Nilikua nawaza sana na nikatafuta wa kumlinganisha Slaa na rais yeyote aliyewahi kuishi au aliyepo.Nimegundua Dr Slaa ni Sawa na Baraka Obama.Kama dunia ilivyokua inatamani sana America kuongozwa na Obama.Basi kwa Tanzania wananchi wana hamu kubwa kusikia Dr Slaa kutangazwa kua Rais wa Awamu ya Tano.Watanzania Tusimkose Dr Slaa a.k.a Obama.Tusije tukajutia baadae kwa kutomchagua Dr Slaa.Kama mna kumbukumbu vizuri baba wa Taifa alisema JK bado muda wake,wananchi walimwahisha kua rais na madhara yake ya utendaji mmeyaona.Usishangae raisi ajae akawa Rithiwani.Fanya chaguo sahihi