0512.JPG
 
Sasa mambo yameiva, asiye na mwana aeleke jiwe!

Mwaka 2005 katika kampeni za uchaguzi CCM walishangazwa na CHADEMA kutumia Helkopta kufanya kampeni katika nchi masikini kama Tanzania. Katika uchaguzi mdogo wa Mara CCM wakaiga matumizi ya Helkopta, lakini baada ya uchaguzi Makamba akapiga marufuku kwa CCM kutumia Helkopta. Kwani mfuko ulitoboka sana bila mafanikio.

Mwaka huu CCM wamekuja na mpya 'Bongo flavor' mpaka asubuhi. Usisahau usafiri wa malori. Baada ya kuona mtindo huo umefanikiwa sana katika kuwakusanya vijana, ukimya wa Mh Slaa umemuishia na sasa ameshaanza kunena. Lakini jibu la KIKWETE NI RAHISI, KAZI NA BURUDANI. Kusanya watu kwanza ndio wape SERA.

Hii ni alama ya kuwa mambo kwa Mh Slaa hayaendi vizuri, na ameshaona kuwa hata lile lengo lake la 25% huenda asilifikie. Na ukizingatia kuwa siku zilizobaki ni chache ndio kiwewe kimempanda.

Hali sio hiyo tu bali mbaya zaidi ni kwamba mfuko wa CHADEMA umeshatoboka wakati ule wa CCM ndio kwanza unajaa.

Sasa Mh Slaa amechanganyikiwa na hajui afanye nini. Pengine kama hapa JF mtapitisha mchango kwani ni Rahisi mkiweka A/C namba.

Mpaka jibu halijapatikana, dawa iliyobaki ni kumkoromea Kikwete ili aachane wa wasanii bora, kitu ambacho ni vigumu kuwezekana.

Zawadi Ngonda 是支持 CCM 的愚蠢的人之一。

他們偷很多我們的資源,而現在他

們擔心在我們搶奪電力之後,我們將處罰他們
 
Back
Top Bottom