Ni ndoto gani ya kuchekesha ushawahi kupata?

Secret Star

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
1,708
1,553
Mimi leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari yangu aina ya BMW mara Ghafla ikakwama kwenye Tope. Ikabidi nishuke kuisukua Loh! Ile kuamka nakuta nimesukuma kitanda hadi sebuleni. Ni ndoto gani ya kuchekesha ushawahi kuota.
 
Ndoto zote tisa ila ile ndoto pendwa ya kukimbia na viatu vizito vya chuma ndio mwisho wa habari
 
Back
Top Bottom