JK wakati akiwa Mtwara aliahidi kuwa Mtwara patakuwa kitovu kikubwa cha viwanda, ameahidi atajenga kiwanda kikubwa cha mbolea na cement chenye uwezo wa kutoa tani milioni 5 kila mwaka...
Kaahidi...
Nini maoni yako ,ikiwa Chadema itashindwa uchaguzi mkuu katika ngazi ya Uraisi ila imepata viti vingi vya ubunge ,uchaguzi ambao unaotarajiwa kufanyika mwisho wa mwezi huu ? :rip:
Wadau;kama dakika ishirini zilizopita nilikuwa napita maeneo ya mabibo nikakuta mkutano wa cuf ambapo ndugu mtatiro anahutubia pale na kilichonifanya nimpe dakika chache kwenye ratiba yangu ni...
Moja ya mambo yaliyokuwa yakiwaumiza vichwa wafuasi wa Barack Obama wakati wa kinyang'anyiro kati yake na Hillary Clinton kupata mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats mwaka...
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dr Willibrod Peter Slaa yupo leo Bukoba. Amekuwa na mkutano maeneo ya Kibengwe Bukoba vijijini na anategemea kuwa Kanyigo baadaye.
Sasa hivi anategemewa muda...
Hii ndiyo selo ambayo mafisadi wakibadili matokeo halali ya uchaguzi wa Tanzania hapo 31 Oktoba 2010 watakapokuwa wakisubiri mashitaka ya kusababisha maafa. Mafisadi ni pamoja na wale wote...
Jana cuf walikuwa na mkutano wao maeneo ya kigogo luanga kwa bit-kaenga, huwa mara zote wanatoa upupu kwenye vichwa vya watu kuhusu ccm, wanaichachafya sana ccm....sasa jana nilicheka kwa hiki...
wazee wa afrika mashariki wako mahakamani High Court wametinga kukumbushia tena kilio chao cha mafao. FFU nao wamewahi kuwalinda wakubwa wao.
walio karibu watufahamishe nini kinaendelea
UPDATE...
Dalili kubwa zinaonyesha ushindi mkubwa wa zaidi ya ule wa kura za maoni za mwanahalisi, kwani kila siku watu wenye roho za kutafuta maslahi zaidi wamekuwa wakijisogeza taratibu kwenye chama...
Guinea poll chief guilty of fraud
Head of electoral commission sentenced to one year in prison for electoral fraud, ten days ahead of presidential vote. In June, more than three million...
Wakati Bw. Edward Lowasa akiwa Waziri Mkuu aliwahi kuulizwa swali na mwanafunzi wa shule ya msingi huko Mwanza vijijini na hakulijibu bali aliomba muda zaidi wa kulifanyia kazi. Bw. Lowasa baada...
Ole wenu wazee wa CCM.
Ole wenu Mmemchunia Jamaa ana-fight peke yake na Mkewe na Wanawe,
Ole wenu akishinda Kiti cha Enzi.
Ole wenu na yeye atakavyowachunia kwa staili ya "Si Mlinichunia? Sasa...
MAKAMO Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF Bw. Machano Khamis Ali, amesema kuwa ameshangazwa na kauli ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya ya Mrisho Kikwete ya...
Kikwete kuanza kuzungumzia maneno ya uchochezi ya kumwaga damu siku moja baada ya kusambazwa inaashiria kitu gani? Lini kafanya uchunguzi na kujiridhisha kuwa si maneno ya kubuni. Je tukisema...
Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
Watoto wa halaiki walio kuwepo jana katika uwanja wa Tanganyika tar.14/10/2010 wakati wa kuzima mwenge wameandamana kwenda ofisi ya mkuu wa Mkoa Kigoma wakiimba "Tunataka haki zetu" Wanadai pesa...
<p>Naomba kikwete ujibu swali linaloulizwa na mwanafunzi ktk tangazo la polisi forum, mwanafunzi anamuuliza mwalimu baada ya uhodari wa mwalimu wa kutaka kuonyesha jinsi nchi yetu Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.