Mkuu Kuhani Noah, kila kiumbe rijali ni lazima kupenda hili tunda, nimesema kumposa, kumuoa na kumtuliza, hivyo kuoa ni jambo la kheri, ningekuwa tamtamani kumpitia tuu, then ndio ungesema napenda sana chini! na huo ni uharibifu, lakini kumpenda mtu kwa lengo la kumuoa, ni jambo zuri, ni jambo jema na ni jambo lla kheri.

P
Umeshajiuza mkuu. Tunasubiria matokeo
 
Back
Top Bottom