Mizinga Melu, is a Zambian businesswoman, accountant, and bank executive. She is the current chief executive officer, of Absa Bank Zambia Plc, effective February 2017, based in Lusaka, the capital and largest city in the country.Prior to her current assignment, she served as the CEO of Barclays Africa Management, responsible for overseeing the "development of stakeholder relationships with governments, regulators, the Boards and customers" in the subsidiaries on the African Continent, outside of South Africa. All Barclays Africa Group managing directors, outside of South Africa, reported directly to her. She took office effective 1 October 2014. Prior to that, she was the managing director and CEO of National Bank of Commerce (Tanzania). She was appointed to that position in March 2013, and assumed office on 20 May 2013. Before that, she served as the managing director and CEO of Standard Chartered Bank Zambia, from January 2008 until May 2013.
Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.
Iran katuacha vinywa wazi jumamosi...
Hii mizinga hususan Jericho 3 inapiga popote na inabeba manyuklia na hamna mwenye uwezo wa kuidungua na ndio maana Israel wana jeuri ya kupiga ubalozi wa Iran na kusema anayeumwa ajaribu hata kujikuna.....
Kingine ifahamike wanajeshi wa Israel hupokea kiapo cha "Samson Option", kwamba kama...
Hawa dada zetu wana hali mbaya ila ukiitizama ni ya kujitakia na ndio maana wengi wao wana tamaa ya fedha. Based on utafiti nilioufanya kwa wanawake ambao ni marafiki zangu.
Ukichukua sample ya wanawake kumi, basi nane au zaidi wanacheza michezo au vikoba. Hapo unakuta katika hao nane, zaidi ya...
Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.
Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.
Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa...
Wenzetu wanaendelea kufanya makubwa wakati huku Afrika tupo tupo almradi siku zisonge....huu mfumo unaangusha drone ya aina yoyote.
DragonFire laser demonstration. (Supplied, UK government)
The UK successfully fired a high-powered laser weapon at an aerial target, in what could be a...
Mwanaume kavutiwa na wewe, karusha ndoano, umekubali. Usiku huo huo unaanza mizinga, naomba 150,000/- mama mdogo ana fibroid anatakiwa upasuaji. Kwa shingo upande unampa.
Baada ya siku mbili, mzinga mwingine tena, mdogo wangu kakamatwa na bodaboda ya wizi yuko Oysterbay inatakiwa laki 7 tu...
Ifahamike Israel imekua ikitengeneza na kuuza mizinga ya kisasa yenye uwezo wa maangamizi makubwa sana na pia uwezo wa kusafiri masafa marefu ikiwemo ICBM.
Sasa hapo Gaza wamekumbwa na changamoto ambayo haijawahi kutokea duniani, inapigana na adui aliyejificha nyuma ya watoto na akina mama...
Na mbaya zaidi wanarusha hizi rockets huku wakitumia makazi ya watu yenye watoto na familia, hivyo Israel inajibu kwa umakini la sivyo Israel ina uwezo wa kuangamiza Gaza na kuifanya majivu tena ndani ya lisaa limoja tu.
Mnaosema HAMAS ni mgambo, hebu hapo ukiwa umevimbiwa ubwabwa Tandale waza...
Jamaa wanajipigia viwanda, kila siku wanabishana baina yao kipi wapige leo....
Strike drones attacked the Russian Smolensk Aviation Plant, where Kh-59 missiles are produced, on 1 October, with three of the four drones hitting the target.
Source: press service for Defence Intelligence of...
Wanapiga popote, hizi drones zimekua shida....
A Ukrainian uncrewed surface vessel (USV) hit a Samum-class missile carrier hovercraft on Thursday, 14 September.
Source: Ukrainska Pravda’s sources in the Security Service of Ukraine (SSU)
Details: The sources said the SSU's SeaBaby USV hit the...
Hawa hawa wabeba javelin ndio walitafuna msafara wa Urusi wa vifaru vilivyokua vinakwenda Kyiv, wamepata jeuri ya kushusha mizinga iliyosifiwa siku zote, cruise missiles za Kh-101
==================
Lieutenant General Serhii Naiev, Commander of the Joint Forces of the Armed Forces of...
Kyiv haipigiki, ptriot ipo imara....
Six hypersonic Russian missiles were shot down over Kyiv on Friday, the Ukrainian air force has claimed.
The Kinzhal missiles were accompanied by a further six Kalibr cruise missiles and two drones, which the air force further stated had also been downed...
Ukraine waendelea na ujasiri wa kuanza kupiga ndani ya Urusi moja kwa moja......
Russia’s southern Belgorod region bordering Ukraine came under attack from Ukrainian artillery fire, mortar shells and drones Friday, authorities said, hours after two drones struck a Russian city in a region next...
Jameni Afrika lini tutakua na mifumo kama patriot air defence, yaani Urusi imeshambulia Kyiv kwa aina tofauti ya mizinga zikiwemo drones, lakini zote zimepigwa chini....ama kwa kweli haya mambo bana...dah! Sayansi aisei
Mamayooo!! Shambulio la leo lingeelekezwa kwenye taifa lolote hapa Afrika...
Mji wa Kyiv upo salama, hamna kinachopenya, Mrusi ametuma kila alicho nacho kasoro nyuklia, na vyote hamna hata moja inapenya Kyiv, mwanzoni zilikua zinashushwa 50%, zikaja 80% sasa 100% hamna mzinga, drone au chochote kinaingia ndani ya mji mkuu, na bado Magharibi wanatuma madubwana zaidi...
Mrembo gani ambaye ni mkali sana asiyepiga mizinga humu, tutoke naye siku ya sikukuu ya Iddi.
Siku ya sikukuu ni siku ya kufurahi na marafiki; kama una sifa tajwa njoo hapa jukwaani ujieleze namna usivyonipiga mizinga katika siku ya kufurahi na marafiki.
Iran inapumuliwa kote, kwa sasa inafuatiliwa kwa makini, meli yoyote yenye silaha za Iran ni halali ya wababe wa dunia hii....
The British navy seized anti-tank missiles and fins for ballistic missile assemblies during a raid on a small boat heading from Iran likely to Yemen, authorities said...
Baada ya kilio cha muda mrefu na kutegeana kwa mataifa ya magharibi yanayoisaidia Ukraine kupambana na Urusi hatimae mataifa hayo yamekubali kuipelekea Ukraine ilichodai kwa muda mrefu navyo ni vifari vya Leopard kutoka Ujerumani na Abrahms kutoka Marekani.
Hata hivyo muda mfupi baada ya...
Hii hali mnadeal nayo vipi malegendi.
Kashakula, kashakunywa, shopping, n.k. lakini umeomba game ndio anakupa taarifa kwamba yupo siku zake...
Mbaya zaidi time frame mliyonayo ni siku hizo ambazo atakua kwenye siku zake, hadi azimalize ni yeye au wewe utakuwa umeondoka,
Yaani kuna watu wanakera sana yaani kuna watu maisha yao kutwa ni kukopa kopa ndiyo kukopa sikatai kuna vitu kukopa si ishu ila kuna kuna vitu vidogo vidogo navyo mnakopa? Eti pesa ya pombe unanikopa huo ni upumbavu na ujinga! Kumpeleka demu wako picnic nayo unakopa! Kwenda kupigwa miti nayo eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.