Nadhani wanataka kutumia figisu kumpitisha ila kwa Mbeya patachimbika aisee hawa jamaa ni watata sana.
Hatuwezi kumpa ubunge akatunge sheria za kutukandamiza wananchi na kujipa yeye na viongozi wengine ruhusa ya kuvunja katiba ya nchi bila kushitakiwa.....
 
Nimeona na kupata nyepesi nyepesi kuwa Umi Mwalim amekuwa wa kwanza kura za maoni.
Mungu amzidishie huyu mama kipindi cha COVID19 amepitia magumu mno
Wananchi wameliona hili nilishawahi kumsifia humu watu wengine wakabeza.
Huyu mama nampenda mno utendaji wake mwanangu ningekuwa na uwezo ningesimamia uwe waziri tena wa Afya.
Mkwe wangu(mumeo) amepata mke
Umy Yuko vizuri kipindi Cha covid alipambana Hadi huruma huku wanaume wote wakawa wamekimbia wamejificha, she deserve kwa kweli
 
Jamani vip taarif za mgombea ubunge jimbo la sengerema mjini maana huko sijasikia lolote vipi kuhusu wiliam ngereja na skendo zake za rushwa Nasikia kuna dogo mmoja anaitwa Martin alikuwa anamnyima usingizi naomba kujua alietoboa kwa anaefaham
katoboa Tabasamu.
 
Naomba kuuliza masuali yafuatayo?

1. Kura hizi hupigwa na vipi na ni nani anastahiki kupiga?
2. Ni nani anaehesabu kura? maana kwa kuangalia tu hata mtoto mdogo atagundua kuwa jumla ya kura zilizopigwa hazilingani na kura walizopata wagombea. Kwa nini hazikuelezwa zilipokwenda kura nyengine? Au ndio ile kazi ya ku foji inaanzia ndani ya ccm kwenyewe?

Hao wagombea wa ubunge wanateuliwa/kupigiwa kura na Mkutano mkuu wa CCM wa wilaya

Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya utakuwa na wajumbe wafuatao:-
Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, Katibu wa CCM wa Wilaya.
Mkuu wa Wilaya ambaye anatokana na CCM.
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya.
Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilaya,Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya hiyo.
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa wanaoishi katika Wilaya hiyo.
Mwenyekiti na Katibu wa Wilaya wa kila jumuiya ya wananchi inayoongozwa au iliyojishirikisha na CCM, na mjumbe mwingine mmoja ambaye ni mwanachama wa CCM aliyechaguliwa na kila Jumuiya inayohusika iliyomo katika Wilaya hiyo.
Wajumbe wote ambao ni wanachama wa CCM,kila Jumuiya ya Wananchi inayoongozwa au iliyojishirikisha na CCM wanaowakilisha Jumuiya hizo katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa wanaoishi katika Wilaya hiyo.
Madiwani wanaotokana na CCM wanaowakilisha Kata/Wadi zilizomo katika Wilaya husika na Madiwani wa CCM wa aina nyingine wanaoishi katika Wilaya hiyo.
Makatibu wa Siasa na Uenezi wa Kata/Wadi za Wilaya
Makatibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/Wadi za Wilaya hiyo.
Wajumbe kumi waliochaguliwa na kila Kata ya Wilaya hiyo.
Mjumbe mmoja aliyechaguliwa na Mkutano Mkuu wa kila Tawi la Wilaya hiyo.
Wenyeviti wote wa CCM wa Matawi katika Wilaya hiyo.
Makatibu wote wa CCM wa Matawi katika Wilaya hiyo.
Makatibu wa Siasa na Uenezi wote wa Matawi ya CCM yaliyomo katika Wilaya hiyo.
Makatibu wa Uchumi na Fedha wote wa Matawi yaliyomo katika Wilaya hiyo.
Wajumbe wengine wote wa Mkutano Mkuu wa Mkoa wanaoishi katika Wilaya hiyo.
Kwa Wilaya za Zanzibar, Wajumbe wengine wa Mkutano Mkuu wa Wilaya ni hawa wafuatao:-
- Wenyeviti na Makatibu wote wa CCM wa Majimbo.
- Makatibu wa Siasa na Uenezi wa Majimbo.
- Makatibu wa Uchumi na Fedha wa Majimbo.
Katiba ya Chama Cha Mapinduz - Wenyeviti na Makatibu wa Majimbo wa Jumuiya zinazoongozwa na CCM.
- Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya na Mkoa kupitia kila Jimbo linalohusika.
 
Kuna umuhimu Wa kuwa na mikataba ya utekelezaji Wa ahadi, muda mfupi, Wa kati na mrefu. Mtoa ahadi akishindwa kutekeleza ahadi zake ajiuzuru. Apewe mshindi Wa pili nae akishindwa apewe wa tatu. Nadhani watahofia kupoteza kibarua mwisho Wa siku watafanya kazi kuliko maneno
Rasimu ya katiba ya Warioba iliyaadress haya lakini ndo hivyo mchakato ukawa bahati mbaya.
 
Jamani vip taarif za mgombea ubunge jimbo la sengerema mjini maana huko sijasikia lolote vipi kuhusu wiliam ngereja na skendo zake za rushwa Nasikia kuna dogo mmoja anaitwa Martin alikuwa anamnyima usingizi naomba kujua alietoboa kwa anaefaham
Kashinda Hamis Tabasamu msaliti aliyehama Chadema.Ngeleja wa pili.
 
Waliodondokea pua jana na leo Updates

Babu Tale Apeta Morogoro vijijini
Mwita Waitara apeta
*
*
Wasanii na watangazaji

1.Mc Pilipili kura 1 Bahi
2.Mwijaku kura 0 Chalii Kawe
3.Dk Issac wa Clouds Chalii Ubungo
4.Zamaradi kura 2 Kinondoni
5.Kalapina kura 1 Kinondoni
6.Steve Nyerere Chali Iringa mjini kura 6
7.Mpoki 0 Kigamboni
8.Mwana FA Muheza Chalii kura 296 nafasi ya 2

Waunga mkono juhudi

1.Lijuakali Kilombero kura 5
2.Silinde Chaliii Tumduma
3.Lazaro chalii Arusha mjini
4.Mtolea Temeke Chalii
5.Kafulila Kigoma kusiniChalii
6.Katambi Kahama Chalii
7.Ktulia Chali Kinondoni kura 11
8.Nassari chalii Arumeru Mashariki kura 22
9.Dk Mashinji kura 2 Kawe
10. Paul Gekul
11.Albert Msando

Wengine

1.Askofu Gwajima 79 Kawe
2.Pascal Mayalla kura 1 Kawe mwa Jf mwenzetu
3.Dk Mwakyembe mwenye digrii 4 ( mzee ana dharau huyu kawakejeli wajumbe wameishia la saba) chalii kura 256, wa kwanza kura 750, Kyela
4.Makonda Kigamboni Chalii
5.Kitwanga katwanga na Mnyeti huko Misungwi
6.Sipirian Musiba Chalii Mwibara
7.Goodluck Mlinga
8.Angela Kairuki



NB: Wale waliotoka upinzani na kuunga mkono juhudi wote wamedondokea pua
Kasoro Mwita Waitara

Naomba unisaidie kujua hii
JUMLA YA WASALITI....
WASALITI WALIOPITA....
WASALITI WALIOPIGWA CHINI.....

Hao waliopita Mungu kaamua kuwapa adhabu kwa njia ya kura km kura zitahesabiwa wa uwazi km walivofanya kwenye kutafuta wagombea
 
Mlimba ??
Katika jimbo la Mlimba kulikuwa 39, Godwin Kunambi ameongoza kwa kupata kura 193, na alifungana na Rose Rwakatare aliyepata kura 193.

Pia katika uchaguzi huo Acrey Mhenga alipata kura 124 na Jane Mihanji amepata kura 14.
 
Back
Top Bottom