Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,115
- 26,595
Kwa kosa gani akamatwe?Watakufa Kama kuku wa kideri, Gwajima inatakiwa akamatwe na asipewe zamana
Kwa kosa gani akamatwe?Watakufa Kama kuku wa kideri, Gwajima inatakiwa akamatwe na asipewe zamana
Huu ujinga wa serikali mbovu ya CCM kumkalia kimya Gwajima kuna Siku itawagharimu pakubwa
UhainiKwa kosa gani akamatwe?
Mapunga mna tabu,Sasa hiyo emoji ya kucheka unaniwekea Mimi nimekuwa Baaasha wakoMagaidi huwajui?
Unateseka ukiwa wapi wewe?😛
Maambukizi lakini sio vifoKuna nchi moja kutoka gulf states imechanja almost raia wake wote laikini maabukizi na vifo ndo yanazidi kutapakaa na kila siku wana strengthens mashariti na ku lock down nchi yao. Vaccine siyo solutions at all.
Unakumbuka wale waliosubiri safari pale airport dsm, nadhani waliitwa Sabato masalia kama sikosei.Msipomkemea Gwajima, wallah wabillah nawaapia kuna siku ataiingiza hii nchi kwenye shida kubwa huku mlivyo wajinga mkiwakamata na kuwaharasi Chadema.
I have never taken him seriously!!!Huyu mtu ni wa kupuuza
jinga weweMapunga mna tabu,Sasa hiyo emoji ya kucheka unaniwekea Mimi nimekuwa Baaasha wako
'za kuambiwa ongeza na za kwako,' maneno ya mh kikwete. Nani amekwambia serikali imejiridhisha? Kwa nini chanjo ni mpaka ujaze form na kukubali kuwa serikali haitahusika na madhara ya chanjo? Una ishi ki- remote.Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Jiulize watutengeneze mashoga au mazombie wao wanafaidikaje na huo uzombie ama ushoga wetu.Tupo karne ya 21 ila tuna mawazo ya Ki hadzabe sana yaani mi naona cha kudiscus ni serikali kujiridhisha na ubora wa chanjo napo utaalam hatuna tunabaki na utalam wa vijiweni wa kuambizana chanjo itafanya tuwe mashoga na mazombieNi aibu sana na hatuna hata shukrani. Bila mzungu TB, Ebola, polio, small pox nk, vingetumaliza vibaya. Tumepunguza vifo vya under 5 sababu ya chanjo za 'mabeberu' kama wakiamua kutuua wote leo au kuzalisha mazombie na mashoga hawashindwi kitu.
Inatakiwa wataalamu wa chanjo watoe elimu kwa raia. Ili mtu akitaka kuchagua achague akiwa anaelewa na si kwa kutumia mawazo ya Gwajima.
Hayo ni maoni binafsi ya Gwajima, nawe toa yako, hujazuiwa, japo kuna nafasi ya kuvaa magwanda na crown kwenda kuwashughulikia wote wenye maoni tofauti na dola.Yaani Gwajima ndio wa kupingana na Kauli ya Amiri Jeshi Mkuu? Eti Askari wasichanjwe? Eti Madaktri wasichanjwe? Eti Rais amepokea pesa ili akubali Chanjo?
Hata kama chanjo ingekua na makosa/mapungufu bado sio sahihi kwa Gwajima kutumia Umaarufu wake kuyapinga tena hadharani maelekezo ya Rais
Msipomkemea Gwajima, wallah wabillah nawaapia kuna siku ataiingiza hii nchi kwenye shida kubwa huku mlivyo wajinga mkiwakamata na kuwaharasi Chadema.
Wacha tukae kimya tumpigie makofi...
Jamani Gwajima ni mmoja we nenda kachanjwe , Tanzania chanjo ni hiariKwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Je, ikiwa kila huduma ya jamii (elimu, afya, Taasisi za Serikali km Setikali za Mitaa/Vijiji) itatolewa kwa waliochanjwa?Zipo taasisi/kampuni zitaweka sera ya kuchanja wafanyakazi wao wote kwa lazima. Najua serikali wanasoma maoni yetu, utolewe muongozo utaosimamia raia wake juu ya uhuru/hiari kushiriki hizi chanjo.
Twende na hili swala kwa akili!
Una maslahi na hili swala?Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha...