Hidden Diamond
Member
- Jan 31, 2024
- 42
- 119
Hawa majamaa zangu wanambwembe sana mix misifa ya kutosha utafikiri wana undugu na wakina
Martin Lawrence. Sasa siku moja walinishtua tushuke maeneo ya sokomatola (kwa wenyeji wa mbeya wanakujua huku) kuna mshkaji kati yetu alikuwa anaenda kuonana na manzi yake walikuwa wamekumbukana maana demu toka atoke chuo walikuwa hawajawahi kuonana.
Siku ile tuliamua tupige tu mguu kutoka airport ya zamani mpako soko matola alafu mida yenyewe ilikuwa ni saa moja na nusu usiku ndo tunatoka pande za airport ya zamani.washkaji tulikuwa kama wanne kwa hiyo tulijiamini kwamba hata tukivamiwa na vibaka au majambarika basi tunaweza kuwavimbia kidogo japokuwa kwenye kundi letu hilo kuna jamaa yetu mmoja mkono alikuwa anaujua kwa hiyo tulikuwa tuna imani naye kwamba anaweza kutubeba.
Sisi wengine tulikuwa ni unga limited yaani tukirusha ngumi moja pumzi tayari imekata huku mapigo ya moyo yakikimbia kwa speed ya duma aliyemuona sungura porini.sasa tulienda soko matola jamaa akaonana na manzi wake wakapigana mabusu mix romance za kutosha tukawa tunarudi kwa mguu ile tumefika pande za Mafiat (dada poa wanapojiuza) walivyotuona wakatukimbilia na vinguo vyao vifupi mara kaka karibuni tutawapa raha mtaenjoy mix maneno mengi.
Kwenye kundi letu kuna mshkaji wetu mmoja alikuwa na misifa alafu ana lisauti likali kweli tunakuta kaanza kuwapiga vibao vya matako na makonzi ya kichwaani wale dada poa huku akiwaambia ”yaani hamtaki kuolewa mnataka kuendelea kutunyonya buku tano tano zetu eeh, alafu hivyo vinguo vifupi mnamvalia nani eeh, wazazi wenu au ndg zenu wanajua mnayoyafanya hapa eeh" (kumbukeni hayo maneno anayaongea huku wale wadada wakiendelea kupigwa vibao vya matako na makonzi ya kichwa) basi sisi ilibidi tumvute pembeni mshkaji maana hata sisi tulikuwa tumeduwaa hatujui jamaa aliwaza nini.
NARUDI JAMANI(kuwaambia nini kilitukuta baada ya hilo tukio)
Martin Lawrence. Sasa siku moja walinishtua tushuke maeneo ya sokomatola (kwa wenyeji wa mbeya wanakujua huku) kuna mshkaji kati yetu alikuwa anaenda kuonana na manzi yake walikuwa wamekumbukana maana demu toka atoke chuo walikuwa hawajawahi kuonana.
Siku ile tuliamua tupige tu mguu kutoka airport ya zamani mpako soko matola alafu mida yenyewe ilikuwa ni saa moja na nusu usiku ndo tunatoka pande za airport ya zamani.washkaji tulikuwa kama wanne kwa hiyo tulijiamini kwamba hata tukivamiwa na vibaka au majambarika basi tunaweza kuwavimbia kidogo japokuwa kwenye kundi letu hilo kuna jamaa yetu mmoja mkono alikuwa anaujua kwa hiyo tulikuwa tuna imani naye kwamba anaweza kutubeba.
Sisi wengine tulikuwa ni unga limited yaani tukirusha ngumi moja pumzi tayari imekata huku mapigo ya moyo yakikimbia kwa speed ya duma aliyemuona sungura porini.sasa tulienda soko matola jamaa akaonana na manzi wake wakapigana mabusu mix romance za kutosha tukawa tunarudi kwa mguu ile tumefika pande za Mafiat (dada poa wanapojiuza) walivyotuona wakatukimbilia na vinguo vyao vifupi mara kaka karibuni tutawapa raha mtaenjoy mix maneno mengi.
Kwenye kundi letu kuna mshkaji wetu mmoja alikuwa na misifa alafu ana lisauti likali kweli tunakuta kaanza kuwapiga vibao vya matako na makonzi ya kichwaani wale dada poa huku akiwaambia ”yaani hamtaki kuolewa mnataka kuendelea kutunyonya buku tano tano zetu eeh, alafu hivyo vinguo vifupi mnamvalia nani eeh, wazazi wenu au ndg zenu wanajua mnayoyafanya hapa eeh" (kumbukeni hayo maneno anayaongea huku wale wadada wakiendelea kupigwa vibao vya matako na makonzi ya kichwa) basi sisi ilibidi tumvute pembeni mshkaji maana hata sisi tulikuwa tumeduwaa hatujui jamaa aliwaza nini.
NARUDI JAMANI(kuwaambia nini kilitukuta baada ya hilo tukio)