Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Ni jambo la kawaida kabisa hususani kwa nchi zilizoendelea kidemokrasia wakati mkiwa kwenye kampeni na ushindi mnono unanukia kuanza maandalizi ya kukamata dola na kushika hatamu za uongozi.
Hatua hizi hujumuisha kuanza kuwasiliana na wachapakazi wenye sifa za kuteuliwa kukamata sehemu nyeti serikalini ikiwa ni pamoja na kupima utendaji wote serikalini ili wale wema waendelee na nafasi zao au hata kufikiriwa kupandishwa vyeo.
Jitihada hizi za maandalizi za Dr. Slaa na Chadema zinastahili kupongezwa na sote wapenda maendeleo ya taifa letu hili changa duniani.
Wakati Jk anatutishia na umwagaji damu, Dr. Slaa na Chadema wanaendelea na maandalizi ya kuliongoza taifa.
Thank you Dr. Slaaaaaaaaaaaaa and thank you Chadema for rising up to the occasion........................ We badly need you............
Hatua hizi hujumuisha kuanza kuwasiliana na wachapakazi wenye sifa za kuteuliwa kukamata sehemu nyeti serikalini ikiwa ni pamoja na kupima utendaji wote serikalini ili wale wema waendelee na nafasi zao au hata kufikiriwa kupandishwa vyeo.
Jitihada hizi za maandalizi za Dr. Slaa na Chadema zinastahili kupongezwa na sote wapenda maendeleo ya taifa letu hili changa duniani.
Wakati Jk anatutishia na umwagaji damu, Dr. Slaa na Chadema wanaendelea na maandalizi ya kuliongoza taifa.
Thank you Dr. Slaaaaaaaaaaaaa and thank you Chadema for rising up to the occasion........................ We badly need you............