Elections 2010 Ushahidi wa CUF ni CCM B; huu hapa

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,185
79,366
16th October 10

Utafiti mpya wajibu Redet na Synovate

Elizabeth Zaya

Baada ya Taasisi ya Utafiti na Demokrasia (Redet) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Kampuni ya Synovate kutoa matokeo ya tafiti zao kuhusu wagombea urais mwaka 2010 na kuonyesha kuwa Mgombea wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, anaongoza, jana ulitolewa utafiti mwingine na kumweka nafasi ya pili.

Utafiti mpya uliotolewa jana ulifanywa na Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Citizens' Information Bureau (TCIB) mbele ya vyombo vya habari jijini Dar es Salaam.

Mhadhiri wa Idara ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam aliyefanya utafiti huo, Dk. Vincent Leyaro, alisema utafiti huo uliofanyika kati ya Septemba 27 na Oktoba 10, mwaka huu, ambapo jumla ya wananchi 3,047 walihojiwa.

Alisema katika matokeo hayo, mgombea urais kupitia Chadema, Dk. Willibrod Slaa, ameongoza kwa kupata asilimia 45, Rais Kikwete asilimia 41 na Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF asilimia 10.

Wengine ni mgombea wa NCCR-Mageuzi, Hashim Rungwe aliyepata asilimia 2, Kuga Mziray wa APPT- Maendeleo asilimia 1 na Muttamwega Mugahywa wa TLP asilimia 1.

Dk. Leyaro alisema matokeo hayo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa katika mikoa 15 iliyochaguliwa kwa njia ya kinasibu na kwenye jimbo moja katika kila mkoa ambapo wananchi kati ya 60 na 100 walihojiwa.

Alisema wagombea hao wangepata matokeo hayo kama uchaguzi ungefanyika siku ambayo washiriki walihojiwa.

Pia, Dk. Leyaro alisema Dk. Slaa aliongoza pia katika swali lililouliza kuhusu mgombea ambaye anaaminika atashinda kama uchaguzi ungefanyika siku ya kupiga kura ya maoni hayo.

Alisema Dk. Slaa aliongoza kwa asilimia 48 akifuatiwa na Rais Kikwete (38), Profesa Lipumba (9), Rungwe (4), Mziray (1) na Mugahywa (1).

Dk. Leyaro alisema katika washiriki waliohojiwa, asilimia 18.3 walijitambulisha kuwa wanachama ama washabiki wa CCM, wakati Chadema walikuwa asilimia 15.6, CUF asilimia 12, TLP (6.8), NCCR-Mageuzi (6.6) na UPDP (6.1).

Pia alisema asilimia 31.6 ya waliohojiwa walisema si wanachama ama washabiki wa vyama vya siasa.

Hata hivyo, matokeo ya takwimu ndani ya vyama vya siasa yalionyesha kuwa asilimia 81 ya wana-CCM, mbili ya wana-Chadema na 48 ya wana-CUF watamchagua Rais Kikwete.

Matokeo hayo yalionyesha kuwa asilimia 90 ya wanachama ama washabiki wa Chadema, 15 ya wana-CCM na tano ya wana-CUF, walisema watamchagua Dk. Slaa wakati asilimia 38 ya wanachama ama washabiki wa CUF, mbili ya wana-CCM na moja ya wana-Chadema, walisema watamchagua Profesa Lipumba.

Dk. Leyaro alisema uchambuzi wa matokeo kimkoa, yalionyesha kuwa Dk. Slaa na Rais Kikwete wamechuana vikali katika baadhi ya mikoa kwa kufanya vizuri au vibaya.

Dk. Slaa ameonekana kukubalika zaidi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjario na Manyara huku akifanya vibaya katika mikoa ya Lindi, Morogoro, Ruvuma na Tabora.

Kwa upande wake, matokeo ya utafiti huo yameonyesha kuwa Rais Kikwete anaongoza zaidi katika mikoa ya Dodoma, Morogoro, Tabora na Ruvuma huku akifanya vibaya katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.

Pia, alimtaja Profesa Lipumba kufanya vizuri katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Tabora.

Utafiti huo ulionyesha kuwa Dk. Slaa anaungwa sana mkono na watu wa rika ya kuanzia miaka 25 hadi 35 (asilimia 55) wakati Rais Kikwete anaungwa zaidi na wenye umri wa kati ya miaka 46 hadi 50 (asilimia 50).

Utatiti wa Redet ulibainisha kuwa Rais Kikwete aliongoza kwa kupata asilimia 71.2 akifuatiwa na Dk. Slaa asilimia 12.3 huku Profesa Lipumba akishika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 10.1 kwa mujibu wa utafiti wa Septemba mwaka huu.

Kwa mujibu wa utafiti wa Synovate, Kikwete alishika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 61, Dk. Slaa (16) na Profesa Lipumba (5).


NIPASHE

Utafiti mpya wajibu Redet na Synovate

NB: naona mawaidha ya ma-Sheik yanatimia! that's a looser spirit for sure huyu Prof. Mapumba tuliyempigia kura kwa vipindi viwili vilivyopita ndo malipo yake haya! kamwe CUF hawatashinda Urais nchi hii kwa unafiki huu! Ndo maaana CHADEMA waliliona hili mapemaaa! Muungano kwao hawa jamaa ni lazma wao wawe mbele yaani Prof. Mapumba awe mgombea Urais na sio makamu au waziri Mkuu! cha ajabu wanadiriki hata kumsaliti mgombea wao Prof. Mapumba kisa itikadi za kidini kama baadhi ma-sheik wao wanavyojitahidi kuhubiri ati Kikwete ni Muislam mwenzetu!

Hivi hamuwezi kuwa kama Mh Zitto au Mh Said Afri? nani asiyejua Mh Zitto ni rais mtarajiwa akiwa ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 45-46 kama Obama? au Udini tu unawasumbua watu nyie? nani asiyejua mchango wa Mh Said Arfi hawa ni watu waliofunguka macho na hawababaishwi na siasa chafu za kidini!
 
hiyo taasisi + Jf + nipashe + ITV + Tanzania daima + Arusha + moshi = chadema

synovate + redet + Tbc + uhuru + chanel ten = ccm..

vyama vya kubebwa tu...
 
hiyo taasisi + Jf + nipashe + ITV + Tanzania daima + Arusha + moshi = chadema

synovate + redet + Tbc + uhuru + chanel ten = ccm..

vyama vya kubebwa tu...

So what? ccm utawajua tu , yaani hawezi kujiuliza swali. Yaani akijiloga kujiuliza swali mf 1+1=3. ndo maana hawawezi kujiuliza kwanini bado tuko hohehahe. na Rais wao wote sawa
 
So what? ccm utawajua tu , yaani hawezi kujiuliza swali. Yaani akijiloga kujiuliza swali mf 1+1=3. ndo maana hawawezi kujiuliza kwanini bado tuko hohehahe. na Rais wao wote sawa

siwezi kuwa ccm kama ww,mimi si mpagani. lkn kwa hesabu yangu siku zote nikiulizwa 1+1? Jawabu langu litakuwa 3.... na ndivo ilivyo. sema ukweli hata kama inauma..
 
hiyo taasisi + Jf + nipashe + ITV + Tanzania daima + Arusha + moshi = chadema

synovate + redet + Tbc + uhuru + chanel ten = ccm..

vyama vya kubebwa tu...

+ nipashe + ITV +

Are u serious?
 
nb: Naona mawaidha ya ma-sheik yanatimia! That's a looser spirit for sure huyu prof. Mapumba tuliyempigia kura kwa vipindi viwili vilivyopita ndo malipo yake haya! Kamwe cuf hawatashinda urais nchi hii kwa unafiki huu! Ndo maaana chadema waliliona hili mapemaaa! Muungano kwao hawa jamaa ni lazma wao wawe mbele yaani prof. Mapumba awe mgombea urais na sio makamu au waziri mkuu! Cha ajabu wanadiriki hata kumsaliti mgombea wao prof. Mapumba kisa itikadi za kidini kama baadhi ma-sheik wao wanavyojitahidi kuhubiri ati kikwete ni muislam mwenzetu!

hivi hamuwezi kuwa kama mh zitto au mh said afri? Nani asiyejua mh zitto ni rais mtarajiwa akiwa ndani ya chadema akiwa na umri wa miaka 45-46 kama obama? Au udini tu unawasumbua watu nyie? Nani asiyejua mchango wa mh said arfi hawa ni watu waliofunguka macho na hawababaishwi na siasa chafu za kidini!
kweli chadema mko desparate! Taasisi iliyofanya utafiti chadema ina vested interest. Hivi mavuvuzela hamjui kuwa halima mdee ni mjumbe wa bodi kwenye hiyo taasisi?!!!

Na hamjui pia kuwa leo mchana kumefanyika kikao makao makuu ya chadema ambako 'mafisadi' makanjanja wa habari walioandika upuuzi wa utafiti huo bila kuhoji chochote wameitwa kupewa 'mshiko'wao?!!!

Cuf ni ccm b? Na chadema tuwaiteje?

Hivi mnadhani viongozi wa chadema ni wajinga kiasi gani waweke mgombea mwenza wa darasa la tatu (mwenyewe anapozi kuwa ati ni darasa la saba!) kama kweli walikuwa na nia ya kuusaka huo uraisi???

Hivi mavuvuzela hamjiulizi imekuwaje ccm haikuhangaika kumwekea dk.slaa pingamizi wakati alishaanza kampeni kabla ya wakati? Kama hamkumbuki nitawakumbusha. Dk. Slaa alikuwa anaomba kura za wafanyakazi wakati anatafuta watu wa kumdhamini. Kuomba kura kabla ya kipindi rasmi cha kampeni ni kinyume na sheria ya uchaguzi na the fact kwamba ccm haiku-bother kumwekea pingamizi ni kwamba walikuwa wanataka sana aingie ulingoni!

Sasa mission accomplished mnahaha nyie mavuvuzela msiojua kinachoendelea!
 
kweli chadema mko desparate! Taasisi iliyofanya utafiti chadema ina vested interest. Hivi mavuvuzela hamjui kuwa halima mdee ni mjumbe wa bodi kwenye hiyo taasisi?!!!

Na hamjui pia kuwa leo mchana kumefanyika kikao makao makuu ya chadema ambako 'mafisadi' makanjanja wa habari walioandika upuuzi wa utafiti huo bila kuhoji chochote wameitwa kupewa 'mshiko'wao?!!!

Cuf ni ccm b? Na chadema tuwaiteje?

Hivi mnadhani viongozi wa chadema ni wajinga kiasi gani waweke mgombea mwenza wa darasa la tatu (mwenyewe anapozi kuwa ati ni darasa la saba!) kama kweli walikuwa na nia ya kuusaka huo uraisi???

Hivi mavuvuzela hamjiulizi imekuwaje ccm haikuhangaika kumwekea dk.slaa pingamizi wakati alishaanza kampeni kabla ya wakati? Kama hamkumbuki nitawakumbusha. Dk. Slaa alikuwa anaomba kura za wafanyakazi wakati anatafuta watu wa kumdhamini. Kuomba kura kabla ya kipindi rasmi cha kampeni ni kinyume na sheria ya uchaguzi na the fact kwamba ccm haiku-bother kumwekea pingamizi ni kwamba walikuwa wanataka sana aingie ulingoni!

Sasa mission accomplished mnahaha nyie mavuvuzela msiojua kinachoendelea!


pole sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana! unatia huruma lakini ndo basi tena tutakusaidiaje?
kama mlibip ndo mmepigiwa hivyo,pokeeni basi
 
Daboman +Mtabe=Sept's joining==>wametumwa kwa ajili ya kazi maalum==>CCM==>watapita tu hawa hata comment zao zimejichokea; hata mie naona hapa hatutawasaidia because it's already too late
 
Hata mimi nakubali kua chadema hawakujipanga kuchukua nchi
wataichukuaje nchi? wao ni wananchi wa tanzania wanaishi tanzania sasa hilo la kuchukua nchi ni jipya. sisi tutawaajiri na kuwapa ikulu watekeleza sera zao njema kwa ajili yako na wote.
Huna tofauti na shimbo ambaye aliposikia kauli kama yako kuwa chadema watachukua nchi baaas akaaply theory zake za kivita aksema huo ni uchokozi bwa hahahahaha
Umeona usivyonielewa eeeh??? ndivyo ulivyo

 
16th October 10


Utafiti mpya wajibu Redet na Synovate

Elizabeth Zaya

Baada ya Taasisi ya Utafiti na Demokrasia (Redet) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Kampuni ya Synovate kutoa matokeo ya tafiti zao kuhusu wagombea urais mwaka 2010 na kuonyesha kuwa Mgombea wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, anaongoza, jana ulitolewa utafiti mwingine na kumweka nafasi ya pili.

Utafiti mpya uliotolewa jana ulifanywa na Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Citizens’ Information Bureau (TCIB) mbele ya vyombo vya habari jijini Dar es Salaam.

Mhadhiri wa Idara ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam aliyefanya utafiti huo, Dk. Vincent Leyaro, alisema utafiti huo uliofanyika kati ya Septemba 27 na Oktoba 10, mwaka huu, ambapo jumla ya wananchi 3,047 walihojiwa.

Alisema katika matokeo hayo, mgombea urais kupitia Chadema, Dk. Willibrod Slaa, ameongoza kwa kupata asilimia 45, Rais Kikwete asilimia 41 na Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF asilimia 10.

Wengine ni mgombea wa NCCR-Mageuzi, Hashim Rungwe aliyepata asilimia 2, Kuga Mziray wa APPT- Maendeleo asilimia 1 na Muttamwega Mugahywa wa TLP asilimia 1.

Dk. Leyaro alisema matokeo hayo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa katika mikoa 15 iliyochaguliwa kwa njia ya kinasibu na kwenye jimbo moja katika kila mkoa ambapo wananchi kati ya 60 na 100 walihojiwa.

Alisema wagombea hao wangepata matokeo hayo kama uchaguzi ungefanyika siku ambayo washiriki walihojiwa.

Pia, Dk. Leyaro alisema Dk. Slaa aliongoza pia katika swali lililouliza kuhusu mgombea ambaye anaaminika atashinda kama uchaguzi ungefanyika siku ya kupiga kura ya maoni hayo.

Alisema Dk. Slaa aliongoza kwa asilimia 48 akifuatiwa na Rais Kikwete (38), Profesa Lipumba (9), Rungwe (4), Mziray (1) na Mugahywa (1).

Dk. Leyaro alisema katika washiriki waliohojiwa, asilimia 18.3 walijitambulisha kuwa wanachama ama washabiki wa CCM, wakati Chadema walikuwa asilimia 15.6, CUF asilimia 12, TLP (6.8), NCCR-Mageuzi (6.6) na UPDP (6.1).

Pia alisema asilimia 31.6 ya waliohojiwa walisema si wanachama ama washabiki wa vyama vya siasa.

Hata hivyo, matokeo ya takwimu ndani ya vyama vya siasa yalionyesha kuwa asilimia 81 ya wana-CCM, mbili ya wana-Chadema na 48 ya wana-CUF watamchagua Rais Kikwete.

Matokeo hayo yalionyesha kuwa asilimia 90 ya wanachama ama washabiki wa Chadema, 15 ya wana-CCM na tano ya wana-CUF, walisema watamchagua Dk. Slaa wakati asilimia 38 ya wanachama ama washabiki wa CUF, mbili ya wana-CCM na moja ya wana-Chadema, walisema watamchagua Profesa Lipumba.

Dk. Leyaro alisema uchambuzi wa matokeo kimkoa, yalionyesha kuwa Dk. Slaa na Rais Kikwete wamechuana vikali katika baadhi ya mikoa kwa kufanya vizuri au vibaya.

Dk. Slaa ameonekana kukubalika zaidi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjario na Manyara huku akifanya vibaya katika mikoa ya Lindi, Morogoro, Ruvuma na Tabora.

Kwa upande wake, matokeo ya utafiti huo yameonyesha kuwa Rais Kikwete anaongoza zaidi katika mikoa ya Dodoma, Morogoro, Tabora na Ruvuma huku akifanya vibaya katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.

Pia, alimtaja Profesa Lipumba kufanya vizuri katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Tabora.

Utafiti huo ulionyesha kuwa Dk. Slaa anaungwa sana mkono na watu wa rika ya kuanzia miaka 25 hadi 35 (asilimia 55) wakati Rais Kikwete anaungwa zaidi na wenye umri wa kati ya miaka 46 hadi 50 (asilimia 50).

Utatiti wa Redet ulibainisha kuwa Rais Kikwete aliongoza kwa kupata asilimia 71.2 akifuatiwa na Dk. Slaa asilimia 12.3 huku Profesa Lipumba akishika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 10.1 kwa mujibu wa utafiti wa Septemba mwaka huu.

Kwa mujibu wa utafiti wa Synovate, Kikwete alishika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 61, Dk. Slaa (16) na Profesa Lipumba (5).


NIPASHE

Utafiti mpya wajibu Redet na Synovate

NB: naona mawaidha ya ma-Sheik yanatimia! that's a looser spirit for sure huyu Prof. Mapumba tuliyempigia kura kwa vipindi viwili vilivyopita ndo malipo yake haya! kamwe CUF hawatashinda Urais nchi hii kwa unafiki huu! Ndo maaana CHADEMA waliliona hili mapemaaa! Muungano kwao hawa jamaa ni lazma wao wawe mbele yaani Prof. Mapumba awe mgombea Urais na sio makamu au waziri Mkuu! cha ajabu wanadiriki hata kumsaliti mgombea wao Prof. Mapumba kisa itikadi za kidini kama baadhi ma-sheik wao wanavyojitahidi kuhubiri ati Kikwete ni Muislam mwenzetu!

Hivi hamuwezi kuwa kama Mh Zitto au Mh Said Afri? nani asiyejua Mh Zitto ni rais mtarajiwa akiwa ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 45-46 kama Obama? au Udini tu unawasumbua watu nyie? nani asiyejua mchango wa Mh Said Arfi hawa ni watu waliofunguka macho na hawababaishwi na siasa chafu za kidini!
:A S angry:
 
nyie wa chaga wa chadema,kwanza nikupeni pole sana na hongera sana ya mikutano ya huyo baba paroko kujazwa na watoto kibao afu mkajidanganya eti mna wapiga kura,pili nikupeni pole sana kwa msiba mzito wa kichapo kitakatifu mtakachokipata enyi mavuvuzela ya kichaga yaliyojaa mbege baada ya kuwa washindi wa tatu katika uchaguzi huu,tatu kwa kushindwa kwenu kufanya kampeni za kistaarabu na mpakamnakwenda makanisani mkaona mko sawa na mkajisahau kuwa hata mashekh wana haki ya kuwaambia waumini wao yale mnayoambiwa na maparoko wenziwe na slaa!!! ibadilisheni kwanza hiyo kampuni ya chaga development manifesto afu ndo mje kuomba kula au kutaka "inji"
 
upuuzi mtupu,nilidhani kuna hoja,mbona wako wachaga watakaoichagua ccm???? na ni nani mtanzania mwenye akili timamu asojua chadema ni ccm b???/ hata mbowe mwenyewe mtoto wa JK wa zama zileee!! afu awe mpinzani??? mbona kituko??
 
Back
Top Bottom