Kadiri muda unavyokwenda teknolojia za kidigitali zinaendelea kuyafikia maeneo mengi ya maisha ya watu. Sasa hivi watu huchangamana na kufanya kazi katika mazingira ya kidigitali.
Kutokana na ukweli huo, watu wanakumbana na wataendelea kukumbana na mabadiliko na misukosuko wakati wa shughuli...
Dunia inapitia mapinduzi ya kidigitali yenye uwezo wa kuharakisha utatuzi wa matatizo katika jamii, hivyo kuwezesha watu na jamii kwa ujumla kustawi.
Teknolojia na ufikiaji nafuu wa intaneti vinaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kuondoa utofauti mkubwa wa kijamii uliopo. Teknolojia na intaneti...
Leo hii vijana wengi wana-enjoy urahisi wa maisha unaoletwa na teknolojia ya digitali kama vile kufanya manunuzi mtandaoni, malipo ya kidigitali na ufikiaji wa taarifa kwa urahisi mtandaoni. Lakini wazee wengi wasio na ujuzi wa digitali wameachwa nyuma.
Hata hivyo, kuna umuhimu wa wazee...
Watu wote wanastahili kufurahia Maendeleo ya Teknolojia na Mchango wake katika Maisha ya kila siku
Hata hivyo, tuna Haki ya kuamua nani afahamu nini kuhusu sisi, na kuweka Mipaka katika Matumizi ya Taarifa zetu Binafsi
Faragha ni Haki ya Msingi inayopelekea Haki nyingine kulindwa na...
1.Haki za kidigitali ni haki za kibinadamu.
1.1. Haki ya mtandao
Kila mtanzania ana haki ya mtandao kupata mtandao kwa gharama nafuu.
Kuongezeka kwa gharama za data na ukosefu mzuri wa mtandao umekuwa changamoto katika nyanja mbalimbali. Kwani haki ya kimtandao wananchi wanashindwa kuitumia...
Intaneti imefungua ulimwengu mpya kwa watu wengi duniani kote. Fursa nyingi zinapatikana hapa. Teknolojia hii inatoa fursa ya watu kuboresha maisha yao kwa kuwapa ajira na kurahisisha shughuli zao binafsi ikiwemo za kibiashara.
Intaneti inafungua ufikiaji wa vitu vilivyokuwa si rahisi kufikiwa...
Ulaghai wa simu ni jambo ambalo hadithi zake tunazisikia kila siku toka kwa watu wanaotuzunguka. Mara nyingine, sisi wenyewe tunajikuta tukiwa waathirika. Ulaghai huu unaweza kumgharimu mlengwa kwa kiasi kikubwa, wakati mwingine hata akiba ya maisha.
Kwakuwa sote tunatumia vifaa hivi kama...
Miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia ongezeko la matumizi ya simu janja, mitandao ya kijamii na biashara ya mtandaoni. Kupitia njia hizi na nyinginezo, sote tunaweka taarifa zetu binafsi kwenye mtandao zaidi na zaidi.
Kila siku mamilioni ya watu huwasha kompyuta na vifaa vyao vya kidigitali...
Kujua haki na wajibu wako ni muhimu kila wakati, haswa ukiwa mtandaoni. Mtandao unapanua haki yetu ya uhuru wa kujieleza, lakini pamoja na uhuru huo, kuna wajibu wa kuwatendea wengine kwa kuzingatia utu na heshima.
Kuwatendea wengine kwa heshima ni muhimu mtandaoni kama tu ilivyo ana kwa ana...
Asasi za kiraia zimetoa wito kwa Serikali ya Marekani chini ya Rais Biden kuwalinda watoa huduma za intaneti nchini Urusi dhidi ya vikwazo. Mashirika hayo yameonya kwamba kukwamisha ufikiaji wa mtandao kutawaathiri wenye mawazo na misimamo tofauti.
Wito huo umekuja ikiwa vikwazo dhidi ya Urusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.