Nissan kazindua Plugin Hybrid ya Pickup yake pendwa Navara, inayoenda kwa Navara Pro PHEV.
Inakuja na engine ya 1.5L Turbo Petrol, 4 gears Dedicated Hybrid Transmission, AWD, na inatoa total ya 400 hp.
Inakuja na motor moja na 33 kWh battery, linauwezo wa kutembea kilometa 130 kwa umeme tu na...
Nimetengeneza app ya Kurani ya Kiswahili inaitwa Dini Pro
Unaweza kufanya yafuatayo kwenye app yangu
Kurani Tukufu (Soma na Usikilize):
Soma Surah zote kwa urahisi na usikilize sauti popote ulipo.
Mwelekeo Sahihi wa Qibla:
Pata mwelekeo wa Qibla kwa haraka na usahihi mkubwa haijalishi uko...
Civilian Coin (born Deo Kisandu) is a multi-talented Tanzanian media professional, recording artist, and content producer based in Kahama, Tanzania. He blends his background in journalism with his creative skills in music, graphic design, and video production to build a diverse digital presence...
We are seeking creative, driven and energetic Marketing Officers to become part of our growing marketing team for our Cleaning and Fumigation Company by acquiring new residential/commercial clients, managing digital campaigns, and creating brand awareness.
Candidates should have previous...
Kiukweli Iran imewangusha sana wafuasi wake kote duniani Kwa aibu kubwa aliyoipata ya kushindwa kulinda viongozi wao
Wanazidiwa hadi na mchwa wanaolinda Malkia wao Kwa gharama kubwa
Pili intelligence Yao imeonyesha udhaifu mkubwa
Hongereni sana team Iran mmeamua kufa na tai shingoni msife...
Max Pro Limited ni Kampuni inayojihusisha na utengenezaji na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za Usafi kama vile Tiles Cleaner,Hand Wash Soap,Window Cleaner,Shower gel,Air Fresh,Car Shampoo,Hair Shampoo,Sofa Cleaner,Skin Care Products n.k.ambayo ipo Kigamboni Dar es Salaam.
Max Pro Ltd...
Moja kwa moja .
Nina mpango wa kuvunja kibubu ninunue simu Kali wakuu maana nimechoka kutumia kifaa Cha mawasiliano .
Mwaka huu In Shaa Allaah mambo yakiwa mazuri nataka nitenge bajeti ya kununua simu isizidi Million 4 , sasa katika pitapita zangu simu zinazotrend sasa Duniani ni hizo.
Lengo...
Habari wakuu, nauza simu yangu binafsi ikiwa katika hali nzuri kabisa. Sababu ya kuuza ni kupata changamoto ya kifedha inayohitaji utatuzi wa haraka.
Sifa za Simu:
Model: Redmi Note 14 Pro 5G
RAM: 8GB
Storage: 256GB
Battery: 5500mAh (Inakaa na chaji vizuri sana)
Hali: Haina mchubuko wala tatizo...
Habari wakuu, nauza simu yangu binafsi ikiwa katika hali nzuri kabisa. Sababu ya kuuza ni kupata changamoto ya kifedha inayohitaji utatuzi wa haraka.
Sifa za Simu:
Model: Redmi Note 14 Pro 5G
RAM: 8GB
Storage: 256GB
Battery: 5500mAh (Inakaa na chaji vizuri sana)
Hali: Haina mchubuko wala tatizo...
Nilikuwa natumia Xiaomi 12T Pro Kwa muda sasa ila majuzi usiku hapa Mbeya wahuni walinikaba na kunipora kila nilichonacho including my phone. Uzuri sikuwa na hela nyingi mfukoni kwa hiyo kitu cha maana walichooba kinachoniuma zaidi ni hiyo Xiaomi 12T Pro
Lakini nimeitumia for 3 years straight...
Maoni yenu wakuu.
Zote ziwe 512GB.
ipi nichukue, ni mtumiaji wa ios na android pia.
Nilitaka nibebe zote pamoja, lakin nataka nianze na moja.
Kama kuna tofauti na hizo ambazo bora zaidi nakaribisha pia.
Asanteni.
Serikali ikishaelekea kufeli ufanya njia yoyote kubaki madarakani.
Na njia yoyote inaweza kuwa mbaya kwa nchi ila ikawa faida yao kwa mambo yao.
Kukosekana kwa ajira nchini ,serikali inaweza kutumia mwanywa kuonesha inawapa watu ajira kumbe wanaenda kutumikia ajira za magendo.
Kwa sasa nchi...
Maisha yako speed.
iPhone 17 Pro Max 512 GB pale iStore Mlimani City inauzwa Mil 6.
Kwenye package unapata iPhone, USB C, pini ya kutolea laini na Makaratasi. Hamna kichwa cha chaja, hamna protector, earphone wala kava.
Ila kwa iyo iyo bei unapata BMW E90 2007 namba D na inabaki pesa ya...
nahitaji vifaa vya huwei used hata kama ni vipya itakuwa sawa tu...vifaa ninavyovi hitaji ni mfuniko wa batri uwe na muonekano kidogo mzuri kama ni used,camera ya mbele na nyuma...au hata ikipatikana hii simu iliyokufa display nitanunua.
Sijui nani huwa anawaelekeza kitu cha kujadili maana huwa naona wanashambulia mtu badala ya kujibu mada husika.
Kipindi tunajadili issues za TEC na maandamano walileta mashehe kuwashambulia viongozi wa TEC badala ya kujikita kwenye issue husika ya HAKI.
Alipokuja Kitima badala ya kujibu hoja...
ChatGPT Pro ni mpango wa malipo wa kiwango cha juu (gharama: $200/mwezi), —ikiwa ni pamoja na upatikanaji usio na kikomo* wa GPT-5, sauti ya hali ya juu (advanced voice), na vipaumbele vya trafiki ili kuepuka vizuizi wakati wa msongamano. Ni chaguo linalolenga “power users” kama watafiti na...
Let us say Abdul ameiba mabilioni yenu na kununua gari ya Bilioni mbili kama mnavyoaminishwa.
Tuassume ni kweli Samia ameuza bandari kama mlivyoaminishwa.
Tuassume Kikwete anaendesha nchi kwa sasa kama mnavyojazwa upepo.
Hapo mlipo mnasubiri CCM iachie madaraka kwa kelele za Mange Kimambi, yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.