Jana nilimskiliza tena askofu Gwajima! Matamshi yake yanaungwa mkono na watu wengi sana kuliko hata watu waliopewa ubalozi wa Corona. Nashauri yafuatayo:
1. Serikali iongeze elimu juu ya chanjo
2. SerikaLi imuombe Gwajima abaki na msimamo wake lakini asiongelee chanjo
3. Itangaze chanjo kuwa lazima
4. Vyama vya upinzani vishirikishe hatua kwa hatua ilikuleta umoja katika kupambana na hili janga.
ÑB: Clip za Gwajima zinauzwa na warusha movie tsh 300 na unaambiwa mauzo ni makubwa. Jana kwenye kijiwe cha chai tuliwekewa hiyo video mpaka watu wakasahau kuangalia movie.
1. Serikali iongeze elimu juu ya chanjo
2. SerikaLi imuombe Gwajima abaki na msimamo wake lakini asiongelee chanjo
3. Itangaze chanjo kuwa lazima
4. Vyama vya upinzani vishirikishe hatua kwa hatua ilikuleta umoja katika kupambana na hili janga.
ÑB: Clip za Gwajima zinauzwa na warusha movie tsh 300 na unaambiwa mauzo ni makubwa. Jana kwenye kijiwe cha chai tuliwekewa hiyo video mpaka watu wakasahau kuangalia movie.