The ICSID Review—Foreign Investment Law Journal is a biannual peer-reviewed academic journal covering foreign investment law and international investment dispute settlement. Until 2011 it was published by the Johns Hopkins University Press on behalf of the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID), an independent organ within the World Bank Group. From 2012, it is published by Oxford University Press on behalf of ICSID. The journal includes articles, case comments, documents, and book reviews on the law and practice relating to foreign investments as well as the procedural and substantive law governing investment dispute resolution. Its Editorial Board consists of Meg Kinnear and Campbell McLachlan QC (Co-Editors-in-Chief) and six Associate Editors: Kabir Duggal and Esmé Shirlow (Associate Editors for Case Comments), Gloria Alvarez and Kiran Nasir Gore (Associate Editors for Book Reviews), and Chester Brown and Jeremy Sharpe (Associate Editors for Notes).
Nimefurahi kusikia kuwa Tanzania imeingia maelewano na kufuta kesi ICSID na kampuni ya Winshear Gold Corp. Kesi hii ilitokana na Tanzania kuchukua eneo lao bila kuwalipa fidia. Zipo kesi nyingi za namna hii- siyo fedheha , sisi kama taifa tukiamua kuondoa kesi na kutafuta namna ya kulipa fidia...
kuna kila dalili kwamba mikataba mingi mibovu huwa inaingiwa sio kwa bahati mbaya, bali kwa makusudi kabisa, ili akija Rais mwingine au wananchi wakapiga sana kelele, basi mkataba unavunjwa halafu tunapelekwa ICSID.
Kule sasa wanatumwa magoigoi au vibaraka kama akina mkono enzi zike, tunalimwa...
Hivi ni nani akipewa Bil 2 kati ya hizo bil 260 atasimama imara kutetea taifa letu? Hata Tundu Lissu pamoja na Uzalendo wake hawezi shinda.
Tumeshuhudia mlolongo wa kesi nyingi serikali ikishindwa hata mahakama za hapa kwetu.
Mtu anaelipwa chini ya 5M akasimamie kesi ya billions unategemea...
Tanganyika kila kukicha tunaamka na aibu za kimataifa.
Bado tunaulizana ni nani aliuandika mkataba wa bandari na kusainiwa usiku bila kusomwa linaibuka lingine la kupigwa faini za mabilioni na kumtumwa Geologist kwenda kuwa wakili wa kuiwakilisha serikali.
Mfumo wa uongozi uliopo ni dhaifu...
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
---
Winshear...
Wasalaam wana wa Mungu.
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Zacharia Kafulila, amekosoa vikali kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu A Lissu kuhusu kesi iliyopelekea kukamatwa kwa Ndege yetu na Kesi zingine mashauli yazo kushughulikiwa kwenye Mabaraza ya Usuluhishi ya kibiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.