Km unachanjwa wew mwenyew usituaminishe upuuzi rwanda walichanjwa nchi nzima na bado maafa ni makubwa kuliko tz na lockdown kibao!!!!!
 
Kuna nchi moja kutoka gulf states imechanja almost raia wake wote laikini maabukizi na vifo ndo yanazidi kutapakaa na kila siku wana strengthens mashariti na ku lock down nchi yao. Vaccine siyo solutions at all.
 
Kuna nchi moja kutoka gulf states imechanja almost raia wake wote laikini maabukizi na vifo ndo yanazidi kutapakaa na kila siku wana strengthens mashariti na ku lock down nchi yao. Vaccine siyo solutions at all.
Maambukizi lakini sio vifo
 
Msipomkemea Gwajima, wallah wabillah nawaapia kuna siku ataiingiza hii nchi kwenye shida kubwa huku mlivyo wajinga mkiwakamata na kuwaharasi Chadema.
Unakumbuka wale waliosubiri safari pale airport dsm, nadhani waliitwa Sabato masalia kama sikosei.
Huko Burundi kuna watu wameuza kila kitu na kupanda mlimani kumsubiri Yesu
Uganda waumini walichomwa moto kwa kuwa huwezi kwenda mbinguni bila kufa kwanza (Kibwetele)

Ni mengi sana, mtu akishamwamini kiongozi wake wa kiroho basi humthamini hata kuliko Mungu wakati mwingine
 
Ukiona mtu anashabikia chanjo
1. Kala fungi la dola za wenye corona.
2. Ni mjinga na ujinga wake umesababishwa na hofu zinazotolewa Kila siku na mawakala wa corona
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
'za kuambiwa ongeza na za kwako,' maneno ya mh kikwete. Nani amekwambia serikali imejiridhisha? Kwa nini chanjo ni mpaka ujaze form na kukubali kuwa serikali haitahusika na madhara ya chanjo? Una ishi ki- remote.
 
Ni aibu sana na hatuna hata shukrani. Bila mzungu TB, Ebola, polio, small pox nk, vingetumaliza vibaya. Tumepunguza vifo vya under 5 sababu ya chanjo za 'mabeberu' kama wakiamua kutuua wote leo au kuzalisha mazombie na mashoga hawashindwi kitu.

Inatakiwa wataalamu wa chanjo watoe elimu kwa raia. Ili mtu akitaka kuchagua achague akiwa anaelewa na si kwa kutumia mawazo ya Gwajima.
Jiulize watutengeneze mashoga au mazombie wao wanafaidikaje na huo uzombie ama ushoga wetu.Tupo karne ya 21 ila tuna mawazo ya Ki hadzabe sana yaani mi naona cha kudiscus ni serikali kujiridhisha na ubora wa chanjo napo utaalam hatuna tunabaki na utalam wa vijiweni wa kuambizana chanjo itafanya tuwe mashoga na mazombie
 
Yaani Gwajima ndio wa kupingana na Kauli ya Amiri Jeshi Mkuu? Eti Askari wasichanjwe? Eti Madaktri wasichanjwe? Eti Rais amepokea pesa ili akubali Chanjo?

Hata kama chanjo ingekua na makosa/mapungufu bado sio sahihi kwa Gwajima kutumia Umaarufu wake kuyapinga tena hadharani maelekezo ya Rais

Msipomkemea Gwajima, wallah wabillah nawaapia kuna siku ataiingiza hii nchi kwenye shida kubwa huku mlivyo wajinga mkiwakamata na kuwaharasi Chadema.

Wacha tukae kimya tumpigie makofi...
Hayo ni maoni binafsi ya Gwajima, nawe toa yako, hujazuiwa, japo kuna nafasi ya kuvaa magwanda na crown kwenda kuwashughulikia wote wenye maoni tofauti na dola.
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Jamani Gwajima ni mmoja we nenda kachanjwe , Tanzania chanjo ni hiari
 
Zipo taasisi/kampuni zitaweka sera ya kuchanja wafanyakazi wao wote kwa lazima. Najua serikali wanasoma maoni yetu, utolewe muongozo utaosimamia raia wake juu ya uhuru/hiari kushiriki hizi chanjo.

Twende na hili swala kwa akili!
Je, ikiwa kila huduma ya jamii (elimu, afya, Taasisi za Serikali km Setikali za Mitaa/Vijiji) itatolewa kwa waliochanjwa?
 
Lazima tuwe waoga katakana na, dawa haina evidence ya kutosha kuujulisha dunia kuwa inaponya namna gani, kama vile HIV via ARV it is real inapambana vizuri.
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha...
Una maslahi na hili swala?
 
Back
Top Bottom