Demu wake Sara Msafiri kamdanganya ha ha ha
 
Dr. Faustine Engelbert Ndugulile ashinda kura za maoni za ndani ya CCM jimbo la Kigamboni jijini Dar es Sakaam.

Kura za maoni za wajumbe halali zilikuwa 399 hakuna kura iliyoharibika na Dr. Faustine Engelbert Ndugulile amefanikiwa kupata kura 190 za wajumbe hao wa mkutano wa wilaya ya Kigamboni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…