Kwa mara ya kwanza Jeshi la Israel walijaribu kutumia marubani wa kike 26 October 2024, waliweza kushambulia kambi ya jeshi la iran, kuua askari wanne na kuharibu mifumo ya ulinzi iliyojaribu kuwazuia , waliweza kufika Tehran kupiga doria na kurudi salama Israel.
Round hii wameenda wengi zaidi...
Hii sio sasa maana Usrael wanaingia na kutoka kwenye anga la Iran utadhani wanacheza game.
Mikwara yote ile tuliyokuwa tunasikia ya mifumo imara ya ulinzi wa anga imegeuka kuwa kama kituko, Hivi kweli ina make sense katika ndege zote hizi zinazokwenda kushambulia Iran hakuna hata moja...
Game inaanza tu. Maafisa wa ngazi za juu kabisa kwenye jeshi wanafyekwa kule iran.
Wanasayansi wa maswala nyuklia nao wameliwa vichwa.
Putin unatuangusha sana. Kumwacha Zeleskyy kuendelea kuzurura kote ulaya ba marekani kuomba msaada wa kupambana na nyie mjue hatuwaelewi!!
Malizaneni na huyu...
Wadau hamjamboni nyo. te, Msemaji wa IDF: Israel imeipiga Iran bila kusimama kwa saa 40, ikijumuisha zaidi ya malengo 150 Tehran haina kinga tena , Emanuel Fabian Fuata Leo, saa 8:55 mchana Msemaji wa IDF Brig.
Jenerali Effie Defrin, katika mkutano na waandishi wa habari, anasema...
Wadau hamjamboni nyote.
Jeshi la anga la Israel ilishambulia kwa mabomu kituo cha chini cha ardhi cha Iran kilichohifadhi makumi ya makombora magharibi mwa Iran leo.
Jeshi la anga la Israel limeshambulia kwa mabomu kituo cha silaha za...
saa 2 zilizopita BREAKING NEWS Ndege za kivita za Israel zitaruka hivi karibuni juu ya Tehran, Netanyahu anasema Ndege za kivita za Israel hivi karibuni zitaruka juu ya Tehran na kushambulia shabaha zote muhimu za kuanzishwa kwa makasisi wa Iran, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alisema Jumamosi...
Mzee Ayatollah anaachwa mpweke na lile vazi lake, huyu mshauri ndiye alikua mojawapo wa watu wa karibu yake sana, kawahishwa kwa mabikira 72.
Israel imeamua kwanza kutomgusa Ayatollah ajionee Iran inavyoporomoka.
----++++++
senior adviser to Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei, Ali...
Al Jazeera wanatangaza Kituo Cha gesi Cha South Pars gas kilichopo kusini mwa Jimbo la Bushehr.
Kadhalika Netanyahu ametangaza operation kubwa kuendelea dhidi ya Iran.
(Al Jazeera News 1900 hrs)
====
Israeli forces struck Phase 14 of the South Pars gas field, causing a fire in parts of the...
Iran's airspace officially belongs to Israel now.
Nuclear sites, military bases, and IRGC senior officials are all on the menu.
It's the beginning of the end of the Islamic regime in Iran.
Wadau hamjamboni nyote, bTaarifa muhimu Baraza la mawaziri la usalama Israel kukutana kwenye chumba maalumu chini ya ardh underground bunker saa 10 jioni, taarifa kamili hapo chini kwa kimombo, By Times of Israel The security cabinet is set to meet in an underground bunker tonight at 10...
Watu watakufa watu wataumia kwa maelfu ila wazee wakutoa roho qka Israel wana kazi moja sio vinu vya nyuklia wala nini ila roho ya mkuu wakidini Ayatollah Khamenei.
Je, ni kwani?
Mpaka sasa Israel chini ya kikosi chao cha majasusi Shinbet and Mossad wamesha pata nakala na ushahidi wakutosha...
Jeshi la iran kwa mujibu wao limefungulia mlango wa kuzimu jana
Kwa kurusha drones za kubahatisha yaani iue yoyote
Kwa maskitiko imeua watu watatu wasio na hatia
Je hili jesh tofauti yao na magaidi wa hamas na hezbolla ni ipi?
Jeshi lenye ueledi haliwezi kurusha mabomu km kichaa huo...
Kumekucha Israel kanza kuomba nchi za Jiran zimsemeshe Iran asiwashambulie. Vichaa kweli hawa Israel wanataka Iran wasirudishe mashambulizi hahaha nadhani Israel wameisha changan'yikiwa.
Zelensky anaomba USA na maswahiba zake wasije wakazama sana katika kumpiga TAFU Israel mwisho wa siku wakamsahau yeye na Ukraine yake.
Bado anahitaji sana misaada.
https://x.com/BRICSinfo/status/1933872405090566267
JUST IN: 🇺🇦 Ukrainian President Zelensky says he hopes Israel's conflict with...
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) linasema kuwa linaendelea na mashambulizi ya anga katika maeneo ya Iran.
Katika taarifa fupi iliyotumwa kwa Telegram, IDF ilisema kwamba "Jeshi la anga la Israel linaendelea kulenga shabaha ili kuondoa vitisho nchini Iran".
Taarifa hiyo ilichapishwa pamoja na...
China inalaani "ukiukaji wa Israel wa mamlaka, usalama na uadilifu wa ardhi ya Iran", mjumbe wa Umoja wa Mataifa Fu Cong alisema katika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa saa chache zilizopita.
Beijing "ina wasiwasi mkubwa" juu ya athari mbaya ya hali ya sasa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.