Zipo taasisi/kampuni zitaweka sera ya kuchanja wafanyakazi wao wote kwa lazima. Najua serikali wanasoma maoni yetu, utolewe muongozo utaosimamia raia wake juu ya uhuru/hiari kushiriki hizi chanjo.

Twende na hili swala kwa akili!
Uzuri ruhusa ya kuhamia burundi tayari ipo.
 
Ndugu mimi ninaomba kujua tu. Nani anaejua matokeo halisinya hizi chanjo??
Nani anaejua madhara ya hizi Chanjo??
Huoni kuwa ni risk kwa taifa kufanyia majaribio kwenye Jeshi na Madaktari wake???

Hii chanjo ingekuwa imesha tumika tukaona matokeo yake hapo ningesema hakuna shida ila hakuna hata mmoja anajua madhara ya hii chanjo.

Magu hakua mjinga kusema hatuta chanjwa mpaka tujue matokeo ya chanjo.

Sasa hivi tumekuwa watu wakutishana tu kila siku tanko kila siku tamko. Mnacho kitaka Tanzania kitapatikana soon.
Kumbukeni tuna madini na mali nyingi ambazo baadhi ya nchi kubwa Duniani wana zitafuta sana.

Tanzania achane kuwa kichwa cha mwendawazimu,
Ikowapi leo ule mchanganyiko wa NMRI NA MBONA HAKUNA KUHAMASISHANA KUPIGA NYUNGU.
Wimbi la kwanza na lapili tulipita kwanini hili litusumbuee.
Watu tumeacha kumtegemea Mungu na kufikia kuambiwa tuende Kanisani kwa masaa mawili huu ni ijinga.

Kutoka taifa la kumtegemea Mungu mpaka kuwa taifa la kumpinga Mungu.

Shame on you Viongozi wa Tanzania
Tanzania siyo nchi ya kwanza kuchanjwa. Nchi nyingi tu wameshachanjwa kwa zaidi ya miezi 5 sasa .... Kudai kuwa tusibali kufanyiwa majaribibio huo ni upotoshaji wa hali ya juu .... Nchi karibia zote walishapokea chanjo na sisi mpaka sasa ni katu ya nchi cheche ambazo hazijapokea. Nchi kama South Africa tu kuna watu zaidi ya million 5 tayari wameshachanjwa, Mauritius wamechanja zaidi ya 60 % ya watu wao, Seychelles almost every adult ....!!
 
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati anakula vya halamu? tunajua kuwa ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa.
Naunga mkono hoja,
P
 
Upo sahihi kabisa, cha ajabu serikal haita ongea kitu
Zipo taasisi/kampuni zitaweka sera ya kuchanja wafanyakazi wao wote kwa lazima. Najua serikali wanasoma maoni yetu, utolewe muongozo utaosimamia raia wake juu ya uhuru/hiari kushiriki hizi chanjo.

Twende na hili swala kwa akili!
 
Ni jambo la ajabu sana nchi ipo kwenye mapambano dhid ya Covid,

Serikali inajitahd kutoa elimu kwa Raia halafu anakuja mpumbavu mmoja ambaye hajawai hata kutengeneza panadol anapotosha umma kwa tafiti zake za kipumbavu.

Huyu mtu anaachwa hivi hivi? tunapiga hatua mbele anakuja mjinga mmoja kuturudisha nyuma kwa sifa zake?

Aliwai kufanya tafiti za Afya? ni mwanasayansi? ni daktari?

Huyu mpaka mda huu angekua ameshavuliwa uanachama,

Halafu na ww mama ukiwa mpole sana matokeo yake ndio haya, serikali inasema hv mjinga mmoja anaelekeza vile

oke
 
Alishasema bungeni so karudia tena mlifukuza wapinzani mkadhani mkiwa wenyewe ndio mtaongea lugha moja?? Acha aseme ukwelimbona Nchi waiochanja bado wanaugua?
 
1.Kanisa lake lifungwe kwa upotoshaji.

2. Avuliwe uanachama wa CCM kwa kupiga kampeni ya kupingana na Mwenyekiti wake.
 
Kwa mtazamo wa Waitara huyu Gwajima auwawe
FB_IMG_1627290944329.jpg
 
Ni jambo la ajabu sana nchi ipo kwenye mapambano dhid ya Covid,

serikali inajitahd kutoa elikmu kwa Raia halafu anakuja mpumbavu mmoja ambaye hajawai hata kutengeneza panadol anapotosha umma kwa tafiti zake za kipumbavu,

Huyu mtu anaachwa hivi hivi? tunapiga hatua mbele anakuja mjinga mmoja kuturudisha nyuma kwa sifa zake?


aliwai kufanya tafiti za Afya? ni mwanasayansi? ni daktari?

huyu mpaka mda huu angekua ameshavuliwa uanachama,

halafu na ww mama ukiwa mpole sana matokeo yake ndio haya, serikali inasema hv mjinga mmoja anaelekeza vile

oke
Hii ni hoja au ndo ngebe zenyewe? Suala la afya ni la mtu binafsi na ndo maana Mh.rais alisema chanjo ni hiari.
Na mimi nimemsikiliza Gwajima anasema mama kafanya maamuzi mazuri ili wanaotaka kuchanjwa wapate haki yao na wasiotaka wasilazimishwe.Sasa kama wewe unataka kuchanjwa si uende ukachanjwe? shida yako ni nini si chanjo tayari ipo nchini?
 
CCM haipangwi na inaheshimu Uhuru wa kuongea(freedom of speech).Muda huu mngekuwa mmejikita kupata barua ya Afisa mtendaji wa Kata husika Kwa ajili ya kumtoa Abubakar sero.
 
Gwajiboy aligombea ujumbe wa NEC mama na kamati yake wakamuona hatoshi wakampiga panga. Hiki kitu kilimuuma sana Gwajiboy.

Sasa hivi anatumia chanjo kummaliza mama kisiasa. Ajenda ya Gwajiboy sio kupinga chanjo ila ni kummaliza mama kisiasa.
Mama awe makini. Gwaji atatumia chanjo na ukabila kummaliza.
 
Back
Top Bottom