Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

JK wakati akiwa Mtwara aliahidi kuwa Mtwara patakuwa kitovu kikubwa cha viwanda, ameahidi atajenga kiwanda kikubwa cha mbolea na cement chenye uwezo wa kutoa tani milioni 5 kila mwaka... Kaahidi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Watajwa hapo wapo katika mdahalo VOA swahili sasa.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
piga kura kuiondoa ccm na tuangamize malaria sugu, the more we vote the harder it is for c.c.m to chakachua the votes more voters less ccm
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nini maoni yako ,ikiwa Chadema itashindwa uchaguzi mkuu katika ngazi ya Uraisi ila imepata viti vingi vya ubunge ,uchaguzi ambao unaotarajiwa kufanyika mwisho wa mwezi huu ? :rip:
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau;kama dakika ishirini zilizopita nilikuwa napita maeneo ya mabibo nikakuta mkutano wa cuf ambapo ndugu mtatiro anahutubia pale na kilichonifanya nimpe dakika chache kwenye ratiba yangu ni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Moja ya mambo yaliyokuwa yakiwaumiza vichwa wafuasi wa Barack Obama wakati wa kinyang'anyiro kati yake na Hillary Clinton kupata mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats mwaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dr Willibrod Peter Slaa yupo leo Bukoba. Amekuwa na mkutano maeneo ya Kibengwe Bukoba vijijini na anategemea kuwa Kanyigo baadaye. Sasa hivi anategemewa muda...
0 Reactions
142 Replies
19K Views
Hii ndiyo selo ambayo mafisadi wakibadili matokeo halali ya uchaguzi wa Tanzania hapo 31 Oktoba 2010 watakapokuwa wakisubiri mashitaka ya kusababisha maafa. Mafisadi ni pamoja na wale wote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana cuf walikuwa na mkutano wao maeneo ya kigogo luanga kwa bit-kaenga, huwa mara zote wanatoa upupu kwenye vichwa vya watu kuhusu ccm, wanaichachafya sana ccm....sasa jana nilicheka kwa hiki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wazee wa afrika mashariki wako mahakamani High Court wametinga kukumbushia tena kilio chao cha mafao. FFU nao wamewahi kuwalinda wakubwa wao. walio karibu watufahamishe nini kinaendelea UPDATE...
0 Reactions
89 Replies
14K Views
Dalili kubwa zinaonyesha ushindi mkubwa wa zaidi ya ule wa kura za maoni za mwanahalisi, kwani kila siku watu wenye roho za kutafuta maslahi zaidi wamekuwa wakijisogeza taratibu kwenye chama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Guinea poll chief guilty of fraud Head of electoral commission sentenced to one year in prison for electoral fraud, ten days ahead of presidential vote. In June, more than three million...
0 Reactions
3 Replies
894 Views
Wakati Bw. Edward Lowasa akiwa Waziri Mkuu aliwahi kuulizwa swali na mwanafunzi wa shule ya msingi huko Mwanza vijijini na hakulijibu bali aliomba muda zaidi wa kulifanyia kazi. Bw. Lowasa baada...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ole wenu wazee wa CCM. Ole wenu Mmemchunia Jamaa ana-fight peke yake na Mkewe na Wanawe, Ole wenu akishinda Kiti cha Enzi. Ole wenu na yeye atakavyowachunia kwa staili ya "Si Mlinichunia? Sasa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MAKAMO Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF Bw. Machano Khamis Ali, amesema kuwa ameshangazwa na kauli ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya ya Mrisho Kikwete ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kikwete kuanza kuzungumzia maneno ya uchochezi ya kumwaga damu siku moja baada ya kusambazwa inaashiria kitu gani? Lini kafanya uchunguzi na kujiridhisha kuwa si maneno ya kubuni. Je tukisema...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Watoto wa halaiki walio kuwepo jana katika uwanja wa Tanganyika tar.14/10/2010 wakati wa kuzima mwenge wameandamana kwenda ofisi ya mkuu wa Mkoa Kigoma wakiimba "Tunataka haki zetu" Wanadai pesa...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
<p>Naomba kikwete ujibu swali linaloulizwa na mwanafunzi ktk tangazo la polisi forum, mwanafunzi anamuuliza mwalimu baada ya uhodari wa mwalimu wa kutaka kuonyesha jinsi nchi yetu Tanzania...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom