Kwa wale mnaopenda mziki mzito, nauza Subwoofer tajwa hapo juu, haina shida yoyote, kwa wale mnaohitaji real punch with pure bass inayikita kifuani ,mashine hiyo hapo 200watts rms ,ina coil ya 4ohm, ikiilinnganisha na sub za sea piano zilizozoeleka za 80w @2ohm ,hii ni sawa na 400watts @2ohms...
By Dominique Kaguhwa fb.
VOLKSWAGEN GOLF TOURAN
Hii Volkswagen golf hii ni Moja ya l hatchbacks inayofanya vizuri sana Africa mashariki ,Kutokana na uimara wa bodi ,nguvu ya engine , lkn bila kusahau viwango vya vifaa vya usalama katika gari hii ni vya hali ya juuu . VW Golf touran competes...
Wakuu habari,
Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni...
Hii kampuni ina jina kubwa kutokana na Ubora wa huduma ambazo iliwahi kuzitoa hapo siku za nyuma ikambatana na kuwa na mabasi mazuri yenye kiwango, ofisi nzuri na wahudumu wanaojali wateja.
Kwa sasa sijui ni kitu gani kimewakumba hawa jamaa, kwanza kabisa utunzaji wao wa magari umekuwa ni wa...
namba mwenye uzoef na hii gari, naona inafafana na toyota wish, nimeiwazia toyota wish, ila sijaipend pua yake/face, naona honda stream inavutia zaidi.
Naomba mwenye uzoefu atiririke hapa, ili yafanyike maamuzi sahihi
Salamu wadau!ambao mmewahi au mnatumia aina hii ya jiko naombeni uzoefu wenu, maana gesi ulimepanda sana bei, ninekuta muuzaji mmoja ameniambia linautumia umeme kidogo sana, 1unit per hour. Sasa nikasema za kuambiwa changanya na za kwako.
Nawasilisha
wakuu babari, nikipita kwenye maduka ya bongo ya electronics naona zimejaa subwoofer za mchina tu na hometheter za mchina na sio malysia wala japan.
kwa sisi wanazi wa.mziki ningependa nipate walau mashine ya avr amplifier 7.2 channel yenye bluetooth,usb na walau inasukuma kuanzia 150watts...
Heshima kwenu wadau, katika harakati za mawazo yanuwekezaji, kuna mdau alinidokeza juu ya kilimo cha mkonge, ila kwa kuwa sijawahi waza, wala kupata mtu ambaye amewahi kufanya hiki kilimo.
Naomba kupata details za:
1. Upatikanaji wa mbegu/ miche
2. Uhakika wa soko
3. Muda wa kuanza kuvuna...
Heshima kwenu wana nzengo!
Hii os ya window iliyokuwa inatumika kwenye simu za microsoft/ nokia na baadhi ya simu ndio imeshindwa katika soko? Nilitumia microsoft, ilikuwa smooth sana, ila niliamua kuicha kwa sababu ilikuwa na mapungufu mengi sana ambayo yanatokana na jinsi hiyo os...
Msaada wakuu, computer inazingua, haitaki kuwaka, inaniletea maandishi,
ATTEMPTING BOOT FRON CD- ROM
ATTEMPTING BOOT FROM HARD DRIVE
BOOTMRG IS MISSING
PRESS CTRL * ALT* DEL to restart
Ninejaribu kupress hicho keys kwa pamoja lakini inagoma,
nifanye nini wakuu
Wadau kila,nikiangalia hizi gari naona zina ufanano wa kiasi kikubwa, utofauti upo mdogo kwenye show ya mbele na dash board Tu,
je Ni nini hasa tofauti ya hizi gari mbili?
Nawasilisha
wadau naomba msaada kwenu,simu yangu aina ya lumia 640 ilitaka ni update whatsapp, nilijaribu ku update ikataka niwe na Wi fi, nikajaribu kutoa version iliyokuwepo ili nidownload upya lakini bado imeshindikana inataka ni download kwa connection ya Wi fi , naomba alternative ways maana nilipo...
Wakuu heshima mbele;
Naomba msaada wa mweye huu waraka atuwekee hapa au anayeufahamu unaeleza nini atusaidie, maana naona kila tangazo la ajira serikalini linalotoka linataka mtumishi amabye tayari ameajiriwa na serikali asiombe nafasi hiyo ya kazi bali alizingatie huo waraka. Nataka kujua wakuu...
wadau njombe kuna mgomo umeitishwa na wafanyabiashara, umeanza asubuhi hata wale waliokaidi mgono wakafungua maduka wamelazikishwa kufunga ili kuleta umoja. ishu ni kuhusu matumizi ya efd za tra. mkuu wa mkoa atakutana na wafanyabiashara saa 6 mchana ukumbi wa turbo, tayari maandalizi ya mkutano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.