tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,023
- 18,529
Hii ndio maana ya KAMARI mkuu; sio jambo la uhakika 100%We jamaa nikikufata nakosa, siku nikisema Leo ngoja nipouse mke unakubali haha
Hii ndio maana ya KAMARI mkuu; sio jambo la uhakika 100%We jamaa nikikufata nakosa, siku nikisema Leo ngoja nipouse mke unakubali haha
Mkubwa tafuta na sportbet utupie odd Mkuu auNBA is rolling.......tonight....matokeo ya leo yatashangaza mno kwa mechi 2 Kati ya 8 zinazocheza asubuhi ya leo .......
Imebaki mechi 1 Kati ya 13 za code ya basket niliyoileta jioni humu....hiyo hapo chini nipate stake ya NBA code nimeshasuka na usingizi huoo...dah!
yaan siamini kabisaaaPanathinaikos
Man City jini kaishafunga la piliPsg na Manchester city swaelewi
Hii ndio maana ya KAMARI mkuu; sio jambo la uhakika 100%
Mpumbavu sana pamoja na mpinzani wake kula umeme mapemaaa kanikosesha nusu laki.Panathinaikos
Anafungwa na watu pungufu!! Aiseee!Panathinaikos
Ndio basi tena; tuanze kusuka mikeka ya kesho aisee! Hawa mbwa wamebeti kwa mara ya pili tena maana kuna siku walipata red card ya kijinga kama hii wakatuchania mikeka.PSG red Card ♦️
Naomba tulale tuuu
Ofi crete wamekula umeme dk ya 8 nikasema baaasiiii... Sasa ivi wapo 90'+ kapigwa 1 mtungi...yaan siamini kabisaaa
Hawa mikundu leo watatulaza na viatu aisee:
View attachment 2461522
Sijui mbape na mess hawapo maana nwasubiri wao tu na poto nimeweka over 2.5Man City jini kaishafunga la pili
Psg ndio jinamizi