Ndo ukomo wa fikra zao wanataka kubishana na hayati BWMMarehemu hasemwi kwa mabaya
Wewe unajulikana ajent wa shetaniRelaaaaax mbona unaingia BONGONI mwangu Kaka,Mimi nilikuwa airport km raia mwingine nikataka kukutana na kusalimiana na mwanaJF mwenzang Sasa mbona umekuja kivibaya?
Ha ha ha Mimi nimenukuu maneno ya mzee wetu hayati Mkapa alipowaambia wanaobeza thamani ya CCM kwa nchi hii..........Burundi pia ilikombolewa
Hizo ndio akili zenu
Wazazi sasa hivi wanajivunia sio tu hakuna hada shule zinajengwa na kukaratibiwa nchi nzima.
Unaambiwa sasa hivi vimemo aviishi wizarani wazazi waliokuwa wanaona private dili sekondari leo wanapigania watoto zao waende shule Kongwe.
Huu mtiti sasa umeshuka primary hakuna mtoto kukaa chini wala madarasa kujazana.
Hakina Mbowe et al waliokuwepo washachoka na Magufuli kila wanapochungulia kuna kazi; Lissu ndio kaingia ngoja aione Tanzania mpya atachoka tu ata mwezi aufiki.
Sitegemei kingine kwa Lissu kwenye hoja zaidi ya risasi 16 vipi watanzania atawafanyia nini hana, next atarudi kuwa Lissu yule yule mzee wa kupinga tu.
AHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO
Ahsante kwa mubashara huu, namkaribisha pia kijijini aje anywe maziwa ya kiasili pamoja na mlenda, Tumemmiss sana Mnyampaa wintru.AHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO
Stalker let cdm be.Niumie wapi?
Duhh.. Nomaa.Anasema kesho tumsindikize tumpeleke uwanjani
Watu wanashangilia saaaaana
Wengine wanasema saa ngapi wengine wanasema kama vipi twende sasa hivi tukupeleke
HUYU LISSU NI MBEBA MAONO
magu rais wamtandao wa polisiRais wa mitandao ya kijamii
Pole kakaAHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO
Ahsante kwa mubashara huu, namkaribisha pia kijijini aje anywe maziwa ya kiasili pamoja na mlenda, Tumemmiss sana Mnyampaa wintru.AHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO
This year watapiga nyetoHivi ccm watakua wanaoneshaje uchumi wa kati watakaporudi kupiga push up kwa wananchi?
Askofu Mwamakula kwa Mbareeeee!!Tangu Janga la Corona lianze Wapinzani wote Tanzania wakiongozwa na CHADEMA walikuwa wakibeza na kupinga kila hatua iliyokuwa ikichukuliwa na serikali kwenye kupambana na Corona. Mh Mbowe yeye alienda mbali zaidi akadai Kuna mamia ya watu wanakufa na kuzikwa usiku huku hospital kama Amana na Mloganzila zikiwa zimefurika wagonjwa.
Hawakukubaliana na Chochote kwenye Mapambano dhidi ya Corona badala yake walikuwa wakisifia mataifa jirani huku wakidai serikali ya Tanzania imeamua kuua watu wake makusudi kwa Corona hadi ikafikia hatua wakasusia bunge.
Sasa leo ni ajabu watu hawa wanao amini kuwa kuna mamia ya watu wanakufa kwa Corona Tanzania wanafanya mikusanyiko tena bila tahadhari yoyote.
View attachment 1518743
View attachment 1518745View attachment 1518747View attachment 1518748
Huyu nae alikuja akiwa amevaa barakoa ila alipofika JNIA akaivua
Inamaana ameivua kwasababu anajua amefika sehemu salama.
View attachment 1518752
View attachment 1518756
View attachment 1518758
Kwa hali hii tukiwaita wanafiki wala hatutakuwa tumekosea.
Jamaa zetu wata tuliga jamani!! Waineeni huruma.. Kuhudhuria mambo yao hadi muwape hela. Huku wana kuja wenyeweWatu wamekewa mziki wanacheza kumbuka hakuna hata pa kukanyaga tunamsubiria LISSU AJE KUTUAGA
IMEWEKWA NYIMBO SIJUI INAITWA NARUDI NYUMBANI WATU WANASHANGILIA wimbo umezimwa
Watu wanaimba Raisi Rais Rais....
Unataka nisipokewe na BWAÑA na kuiona paradiso km utakavyoiona wewe lastly umenisukuma kwa Lucifer?!!!daah Aya bna nihukumu na ujifurahishe Mana Mimi kiumbe dhaifu Mali ya BWANAWewe unajulikana ajent wa shetani