Hahaha nimeipenda hiyo, maisha yenyewe mafupi watu wanapoteza muda mwiiingi kujadili papuchi ambayo ni mali ya Mwanamke na ana uhuru nayo, ...
 
Hahaha maisha yenyewe mafupi watu wanapoteza mu´da mwiiingi kujadili papuchi ambayo ni mali ya Mwanamke na ana uhuru nayo, ...
Nashangaa aisee, na wanasahau hicho kiungo kiliumbwa kitumike na kikitumika vizuri mwanamke ndio analaumiwa utafikiri ndio kakitumia mwenyewe, kwa kweli life ni fupi Sana na hii mitazamo tuliyoaminishwa ndio inatuongezea stress
 
hata mabebez wangu wananielewa maana ni wanaume matured wanaoangalia Mambo from different angle, I always date matured wanaume na sio wavulana
Huyu dada kwanzia sasa sita reply tena kwake maan anadhirisha dhahiri ni malaya tena mdangaji!! Kwhyo ww una mabebez na sio baby🙌🏻🙌🏻😆😆 una mabebez wangap tuambie!! pole mkuu sasa ndo nimejua kwann unapinga sana hii mada!! Et una date na matured😆😆 wewe hudate na matured ila una date na wababa waliokuzid umri tena waume za watu maan wa umri wako wamekususa!! Wasalimie mabebez zako🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
 
That was my dream from the beginning now it disappears in a tiny air , though it's not too late!
 
Waga
Waga nazielewa sana maada zako mkuu.
 
Kama ndio bora kumuoa basi elekeza anapatikanaje maana ni ngumu kuwapata
 
Humu JF ni wanawake sio visichana vidogo,

Visichana vidogo kwao ni instagram ama Facebook...

Kwa muktadha huo unapoteza muda kuhubiri kuhusu bikira huku JF kwa watu ambao wengi ni matured ladies...

Halafu wacha kutuhubiria ubikira,

Hauna usafi wowote wewe,

Nimeona pale unaulizwa wapi kuwapata hao bikira, eti ukajibu Msalato Girls secondary school na shule nyingine za wasichana sijui wapi....

Unawatuma mafisi wenzio waende huko mashuleni??

Hivi huu sio ku promote umala.*ya???

Mkiwatoa hao wasichana bikira zao,

Mnakuja kubwabwaja humu...

Mnasahau hawa waliopo humu wengine ni hao hao waliopitia Msalato???
 


Nilikumiss sana Mpenzi😍😍😍
 
Katk maisha yangu nimewatoa wanawake wawili bikraa ila mpk sas cjaoa ata mmoja hapa nilipo Niko na mnyaturu ananimbia Ni bikra ila nin hofu cina mzukA kbsa na mwanamke bikraa nikizingatia kuwa wale nilio watoa walilia sana yaani had kuwaonea huruma sas HV nawaza huyu niliempata nitamfanyaje mnk cko tayari mm kuanza kuzinduaa mgodi wakati kina Zero IQ wapo
 
Huna hoja hata moja ya msingi hapo. Faida ni moja tu, sema INABANA!!
 
Hata Mimi sikukuomba u reply nilichoandika ilikuwa shobo zako tu so pita hivi mwana wa zinaa, useless kabisa, ka mtu asiyeandika usichotaka Malaya basi hajamzidi aliyekutotoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…