Nova Kambota
Member
- Nov 12, 2009
- 62
- 1
Haya yote ni sehemu ya udhaifu wa CHADEMA na CUF lakini kuna mengi zaidi ya haya hasa kwa upande wa CHADEMA ambao wanaendesha propaganda zisizo na mwelekeo wala ujazo wa kimantiki,kimtazamo,kifikra na kifalsafa, angalia jinsi CHADEMA inavyotumia JAMII FORUMS na gazeti la Tanzania Daimahttp://novadream.blog.com/