Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,568
1705438670698.png

Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku

Timu hizo zipo kwenye kundi F ambpo timu nyingine ni Zambia na DR Congo.

Upi utabiri wako wa mechi hiyo?

===========


Timu ya taifa ya #Tanzania ‘TaifaStars’ inatarajiwa kuanza ushiriki wake wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2023) kwa kukipiga dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi F, leo Januari 17, 2024.

Baada ya mechi ya Morocco, Tanzania inayonolewa na Kocha Adel Amrouche inatarajiwa kukutana na Zambia (Januari 21, 2024) kisha dhidi ya DR Congo (Januari 24, 2024).

Jikumbushe historia ya mechi zilizopita baina ya wababe hao wawili; Tanzania 0-2 Morocco (2023), Morocco 2-1 Tanzania (2013), Tanzania 3-1 Morocco (2013), Morocco 3-1 Tanzania (2011), Tanzania 0-1 Morocco (2010).

20240117_202748.jpg


22' Himidi Mao anaoneshwa kadi ya njano.

Dakika ya 29 Morocco 0 - 0

Dakika ya 30 Morocco wanapata goli la kwanza.

31' Novatus anaoneshwa kadi ya njano.

Dakika ya 33 Morocco 1 -0 Tanzania

Dakika 38 anatoka Tarryn anaingia Msuva.

HT: Morocco 1 - 0 Tanzania

46' Anaingia Morice Abraham anatoka Mudathir

70' Novatus Dismas anaoneshwa kadi ya njano ya pili

77' Gooooooal Ounachi: Tanzania 0 - 2 Morocco

80' Goooal El Nesry: Tanzania 0 - 3 Morocco.

FT: Tanzania 0 - 3 Morocco
 
Back
Top Bottom