israel

  1. figganigga

    Israel haiwezi kaa wiki mbili bila kufanya tukio Iran

    Israel sio mtu wa Mazungumzo na magaidi. Kama Iran iliua muisrael yoyote hiyo imekula kwao. Mazungumzo ya Marekani na Iran si chochote kwa Israel. Waziri mkuu kashawapa funguo Wanajeshi wake waue gaidi popote watakapo muona. Yaani Wasisubiri ruhusa. Marekani anakubalije Mazungumzo wakati Israel...
  2. P h a r a o h

    Siku Ya kwanza Iran waliposhambuliwa na Marekani na Israel, waliandika hivi

  3. A

    America na Israel Wanetangazia Dunia Nzima Iran KawashiNda Vita

    Unapo ona taifa lolote limeanza kupiga Energy Infrastructure, Bridges, kiujumla miundombinu ujuwe limeisha zidiwa au yamezidiwa. Ukifatilia hi vita tokea mwanzo wao wakipiga civilian target Iran anapiga na yeye kulipisha walicho kipiga mfano power station na yeye anapiga vile vile lakini...
  4. U

    Jeshi la Israel limeanza kukishambulia kisiwa cha Kharg huko Iran

    Milipuko kadhaa imeripotiwa kutokea katika Kisiwa cha Kharg nchini Iran, kwa mujibu wa shirika la habari la nusu rasmi la Mehr. Kisiwa cha Kharg, kilichopo kwenye pwani ya magharibi ya Iran katika Ghuba ya Uajemi, ni kituo muhimu sana cha usafirishaji wa mafuta ya nchi hiyo, kikichakata sehemu...
  5. U

    Ubalozi wa Israel Istanbul Uturuki washambuliwa na magaidi watatu, Mmoja auawa na wengine wawili wajeruhiwa

    Mtu mmoja ameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kufuatia majibizano ya risasi na polisi karibu na ubalozi mdogo wa Israel mjini Istanbul, gavana wa jiji hilo amesema, akiongeza kuwa maafisa wawili wa polisi walijeruhiwa kwa kiwango kidogo. =========== ISTANBUL, Turkey — One attacker was killed...
  6. C

    Uhalisia wa maisha ya Israel kipindi hiki cha vita

    Mimi ni mmojawapo wa Vijana wa Kitanzania niliyepo Israel nikiwa ni mnufaika wa Programu ya kuongeza ujuzi kwa Ufadhili wa Serikali ya Tanzania. Tupo vijana wa kitanzania zaidi ya 100 ambao tumewezeshwa na Serikali yetu tukufu tukiwa na taaluma, ujuzi na fani mbalimbali na baadhi ni watumishi...
  7. M

    Waafrika ni nyani tunaoelekea kuwa binadamu. Kama unabisha Tazama vita ya Israel na Iran

    Israel ni taifa dogo sana sawa na mkoa wa Morogoro kila siku wanarusha ndege kwenda Iran na Wanarudi, Kila siku makombora yanaanguka kwenye miji yao lakini umeme, maji, mafuta na huduma zote za kijamii haziathiriki. Tanzania na Waafrika tuna mataifa makubwa yanakila kitu lakini hata vyanzo vya...
  8. Troll JF

    Tetesi: Mji Mkuu wa Irani Umeshambuliwa vibaya sana na vikosi vya US na Israel

    Vyanzo vyangu kutoka Iran vinaripoti kuwa kumetokea milipuko mikubwa nchini humo. Video zinazoonyesha milipuko karibu na kituo kikubwa cha makombora nje kidogo ya mji wa Isfahan zimethibitishwa. Kitengo cha BBC Verify kimechambua video tatu zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwemo...
  9. Echolima1

    Operation ya uokozi ya Mareka & Israel huko Iran!!!

    Maelezo kuhusu operesheni ya uokoaji kulingana na vyombo vya habari vya Marekani na Iran: Rubani wa Marekani alijificha kwenye kilima kilichoinuliwa katika eneo la milimani na misitu ambapo alitua. Alitembea kwa miguu mbali na mahali aliposhuka kwa parachuti kisha akawasha Signal ya kuonyesha...
  10. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akitoa taarifa kuhusu Iran

    Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu akiwa Kirya: Pamoja na marafiki zetu wa Marekani, tunaendelea kukiponda kichwa cha utawala wa kigaidi nchini Iran. Katika siku za hivi karibuni, Jeshi la Anga limeharibu 70% ya uwezo wa uzalishaji wa chuma wa Iran. Kwa uratibu kamili kati yangu na...
  11. Echolima1

    Gaidi huyu aliomba kifo Israel wakamtimizia haja yake!!

    Siku mbili zilizopita, gaidi wa Hezbollah Abbas Awala alionekana katika moja ya video za Hezbollah akiendesha kifaa cha kurusha roketi huku akiwa amevaa sanda ya mazishi, tayari kwa kifo chake. Jana, IDF ilikubali ombi lake na kumuua bila huruma yoyote!! Allah-Akbar Adiosamigo mdogoee @gallna...
  12. Echolima1

    Waziri wa Ulinzi Israel Katz amuonya Katibu Mkuu wa Hezbollah Naim Qassem

    Waziri wa Ulinzi wa Israeli Israel Katz katika ujumbe kwa Katibu Mkuu wa Hezbollah Naim Qassem: Utalipa gharama kubwa kwa kufyatua risasi kuelekea Israeli usiku wa kuamkia sikukuu. Hutaishi ili kuiona kesho yako kwa sababu utakuwa ndani kabisa ya kuzimu pamoja na wanachama wengine wa mhimili...
  13. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu katika taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Iran!!

    Benjamin Netanyahu katika taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Iran, Hapa kuna mambo MUHIMU ZAIDI: -"Natumai naweza kukuambia kuhusu miungano muhimu hivi karibuni". -"Utawala wa Iran unatarajiwa kuanguka - mapema au baadaye". -"Tuliunda mabadiliko ya kimkakati - Iran ilitaka kutunyonga, leo...
  14. K

    Uchambuzi kuhusu athari za vita inayoendelea baina ya Marekani, Israel dhidi ya Iran na hali ya mafuta nchini

    Vita baina ya Marekani, Israel dhidi ya Irani ilianza tarehe 28 Februari, 2026. Vita hiyo imeongezeka wigo kutokana na mashambulizi ya Irani kwa nchi za Saudi Arabia, Bahrain na Nchi za Falme za Kiarabu (UAE) ambazo ni wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani. UTARATIBU WA UAGIZAJI WA MAFUTA...
  15. Echolima1

    Waziri wa ulinzi Israel, Katz: Wakazi 600,000 wa Lebanon kusini hawataruhusiwa kurudi kwenye makazi yao tena

    Waziri wa Ulinzi wa Israeli Katz: amesema; "Wakazi 600,000 wa kusini mwa Lebanon ambao wamehamishwa hawataruhusiwa kurudi hadi usalama wa wakazi wa kaskazini mwa Israeli utakapohakikishwa. Nyumba zote katika vijiji vilivyo karibu na mpaka wa Lebanon zitaharibiwa. Israeli itaunda eneo la ulinzi...
  16. M

    Israel pamoja na kuwa nchi ndogo iliyopo vitani lakini Bajeti yao ni shilingi Trilioni 700, Nchi za Afrika tunakwama wapi hasa?

    Achana na ile misaada ya Marekani ya dola bilioni 4 kila mwaka (trilioni 10) ambayo huwa sio cash, huwa ipo katika mfumo wa silaha na vifaa Dola bilioni 271 ndio bajeti yao Israel, ni shilingi trilioni 700 kasoro vichenchi kidogo Mapato mengi ni kutokana na teknolojia, karibia kila kampuni...
  17. U

    Serikali ya Israel sasa Yaiomba Marekani kuhamishia kambi zake za kijeshi zilizokuwa mashariki ya kati na kuzileta wadanchini Israel

    Wadau hizo ni taarifa rasmi na siyo tetesiIsrael is set to invite the United States to relocate some of its bases in the region to Israel — and to establish new bases in the country — after the current war is over, Channel 12 reports, citing unnamed security sources. The security establishment...
  18. Sigonella Island

    Hezbollah Waingia ndani ya Galilee Israel na kuteka maeneo

    Wapiganaji wa Hezbollah wameingia ndani ya Mji wa Galile na kuteka mji huo pamoja wana Wanamgambo wa IDF waliojisalimisha kuokoa uhai wao Raia wameshauriwa kukimbia mji huo. 🚨 BREAKING: Hezbollah Forces Push Deep into Northern Israel – Galilee Communities Overrun, Mass Evacuations in Chaos...
  19. Sir John Deere

    Iran yafanya shambulio Kubwa katika eneo la viwanda vya chuma na Chemicals huko Israel

    Katika Hali iliyotarajiwa ya kulipa kisasi baada ya marekani na Israel kushambulia viwanda vya chuma huko Iran. Muda mfupi uliopita Iran imefanya shambulizi na kulenga eneo la viwanda kusini mwa Israel ambapo uharibifu mkubwa na Moshi mzito umeonekana ukitanda katika anga kutokana na shambulizi...
Back
Top Bottom