haki za kidigitali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Umeshawahi kupokea matangazo ya kubeti na hujawahi kuomba huduma zao? Unajua pa kushtaki ulipwe kwa wizi huo wa taarifa zako?

    Wakuu, salama huko mlipoamkia? Naamini wengi wetu tumekuwa tukipokea matangazo kwenye simu zetu ya huduma ambazo hatujawi kuzitaka, na hujawahi kutoa namba yako na kuwaruhusu kukutumia matangazo hayo. Tena wakati mwingine wanataja mpaka jina lako, mf. Habari Cute Wife, unajua unaweza...
  2. Kingsmann

    Wateja wa CRDB wakumbwa na ulaghai wa mtandaoni ili kupata taarifa binafsi za kibenki

    Wateja wa Benki ya CRDB ambayo ndiyo mkopeshaji mkubwa wa Tanzania kwa mali na amana, wamepokea barua pepe za udanganyifu kutoka kwa matapeli wanaojifanya ni benki hiyo. Katika shambulio hilo la hadaa, wateja wa Benki ya CRDB walipokea barua pepe zilizowataka kubofya kiungo (link) kinachotiliwa...
  3. Cute Wife

    Huduma Vodacom zarejea baada ya saa takriban 6 za kukosa mtandao

    Wakuu, Huduma za mtandao Vodacom zimerejea. ==== Huduma zote sasa zimerejea kama kawaida. Tunaomba radhi kwa usumbufu na tunatanguliza shukrani kwa uvumilivu wenu.
  4. Cute Wife

    Vodacom yaomba radhi kutokana na changamoto ya mtandao inayoendelea, wanashughulikia kumaliza tatizo

    Wakuu, ==== TAARIFA KWA UMMA Septemba 28, 2024Mpendwa Mteja, Tunaomba radhi kwa changamoto za mtandao kwa sasa inayosababisha wateja wengi kushindwa kupata huduma. Timu yetu ya wahandisi inajitahidi kusuluhisha kwa haraka iwezekanavyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu na tunashukuru kwa uvumilivu...
  5. sanalii

    Wa kulaumiwa ni Serikali mitandao ya simu inaonewa tu

    Si kwa Tanzania tu bali ni dunia nzima, serikali imekuwa ikitumia mamlaka yao kufanya uovu kwa watu walio kinyume nao, wanasiasa, wanahabari, n.k. Hakuna kampuni ya itaweza zuia agizo la serikali kwakuwa hatuna katiba imara ya kufanya hivyo, Tigo na Voda au hata wengine, wanaangushiwa tu jumba...
  6. Manyanza

    Tanzania yaongoza kwa Usalama Mtandaoni Afrika Mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara

    Tanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama wa mtandaoni, kwa mujibu wa Ripoti ya Kielezo cha Usalama wa Mtandao ya mwaka 2024 (GCI). Tanzania imepata alama ya asilimia 100 katika nguzo zote tano za usalama wa mtandaoni, ambazo ni: kisheria, kiteknolojia...
  7. A

    Najuta kuchukua mkopo “Pesa X”

    Wiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe. Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa! Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na...
  8. BARD AI

    Brazil: Mahakama Kuu kupiga Kura ya kuamua kama X (Twitter) inastahili kufungiwa

    Mahakama Kuu nchini Brazil, leo September 2, 2024 itatoa uamuzi kwa kupiga Kura itakayoidhinisha kufungiwa au kuondoa adhabu hiyo dhidi ya Mtandao wa X (zamani Twitter), uamuzi uliotolewa Agosti 31, 2024 na Jaji Alexandre Moraes. Kura hizo zitapigwa na Majaji 11 akiwemo Jaji Mkuu ambapo idadi...
  9. BOB LUSE

    Sioni haki wala Mantiki ya kukatwa Hela hizi

    Niende kwenye Hoja, 1) Nina laini ya simu niliyosajilia Sim Banking, kwanini nikiweka hela kwenda Benki nakatwa, nikirudisha kwenye laini ileile toka Bank, nakatwa Tena! Kwanini mfumo usitofautishe namba za wateja wao na miamala ya malipo? Mbona ukihamisha Hela kupeleka kwenye Taasisi za...
  10. Heparin

    PreGE2025 Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X

    ''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''...
  11. J

    Je, unaridhishwa na Mikakati ya Serikali katika Udhibiti wa Bei za Intaneti? Unaathirika vipi na Gharama hizi?

    Gharama za Intaneti zimekuwa zikikwamisha na kuathiri shughuli za Watumiaji wa Mitandao, Wabunifu wa Teknolojia na Wazalishaji wa Maudhui Je, unaridhishwa na mikakati ya Serikali katika udhibiti wa Bei za Intaneti? Unaathirika vipi na Gharama za Intaneti nchini? Ungana nasi katika Mjadala...
  12. The Sheriff

    Je, ungependa baadhi ya taarifa zako mtandaoni zifutwe na kusahauliwa kabisa?

    Katika zama hizi za kidigitali, taarifa zetu binafsi zimezagaa katika majukwaa mengi, na mara nyingi hatuna uwezo wa kuzifuta kabisa taarifa hizi zisionekane na umma. Taarifa hizi zinashikiliwa na taasisi na makampuni binafsi, n.k. Lakini je, ni lazima taarifa hizo kubaki hivyo daima? Katika...
  13. Replica

    Waziri Nape akiri kufuatilia mijadala inayoendelea kuhusu mtandao wa X kufungiwa, asema TCRA itatimiza wajibu kuhakikisha watoto wanakuwa salama

    Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema wanaona mijadala yote inayoendelea (kuhusu maoni ya kama mtandao wa X ufungiwe au laah) na kusema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania na hususani kizazi cha Watoto kipo...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    PreGE2025 Mnaacha kufunga mafisadi na wanadhulumu wananchi mnataka kufuñga X (Twitter) acheni unafiki

    MNAACHA KUFUNGA MAFISADI NA WANAODHULUMU WANANCHI MNATAKA KUFUÑGA k X (Twitter) ACHENI UNAFIKI. Anaandika, Robért Heriel Mtibeli Ni kweli ushoga ni mbaya hilo hata sisi Watibeli tunajua na tunaupinga. Lakini hiyo haimaanishi kuwa ni mbaya zaidi kuliko ufisadi na dhulma. Kihistoria dunia...
  15. J

    Mwenyekiti UVCCM wilaya ya Nyamagana, Peter Begga amesema angekuwa Waziri wa Tehama angeifungia Mitandao ya kijamii ya Instagram na X

    Kichwa Cha thread ndio utashi wa Mwenyekiti wa UVCCM Nyamagana kupitia ukurasa wake wa X Yaani anatangaza Kufungia X kupitia ukurasa wake wa X 😂😂 Ila nimemwelewa ukishafungia X hutaacha itaendelea Kufungia Mitandao mingine yaani ni Sawa na kula Nyama ya mtu 🐼 ====== Mwenyekiti wa CCM (Chama...
  16. Analogia Malenga

    Ni mtandao gani unaozuia maudhui ya ngono na mapenzi ya jinsia moja?

    Kuna kundi la watu ambao wanaiomba serikali ifungie twitter nchini kwa kudai kuwa twitter imeruhusu maudhui ya mapenzi ya jinsia moja. Hata hivyo, najiuliza ni mtandao gani ambao hauruhusu mapenzi ya jinsia moja kwa hoja hiyo kuwa na mashiko. Je ni kweli meta haruhusu maudhui ya mapenzi ya...
  17. The Sheriff

    Ripoti: Sheria za Ulinzi wa Data katika nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) ni ushindi mkubwa kwa Haki za Kidijitali

    Ripoti kuhusu hali ya haki za kidijitali Kusini mwa Afrika imepongeza juhudi za nchi za ukanda huo kuweka sheria za ulinzi wa data kama moja ya njia za kuboresha haki za kidijitali miongoni mwa wananchi. Ripoti hiyo yenye kichwa “Kulinda Haki za Kidijitali Kusini mwa Afrika: Wito wa Hatua kwa...
  18. Meneja Wa Makampuni

    Kukosekana kwa intaneti: Kebo moja ya intaneti ilikatwa mapema Jumapili katika Mji wa bandari wa Afrika wa Durban, je ni hujuma?

    Watumiaji wa intaneti nchini Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda wamekuwa wakilalamikia ukosefu wa intaneti huku watoa huduma kote Afrika Mashariki wakikiri kumekuwa na tatizo. Wamesema wanajitahidi kurekebisha tatizo hilo. Huduma hiyo ilikumbwa na hitilafu katika nyaya za chini ya bahari...
  19. Mstahiki Mea

    Tanzania: Mtandao wa Intaneti wapotea hewani

    Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau? ======= Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka...
  20. Nyamesocho

    PreGE2025 Tujikumbushe Oktoba 2020 kipindi cha uchaguzi, uliteseka na mtandao ukiwa wapi?

    Kwa mara ya kwanza hatutasahau unaamka asubuhi unaingia mtandaoni lakini inashindikana, unaangalia bando sina au , unauliza salio full bando ,unajiuliza hivi hii simu yangu imeharibika nataka niende kwa fundi nakutana na watu wengine wanajadili mtandao kuzimwa. Kuingia Jamiiforum ikashindikana...
Back
Top Bottom