Hawa majamaa zangu wanambwembe sana mix misifa ya kutosha utafikiri wana undugu na wakina
Martin Lawrence. Sasa siku moja walinishtua tushuke maeneo ya sokomatola (kwa wenyeji wa mbeya wanakujua huku) kuna mshkaji kati yetu alikuwa anaenda kuonana na manzi yake walikuwa wamekumbukana maana demu...
Klabu ya Yanga wamekuwa wa kuzodoa zodoa tena kwenye media , wasemaji wamejenga chuki kuliko washabiki, wamefanya chuki kubwa sana. Yanga wamesababisha Simba nayo ianze kujibu na kuonekana wajinga lakini upuuzi ulianzishwa na Yanga.
Ali Kamwe na Shayo[Privadinho] kama wangepata na wanadada...
Mm napenda a good laugh,hasa nikishamoka,pembeni nipo na juisi yangu pendwa ya miwa na vichapuza,then niweke muvie Kali ya komedi nichekee mpaka basi.
Katika safari yangu ya kucheka nimegundua kuwa kucheka sio rahisi kwani movie itakayokuchekesha Leo kesho utaona ya kitoto so laughing is hard...
Masawali haya je una majibu?jibu kisha nitumie majibu(mtihani wa maarifa ya dunia)
1.Kama hela haioti kwenye kwenye miti kwa nini bank zina matawi ?
2.Kwa nini gundi hainati kwenye chupa yake?
3.Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa kwa nini bar kuna parking?
4.Kama neno...
Wasaalam..
Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja
Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile...
Kwema wakuu, mishe zinaendeleaje,
Wakuu kwa wale wakongwe wa miaka ya 80s, bila shaka mtakuwa mnafahamu mchekeshaji huyu ambae alijizolea umaarufu mkubwa kutokana na fani yake ya uchekeshaji yani comedian.
Mzee Jangala alikuwa na timu yake ambayo ilisheheni watu waliokuwa wamebobea katika...
Mimi leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari yangu aina ya BMW mara Ghafla ikakwama kwenye Tope. Ikabidi nishuke kuisukua Loh! Ile kuamka nakuta nimesukuma kitanda hadi sebuleni. Ni ndoto gani ya kuchekesha ushawahi kuota.
Nakumbuka nilimtania Mwalimu wangu wa shule ya Msingi nikajificha nyuma ya fensi ya nyumbani kwetu
Kumbe aliniona bwana.
Kesho yake nafika shule tu akaanza na mimi.
Nikala viboko.
Wewe unakumbuka nini??
Karibu tusimuliane.
Kwanza ziwe za kuchekesha
Pili ziwe za kutisha
Tatu ziwe za maajabu
Nne ziwe na mkono wa kufa mtu
Kusiwe na huzuni kwenye muvi hiyo
Na pia kama katuni pia napendelea
Naombeni tafadhali NA PICHA ZAKE IKIWEZEKANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.