Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

CCM inavuma katika anga za kimataifa kwa kuleta ukombozi barani Afrika,na Afrika nzima sasa kuwa huru.Jivunie CCM.CHAGUA CCM,CHAGUA KIKWETE.
0 Reactions
32 Replies
3K Views
WAAFRIKA tuna desturi zetu! Ikiwa wewe ni kijana mdogo, umekaa na watu wazima halafu ikatokea mtu mzima mmoja amepiga ushuzi! Sasa, endapo mmoja wa watu hao atakushutumu ni kwamba umepiga ushuzi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimearifiwa kuwa hatimaye Mh. Sophia Simba aliwasili Nzega jana [16.10.2010] na Kufanya Mkutano wake katika Ukumbi wa Check Point. Mengi yalijitokeza lakini zifuatazo ndizo dondoo za Kikao hicho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida? Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kuongoza Tanzania 2010-2015 kura yako utampa nani? Willibrod Slaa - CHADEMA (1544) 69.5% Jakaya Mrisho Kikwete - CCM (568) 25.6% Ibrahim Lipumba - CUF (95) 4.3% Mutamwega Mugahywa - TLP...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Hapa sizungumzii siasa za uchaguzi ila naomba kuuliza swali la msingi kabsaaa...kwamba nani aliemdanganya Raisi wangu kuwa UKIMWI ni ugonjwa wa kujitakia?? ( Hapa ilikuwa wakati Raisi anatoa...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
WATU watano wanashikiliwa na jeshi la Polisi mjini hapa kwa tuhuma za kuhusika katika tukio lililotokea jana(juzi) ambapo watu wanaosadakiwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi CCM na...
0 Reactions
76 Replies
7K Views
Wana JF naomba kuelimishwa katika hili. Watu mbalimbali wanadai kuwa watu ambao wako mbali na sehemu walizojiandikisha kupiga kura, hawawezi hata kumchagua rais, wengine wanasema wanaweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Namshukuru sana Maringo na wenzake kuona kiini kikuu cha umwagaji damu na uminyaji wa demokrasia kwenye uchaguzi mkuu wa 31 Okt 2010 kwa kufungua kesi ya kikatiba. Source: Kesi ya kuhoji matokeo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Macmillan George ? JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010: Bila kutumia akili wameanza kuwavisha wafuasi wao njano na kijani na kuwaambia waanzishe fujo ili tuonekane ni sisi. Nawaombeni wana CCM watu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwelekeo wa hali ya uchaguzi unasikitisha kidogo. Matukio ya vurugu za hapa na pale unanifanya nitamani kuwa wagombea wa Urais wa kianzia na Kikwete wakutane ili kulipa taifa picha ya umoja...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
  • Closed
HABARI ZAIDI Slaa kukutana na mume wa Josephine Vurugu zatia dosari kampeni KIkwete: CCM imeshashinda Ngeleja: Haiwezekani kutoa elimu bure Mengi: Wahojiwe niliowatuhumu HabariLeo | Gwiji...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Uliberali ni nini Serikali Ya Umoja wa Kitaifa Asilimia 19 ya bajeti kuhudumu Elimu Bure kwa wote 2010 na kupanda mpaka asilimia 25 mwaka 2015 Kipaumbele ni Elimu bora ya bure. Katiba ya Jamhuri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwenu TAWI LA CCM-MAREKANI, Natambua wapo baadhi ya watu hapa JF ambao ni wana CCM katika tawi la Marekani. Naomba kuuliza swali langu dogo kuhusu TAWI LA CCM-MAREKANI. Hili tawi la...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
By Jerry Okungu THREE different newspapers published in Dar-es-Salaam cannot be wrong especially if one of them, the oldest, belongs to the CCM. They are all saying more-or-less the same...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete, amesema serikali haina uwezo wa kutoa huduma za jamii bure na amewashangaa wanasiasa wanaopita wakiwadanganya wananchi kuwa iwapo wakichaguliwa...
0 Reactions
83 Replies
7K Views
Naomba kuuliza wana JF. Kama Kambarage angalikuwa hai leo. angelikuwa bado yupo CCM?????
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeangalia chanel 10 muda si mrefu, sijui kipindi walikiitaje. Ila nimeona wakazi wa moshi vijijini wakijitokeza kwa wingi sana wakati jk akihutubia. Pale uwanja wa mashujaa hadi mwenyewe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viongozi kitaifa wakacha kumbukumbu Butiama na Sitta Tumma, Butiama MAADHIMISHO ya miaka 11 ya kifo cha hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jana yaliingia doa baada ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom