Hello job seekers, Sekretarieti ya ajira (PSRS) umeanzisha utaratibu mpya wa kufanya written interview online(aptitude test) mitihani hii imefanyika kwenye kila mkoa Tanzania nzima kwa vituo vilivyoanishwa.
Hivyo basi Leo tar 6 umefanyika mtihani ambao unajulikana kama aptitude test wameanza na...
If possible it should be conducted during pregnancy so the man can hands off the woman before child birth
Let the real father take over.
Women needs to start facing the consequences for their cheating.
Jamani hebu wataalamu niambieni.
Maana mie ngoma ninayo miaka 20+ situmii ARV lakini nimepima zile oral mara tatu zote zinasoma negative.
Sasa sijaelewa hii inakuwaje
Wakuu, habarini za muda huu na poleni kwa mihangaiko na shughuli mbalimbali. Nina maswali kadhaa kuhusu procedure za ajira NMB Bank upande wa Direct Sales Staff.
1. Maswali common yanayoulizwa kwenye aptitude test ni yapi?
2. Je ukifanikiwa kupita kwenye aptitude test inachukua muda gani...
Habari za mwaka mpya ndugu zangu.
JUZI Mrs alikuwa anasumbuliwa na mafua pamoja na kichwa ambavyo vimedumu Kwa mda mrefu Sasa, ikabidi nimpeleke hospitalini.
Alipoeleza dalili hizo Swali la dokta:au una ukimwi?.
Akamwambia inabidi ukacheki damu!!!
Nilipofatilia vipimo alivyofanyiwa nikakuta...
Wakuu habari,
Nilipata ushauri kufanya hiko kipimo(EEG TEST) kulingana na kadhia ya mwanangu, naomba kupatiwa jina la hospitali nitakayompeleka kwaajili ya hiko kipimo maana Anayo bima ya afya(NHIF).
Mbarikiwe
BASIC DRIVING TEST
1. Taja makundi ya alama za barabarani
2. Taja maeneo ambayo dereva haruhusiwi kuegesha gari
3. Chora mchoro wa alama ya onyo/Tahadhari ikionyesha watu wenye mtindio wa akili wapo eneo hili.
4. Taja matumizi ya taa za barabarani pia eleza kazi ya kila rangi ya...
Micah Richards Siku ya mwisho ya dirisha la usajili aliangukia mikononi mwa Fiorentina.
Alikuwa hajui neno lolote la Kitaliano. Alikutana na mwenyeji wake ambaye ni Balotelli.
Katika zoezi la kumtambulisha kwa meneja wake akamuuliza Mario nasalimiaje ?
Mario akamjibu "Testa Di Cazo " manake...
Kuna watu walionekana wana IQ kubwa kumbe ni vilaza wa kutupa, kuna wengine tuliwachukulia poa kumbe kichwani zimo.
Tumeshawajua vilaza wa Taifa na vipanga wa Taifa.
Mtu anadiriki kusema kuwa wengine wanahoji kuhusu bandari wakati hawapajui bandarini,mwingine anahoji kuwa bsndari ilianzishwa...
Mhe.Rais wa JMT,
Mhe.Waziri wa TAMISEMI
Nawapongeza kwa jitihada zenu katika kutengeneza na kutoa fursa za ajira nyingi sana katika kada ya ualimu na Afya. Ni ishara njema katika kupunguza tatizo la ajira nchini.
Mhe. Waziri wa TAMISEMI, maoni na mapendekezo haya ni kwa ajili ya ofisi yako...
Wakuu,
Kama kichwa cha thread kinavyosema. Siku ya tarehe 18/02/2022 Saa saba Kamili ulifanyika mtihani wa INFORMATION MANAGEMENT SYSTEMS (IM 305). Baada ya kutoka kwenye mtihani huo, wanafunzi baadhi walionekana kuwa na huo mtihani kwenye simu zao, ukionekana kupigwa picha mapema kabla ya...
The World Economic Forum(WEF )proudly claims that “billions” who obeyed lockdowns and mask mandates will also comply with new globalist “social credit scheme” because they are the stupid lot.
It has finally been revealed and we knew this all along that Covid-19 lockdowns, mask mandates and...
Huwa naona maneno hayo yameandikwa kwenye trela za magari makubwa naamini wengi wetu tumeona pia.
Yawezekani ni kichekesho ila kwangu naona kuna maana kubwa kwenye huo msemo suala ni uimara wa chombo chako endapo utagonga hilo trela ama utagongwa kwa mbele yaani uso kwa uso (head on crash or...
Waziri Mkuu wa Finland, Sanna Marin (36) amefanya vipimo vya kubaini kama ana vimelea vya dawa za kulevya ndani ya mwili wake, ikiwa ni siku chache baada ya video kuvuja ikimuonesha akicheza muziki na marafiki zake.
Vipimo hivyo vimefanyika jana Agosti 19, 2022 na majibu yanatarajiwa kutoka...
Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au?
◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit.
◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi au gongo, ukiulizia ni lazma huyo muuzaji aangalie kulia na kushoto mithili ya mtu anayetaka kuvuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.