mwanamwanza
New Member
- Jun 8, 2020
- 1
- 0
wadau..vipi matokeo ya jimbo la ushetu
Hebu ngoja kwanza tumalizie sherehe za uhuru tulioletewa na wanaKigamboniMbunge aliyatamba na kupata jina katika awamu yake moja ya ubunge (2010-2015) chini ya NCCR-Mageuzi bwana David kafulila amepigwa za uso na Mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo Hilo,Hasna Mwilima.
Dhambi ya usaliti wa upinzani haitawaacha salama, wajifunze kulidhika.View attachment 1512628
jamaniiiiiiiiih"Kitendawiliiiii"
"tegaaaaa"
dodoma haendi na marekani haendi
wote---- makondaaaaaaaa
Ilikuwa ni uteuzi kutoka kwenye nafasi 10 za Rais Kwa mujibu wa katibaMbarawa alipata kiti maalum hata baada ya kule jimboni kwake kushindwa 2015.
Silinde na lijualikali wao walijua wakiikashifu cdm watachaguliwa, kmbe ccm napo kna wenyewe
Wanawacheki tu
Ova
Ilani au katiba?NDIO anapambana na Mzee wa KATIBA
Kabisa Ni mzaha Tena wakijinga kabisaBaada ya kuona wagombea wanavyojinadi hapa Kawe, nimeamini wengi wanafanya mzaha sana.
Haya yanayoendelea kawe Ni dhahiri wasomi wetu Wana uwezo mdogo wakujielezaDuh! kawe kuna jamaa kaomba kura kwa kichina, huu mwaka si mchezo.
Kabisa Ni mzaha Tena wakijinga kabisa