Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania Twiga Stars Yafuzu WAFCON 2024 Morocco

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,053
49,736
Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania Twiga Stars imefuzu mashindano ya WAFCON 2024 Morocco licha ya kupoteza Kwa Togo.

Tanzania imefuzu kwa Aggregates.Hongera sana kina dada.
---
Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake (Twiga Stars) imefanikiwa kufuzu Michuano ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2024 inayotarajiwa kufanyika Nchini Morocco.

Twiga imepata mafanikio hayo licha ya kufungwa magoli 2-0 na Togo katika mchezo wa marudio wa kufuzu, leo Desemba 5, 2023 kwa kuwa matokeo ya jumla Twiga imeshinda magoli 3-2.

Mara ya mwisho mwisho Twiga kushiriki WAFCON ilikuwa Miaka 13 iliyopita (Mwaka 2010) Nchini Afrika Kusini, tangu hapo imekuwa ikiondolewa kila inaposhiriki katika mechi za kufuzu.

My Take
Nyota ya Rais Samia inaendelea kuliangazia Taifa kwenye nyanja zote kuanzia uchumi Hadi michezo.

  • Taifa Stars Afcon
  • Twiga Stars WAFCoN
  • Dart tuko World Cup
  • Worldcup Women Olympic Qualifiers
 
Kulilkuwa na mlinganisho wa soka ya wanawake na wanaume .

USA mabingwa wa dunia 2015 timu ya wanawake waliwahi kupoteza mechi 2-5 na Dallas FC timu ya vijana wa kiume umri chini ya Miaka 15 !


HuffPost
Carli Lloyd Defends Time Her U.S. Women’s Team Lost To 15-Year-Old Boys
Ron Dicker
November 10, 2023·2 min read

U.S. soccer great Carli Lloyd, who once scored three goals in a World Cup final, found herself playing defense on social media Thursday.

A person with a vulgar username on X, formerly Twitter, asked her, “Carli is it tru you lost to a bunch of 15 year old boys?”

The question appeared to be intended as a “gotcha.” But in 2017, CBS reported on the women’s national team’s 5-2 defeat to FC Dallas’ U-15 boys academy team in a scrimmage.

Lloyd did not shrink from the query.

“Yes it’s true. I know…thousands of people have already brought that up,” she wrote. “They were good. We actually lost to a youth Bayern Munich team in my career as well but then we went on to win Olympics and World Cups. So.....”

When someone posted a photo of her next to a much larger player from the FC Dallas teen squad, Lloyd wrote: “Haha. They should beat us. Bigger, stronger, faster! Boys always gave us a run for our money! It was great prep.”

The national team was the reigning World Cup champion at the time (due partly to Lloyd’s Golden Ball-winning heroics at the 2015 event) and would win a second World Cup with Lloyd in 2019.

She finished her storied international career with 134 goals, the third most in U.S. women’s history.

Some observers on X applauded Lloyd for her frankness.

“Wow, honesty, and straight forward candor. Another reason we dig you, Carli,” one wrote.

“Much respect for not trying to spin it,” another commented. “Women’s sports are just as good as men’s sports, just different.”
 
Hongera kwao, ila waache kuwa na mionekano ya kiume.

Nchi zilizoendelea wachezaji wa kike wana mionekano ya kike kwanini Tanzania inakuwa tofauti.?

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
They are pseudo-masculine, sio Tanzania tu ni afrika kwa ujumla wanasoka wengi wa kike wanaamini kujiweka katika hali ya kiume ndio mwanzo wa kufanya vizuri uwanjani na kuonekana kwelii wewe ni mchezaji, yote hii ni kwa sababu kitamaduni Soka ni mchezo wa kiume
 
Hongereni sana Twiga stars kwa kufuzu michuano ya mataifa huru, nawatakia maandalizi mema kwenye kuelekea michuano husika huko Morocco
 
Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania Twiga Stars imefuzu mashindano ya WAFCON 2024 Morocco licha ya kupoteza Kwa Togo.

Tanzania imefuzu kwa Aggregates.Hongera sana kina dada.
---
Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake (Twiga Stars) imefanikiwa kufuzu Michuano ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2024 inayotarajiwa kufanyika Nchini Morocco.

Twiga imepata mafanikio hayo licha ya kufungwa magoli 2-0 na Togo katika mchezo wa marudio wa kufuzu, leo Desemba 5, 2023 kwa kuwa matokeo ya jumla Twiga imeshinda magoli 3-2.

Mara ya mwisho mwisho Twiga kushiriki WAFCON ilikuwa Miaka 13 iliyopita (Mwaka 2010) Nchini Afrika Kusini, tangu hapo imekuwa ikiondolewa kila inaposhiriki katika mechi za kufuzu.

My Take
Nyota ya Rais Samia inaendelea kuliangazia Taifa kwenye nyanja zote kuanzia uchumi Hadi michezo.

  • Taifa Stars Afcon
  • Twiga Stars WAFCoN
  • Dart tuko World Cup
  • Worldcup Women Olympic Qualifiers

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1732716885874008342?t=V2n-91OfvLi_KT_f2TSo7g&s=19
 
Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania Twiga Stars imefuzu mashindano ya WAFCON 2024 Morocco licha ya kupoteza Kwa Togo.

Tanzania imefuzu kwa Aggregates.Hongera sana kina dada.
---
Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake (Twiga Stars) imefanikiwa kufuzu Michuano ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2024 inayotarajiwa kufanyika Nchini Morocco.

Twiga imepata mafanikio hayo licha ya kufungwa magoli 2-0 na Togo katika mchezo wa marudio wa kufuzu, leo Desemba 5, 2023 kwa kuwa matokeo ya jumla Twiga imeshinda magoli 3-2.

Mara ya mwisho mwisho Twiga kushiriki WAFCON ilikuwa Miaka 13 iliyopita (Mwaka 2010) Nchini Afrika Kusini, tangu hapo imekuwa ikiondolewa kila inaposhiriki katika mechi za kufuzu.

My Take
Nyota ya Rais Samia inaendelea kuliangazia Taifa kwenye nyanja zote kuanzia uchumi Hadi michezo.

  • Taifa Stars Afcon
  • Twiga Stars WAFCoN
  • Dart tuko World Cup
  • Worldcup Women Olympic Qualifiers

View: https://www.instagram.com/p/C0jprNQt8XX/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom