MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.
Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!
Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!
Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.
Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!
Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.
Huko mikoani ni aibu tupu kwa serikali kwa sababu watu hawaendi kuchanjwa pamoja na kwamba serikali imelipa vyombo vya habari ili vihamasishe watu kwenda kuchanja.
Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.
Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.
Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.
Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.
Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.
Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini! Huyu ni aina ya mbunge anayesababisha bunge zima kuonekana kama limejaa wabunge ambao uwezo wao wa kupambanua na kuchambua mambo ni finyu!
Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!
Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!
Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.
Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!
Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.
Huko mikoani ni aibu tupu kwa serikali kwa sababu watu hawaendi kuchanjwa pamoja na kwamba serikali imelipa vyombo vya habari ili vihamasishe watu kwenda kuchanja.
Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.
Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.
Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.
Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.
Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.
Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini! Huyu ni aina ya mbunge anayesababisha bunge zima kuonekana kama limejaa wabunge ambao uwezo wao wa kupambanua na kuchambua mambo ni finyu!
Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.