Vincenzo Jr

JF-Expert Member
Sep 23, 2020
12,164
25,451
Naam leo ndo leo majira ya saa 4 usiku kwa saa za afrika mashariki kutakuwa na mchezo kati ya Tanzania na Morocco

KUFUZU WORLD CUP: TANZANIA YAPOTEZA 2-0 DHIDI YA MOROCCO KWA MKAPA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa magoli 2-0 licha ya kuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Mkapa ikicheza dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi E Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026.

Magoli yamefungwa na Hakim Ziyech anayeitumika Galatasaray ya Uturuki na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC aliyejifunga.

Matokeo mengine ya Kundi E, Niger imeifunga Zambia magoli 2-1, hivyo timu zote hizo zina pointi tatu kasoro Congo ambayo haina alama.
 
Bora tufungwe tu, mchi ya kisenge hii.. Ahsante mama ahsante mama.

Kesho mie nitakuwa uoande wa wanangu, asubuhi na mapema natinga kanzu langu, nitakuwa uoamde wa kina hakim ziyech na mwenyekiti wa wanaume wajanja wooye dunian mheshimiwa AHRAF HACHIM, kiboko ya gold diggers.
 
Wanasemaga too much is harmful, ndivyo ilivyo kwa ushiriki wa mama ktk michezo.

Mwanzoni ilikuwa nzuri, kwa kuonekana mama anapenda michezo na anatoa support.

Ila sasa hivi limekaa kisiasa zaidi, halivutii tena!
 
Back
Top Bottom