Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,265
- 3,177
Kanisa lifungwe na apewe kesi ya UGAIDI.askofu rashidi ni mpuuzi flani anayewza sadaka tu na ulaghai.
Kanisa lifungwe na apewe kesi ya UGAIDI.askofu rashidi ni mpuuzi flani anayewza sadaka tu na ulaghai.
Mumemtelekeza mwenyekiti?Gwajiboy aligombea ujumbe wa NEC mama na kamati yake wakamuona hatoshia wakampiga panga. Hiki kitu kilimuuma sana Gwajiboy.
Sasa hivi anatumia chanjo kummaliza mam kisiasa. Ajenda ya Gwajiboy sio kupinga chanjo ila ni kummaliza mama kisiasa.
Mama awe makini. Gwaji atatumia chanjo na ukabila kummaliza.
Mama gani? Dictator?Gwajiboy aligombea ujumbe wa NEC mama na kamati yake wakamuona hatoshia wakampiga panga. Hiki kitu kilimuuma sana Gwajiboy.
Sasa hivi anatumia chanjo kummaliza mam kisiasa. Ajenda ya Gwajiboy sio kupinga chanjo ila ni kummaliza mama kisiasa.
Mama awe makini. Gwaji atatumia chanjo na ukabila kummaliza.
MaCCM yameshagundua huyu Mama anapangiwa kazi na watu wengine huko Msoga.Yaani Gwajima amefikia hatua ya kumtusi Rais hivi na bado anaachwa tu azidi kupotosha?
Gwajiboy anapenda sana mabifu. Sasa ameingia cha kike.Mumemtelekeza mwenyekiti?
Ni bora zijibiwe hoja za Gwajima juu ya Chanjo hiyo kuliko kuhusisha mambo mengine ambayo yeye Gwajima hajayasema! Mbona Marehemu Magufuli naye aliwahi kutoa tahadhari juu ya Chanjo kama hizi?Gwajiboy aligombea ujumbe wa NEC mama na kamati yake wakamuona hatoshia wakampiga panga. Hiki kitu kilimuuma sana Gwajiboy.
Sasa hivi anatumia chanjo kummaliza mam kisiasa. Ajenda ya Gwajiboy sio kupinga chanjo ila ni kummaliza mama kisiasa.
Mama awe makini. Gwaji atatumia chanjo na ukabila kummaliza.
Ulizaliwa mwaka gani?Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo.
Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
Hana hoja zaidi ya kupotosha na kuleta taharuki.Ni bora zijibiwe hoja za Gwajima juu ya Chanjo hiyo kuliko kuhusisha mambo mengine ambayo yeye Gwajima hajayasema! Mbona Marehemu Magufuli naye aliwahi kutoa tahadhari juu ya Chanjo kama hizi?
Achana na huyo Pimbi, utaumiza kichwa chako bureVipi kuhusu watu ambao wamekufa kwa corona, wao immunity yao ilikosewa?
Kwa hiyo tufunge mahospitali na kila mtu ajitibu kwa immunity yake?
Kosa walilofanya wachaga kushangilia kifo cha Magufuli litawagharimu hadi kizazi cha tatu.Lissu alisems wakimalizana na sisi watahamia huko kwenu
Wote ni wabovu tupuGwajiboy aligombea ujumbe wa NEC mama na kamati yake wakamuona hatoshi wakampiga panga. Hiki kitu kilimuuma sana Gwajiboy.
Sasa hivi anatumia chanjo kummaliza mama kisiasa. Ajenda ya Gwajiboy sio kupinga chanjo ila ni kummaliza mama kisiasa.
Mama awe makini. Gwaji atatumia chanjo na ukabila kummaliza.
wanatafunana wenyewe kwa wenyeweLissu alisems wakimalizana na sisi watahamia huko kwenu
Sisi tule popcorn au tusubiri maumivu?wanatafunana wenyewe kwa wenyewe
Dialo alishamaliza hoja ya wendawazimuMtateseka sana wendawazimu wa chadema nyie
Gwajiboy aligombea ujumbe wa NEC mama na kamati yake wakamuona hatoshi wakampiga panga. Hiki kitu kilimuuma sana Gwajiboy.
Sasa hivi anatumia chanjo kummaliza mama kisiasa. Ajenda ya Gwajiboy sio kupinga chanjo ila ni kummaliza mama kisiasa.
Mama awe makini. Gwaji atatumia chanjo na ukabila kummaliza.