Underwood
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 1,909
- 3,104
Ninyi msio na bikra ndio mmechoka na kuuona ni upuuzi, wenye bikra na walioolewa na bikra wanaona ni jambo zuri.
Kwa hiyo inategemea upo upande gani.
Kama ni malaya lazima utetee malaya wenzako
Kama sio malaya huwezi tetea
Nilishasema hata angekuwa mama yangu, kama hakuolewa akiwa hana bikra basi ni malaya. Niseme mara ngapi hivyo.
Umalaya hauna excuse,
Vijana msioe mwanamke asiye na bikra, ashumuni huyu ndio mke wenu kisha jioneeni
Msumari kwa jeneza!