Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,570
Halafu ni mkosoaji mkubwa wa Mh Zitto; hawezi hamia ACTMbunge aliyatamba na kupata jina katika awamu yake moja ya ubunge (2010-2015) chini ya NCCR-Mageuzi bwana David kafulila amepigwa za uso na Mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo Hilo,Hasna Mwilima.
Dhambi ya usaliti wa upinzani haitawaacha salama, wajifunze kulidhika.View attachment 1512628