Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wapwaz, mabinamuz, mashangazi, mabibi na mabwana. Wakati unajipumzisha nyumbani au mahali pa starehe basi unaweza kujipa muda wa kuusikiliza ujumbe huu wa Mishori kwa Kikwete. Na uchukue muda wako...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Closed
Wakuu, Naona kuna Rashid hapa TISS ndiye mkuu sasa. Naamini huyu alikuwa ni naibu wa mzee aliyeondoka. Mimi sina CV yake hebu ES na wakuu wengine naomba tupe data hapa tujue huyu ni mtu wa aina gani.
1 Reactions
243 Replies
66K Views
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Citizen's Information Bureau (TCIB) na kutolewa leo umeonyesha Dk Slaa anaongoza kwa asilimia 45, JK asilimia 41,Prof. Lipumba asilimia 10, Hashim Rungwe...
0 Reactions
122 Replies
14K Views
Ukilinganisha Taifa letu Tanzania katika tafiti nyingi sana bado tupo nyuma sana katika kukuza sayansi na nyanja zote ili kufanya maendeleo halisi kwa watu wetu, Katika pitapita yangu, utaweza...
0 Reactions
59 Replies
15K Views
Labda alishawahi kuwa mc huko nyuma basi kama sivyo amesoma alama za nyakati, huyu jamaa anajiandaa vyema kwa kazi hiyo baada ya oktoba 31 kwani kila nikitafakari anayoyasema na ahadi anazotoa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
AN opinion poll survey carried out by the Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) has shown that the ruling CCM enjoyed 50 per cent support of people above 40 year of age, while the young...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika hali ambayo yaonyesha Mwanasheria Mkuu ni kibaraka wa mwajiri wake JK na CCM yake ameona ni sahihi kabisa kutochunguza matukio yote ya uvunjaji sheria za uchaguzi lakini kuichafua Chadema...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
HABARI ZILIZOANDIKWA KATIKA MAGAZETI MBALIMBALI LEO ZINAONYESHA KUWA KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU KITASAMBAZA WAANGALIZI HURU NA KUJUMLISHA MATOKEO. KILA MKOA KITAKUWA NA MWANGALIZI MMOJA...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
RAIS Jakaya Kikwete amesema Watanzania hawana matatizo katika kulinda amani ya nchi, bali viongozi ndio wenye matatizo yanayohatarisha amani hiyo. Rais Kikwete aliyasema hayo mjini Kigoma jana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
CCM sasa kama ni suruari basi ni zile Tokyo, na kama ni kiatu basi raizoni najua wengi mtakuwa mnazifahamu hizo suruali aina ya Tokyo zilivyotamba sana miaka ya 1992-1994 ama kiatu kile jamii ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa viongozi, wanachama na wapenzi na mashabiki kazi kubwa ni kuhakikisha wapiga kura wanaelewa UPIGAJI KURA ili Kupata Kura zote zinazoelekea Chadema otherwise mambo yanaweza yasiwe kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amewasihi wafuasi wa CCM kuacha vurugu kwenye mikutano ya Chadema ili kufanikisha uchaguzi wa amani na undugu. Aidha amewashauri viongozi wa CCM...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
CCM leads in random opinion poll AN opinion poll survey carried out by the Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) has shown that the ruling CCM enjoyed 50 per cent support of people above...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ukkiangalia mwenendo mzima wa kampeni za chama tawala utagundua yafuatayo matumizi makubwa ya rasilimali za watanzania kwa maslahi ya ccm ikijumuisha kuwanunua wapinzani na kuwatawanya makada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:A S angry::A S angry::A S angry: Ndugu zangu, Nimepokea sasa hivi SMS isemayo: "Vyama vya siasa vilivyoandikishawa nchini Tanzania ni 18 lakini hakuna hata chama kimoja ukiviweka kwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Na Saed Kubenea - Imechapwa 06 October 2010 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetwishwa tuhuma nzito za kuandaa mipango ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi mkuu ili kionekane kimeshinda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kizazi kipya wamekuwa wakijidhalilisha na kuthibitisha hawana mikakati ya kujitegema kiuchumi na ndiyo maana hujisalimisha kwa wanasiasa hususani wa CCM katika kipindi cha kampeni. Huko huambulia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zikiwa zimebaki siku 15 tu kupiga kura Jibu swali hili? Tunakwenda wapi WATANZANIA? ( VISION) Mi mara ya kwanza kumiriki gari ilikuwa 2004. Nilikuwa nanunua bei ya Petroli Tsh. 360 kwa lita...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nyote mtakubaliana nami kuwa washabiki wa kisiasa (political commentators) ni watu muhimu katika taifa lolote lile katika kufanyia uchambuzi mambo mbalimbali ya kisiasa na wakati mwingine kijamii...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU ü Tuchague viongozi wenye sera zitakazosimamia haki za raia wote bila ubaguzi wala upendeleo. ü Tuchague viongozi watakao simamia majukumu yao ipasavyo. ü Tuchague viongozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom