Leo nitajutia Sana aisee , mkeka wa ods 100 unaenda kutiki ,Ila kuiogopa lile haiwezi kutoa over one nikatoa elfu NNE kmmk daaah , sijui code NI ya big au nan sikumbuki sirudii tena kucash out, hapo bado Paris goli Moja na Porto goli Moja daaah
 

Attachments

  • Screenshot_2022-12-29-00-34-13-989_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-12-29-00-34-13-989_com.android.chrome.jpg
    123.9 KB · Views: 3
Mpumbavu sana pamoja na mpinzani wake kula umeme mapemaaa kanikosesha nusu laki.
Huyu mbwa hata mm sina hamu naye aisee! Leo kanilaza na viatu. Nilipoona red card nikaweka tiki, kuja kuchungulia nikafikiri labda wamekosea kuweka goli, kumbe ndio nshaliwa hivyo. Wamepiga shuti nyingi sana lakini zote zimelenga nje ya goli. Mikundu wa kutupwa!
1672263488011.png
 
Huyu mbwa hata mm sina hamu naye aisee! Leo kanilaza na viatu. Nilipoona red card nikaweka tiki, kuja kuchungulia nikafikiri labda wamekosea kuweka goli, kumbe ndio nshaliwa hivyo. Wamepiga shuti nyingi sana lakini zote zimelenga nje ya goli. Mikundu wa kutupwa!
View attachment 2461543
Ni kamzozo siku ya 4 leo team 1 lazima izingue sasa nampandia dau muhindi lazima nimtoboe spika.
 
Psg na mwenzie daaah
 

Attachments

  • Screenshot_2022-12-29-00-45-53-265_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-12-29-00-45-53-265_com.android.chrome.jpg
    122 KB · Views: 3
Back
Top Bottom