honda

The Honda Motor Company, Ltd. (Japanese: 本田技研工業株式会社, Hepburn: Honda Giken Kōgyō KK, IPA: [honda] (listen); ) is a Japanese public multinational conglomerate manufacturer of automobiles, motorcycles, and power equipment, headquartered in Minato, Tokyo, Japan.
Honda has been the world's largest motorcycle manufacturer since 1959, reaching a production of 400 million by the end of 2019, as well as the world's largest manufacturer of internal combustion engines measured by volume, producing more than 14 million internal combustion engines each year. Honda became the second-largest Japanese automobile manufacturer in 2001. Honda was the eighth largest automobile manufacturer in the world in 2015.Honda was the first Japanese automobile manufacturer to release a dedicated luxury brand, Acura, in 1986. Aside from their core automobile and motorcycle businesses, Honda also manufactures garden equipment, marine engines, personal watercraft and power generators, and other products. Since 1986, Honda has been involved with artificial intelligence/robotics research and released their ASIMO robot in 2000. They have also ventured into aerospace with the establishment of GE Honda Aero Engines in 2004 and the Honda HA-420 HondaJet, which began production in 2012. Honda has two joint-ventures in China: Dongfeng Honda and Guangqi Honda.
In 2013, Honda invested about 5.7% (US$6.8 billion) of its revenues in research and development. Also in 2013, Honda became the first Japanese automaker to be a net exporter from the United States, exporting 108,705 Honda and Acura models, while importing only 88,357.

View More On Wikipedia.org
  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda wamezindua 4th Gen Insight: Sasa hivi ni full EV sio tena hybrid kama matoleo ya nyuma!

    Najua inawezakua ni habari mbaya kwa wengine. Ila ndio hivyo. Honda wamezindua generation ya nne ya hybrid yake pendwa Honda Insight, ila sasa wameachana na hybrid moja kwa moja wameenda EV. Kwahiyo Insight EV jina jingine itaitwa Honda e:N2 kwa masoko ya China na Thailand. Kwa kuanza...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshusha bei tena Honda Ace 150

    Nipeni 2.5m bila discount wakuu niwe nimekula hasara ya 1.1m ndani ya mwezi Pikipiki ni Honda ace 150, cc150 Ipo Mbarali mbeya Pikipiki ni mpya namba yake ni FRD.... Imetembea jumla kilometa 380 Nzuri Kwa kufanya boda, maeneo yenye Barabara mbovu ,matumizi binafsi, kubeba mizigo mizito n.k...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Hatimaye NAUZA kwa Bei ya kutupa nipeni 2.8m Honda ace 150 mpya

    Wakuu nipeni hio hela nisolve changamoto niliyonayo 2.8m ( milioni 2 na laki 8 tu) Pikipiki Imetembea jumla ya km 367 tu number FRN... imetoka jana na kadi yake ipo full Leteni hio pesa Inafaa Kwa bodaboda, matumizi binafsi, kumpa mtu Kwa ajili ya mkataba n.k Ipo mbeya-Mbarali Phone 0789088982
  4. C

    JamiiForums Tanzania Pikipiki aina ya Honda Ace 150 mpya inauzwa

    Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 150, iliyotumika kidogo sana na ipo katika hali safi kabisa. 🛵 Maelezo muhimu: Aina: Honda Ace 150 Umbali uliotembea: KM 400 tu (karibu mpya kabisa) Hali ya injini: Safi, safi kabisa, cc150 Matumizi: Binafsi, imetunzwa vizuri Uwezo: Inafaa kwa biashara...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Ukitaka Porsche Cayenne 3rd generation hafu pesa imepungua basi cheki Honda ZR-V!

    Porsche Cayenne ya 2020+ ni kali kimuonekano sana. Mchawi ni bei, ya moto hatari. Pamoja na kwamba ni used bila $36,000 ngumu kupata. Hapo bado ushuru TRA, na running cost zake ni zamoto. Sasa kama umependa “muonekano” (sio brand) unaweza ukaicheki Honda CR-Z kwa nusu bei. Latest kabisa...
  6. amir_halla

    JamiiForums Tanzania Biashara Honda Vario 150

    🔥 INAUZWA: HONDA VARIO 150 (2019) 🔥 🛵 Aina: Honda Vario 150 🎨 Rangi: Nyeupe 📆 Mwaka: 2019 💰 Bei: Tsh 4,000,000 📍 Eneo: Dodoma 📌 Maelezo: Honda Vario 150 ipo katika hali nzuri sana, imetunzwa vizuri na iko tayari kwa matumizi. Injini iko sawa, mwendo mzuri na matumizi mazuri ya mafuta. 📸 Picha...
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Mapikipiki: Kati ya Yamaha R1, Honda CBR1000RR na BMW S100RR ipi kali kwa muonekano na performance?

    Tukiacha specifications za kwenye makaratasi, kati ya hizi chuma tatu ipi kali? Yamaha YZF R1 Honda CBR1000RR Firebrade BMW S1000RR Zote cc998, zote speed na acc kali sana.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Pikipiki ya honda maji inauzwa Tsh600,000. Chombo haina shida

    Salam wadau. Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 almaarufu kama honda manji. 1).Pikipiki ni nzima ina engine yake original. 2.)Kadi ipo 3).Bei inazungumzika 4).Mahali-ipo Ifakara Mjini. Niweka picha,kwa maulizo zaidi nicheki DM tufanye biashara.
  9. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda wamezindua 6th Gen Honda Prelude: Hii Coupé imerudi baada ya Civic na Accord coupés kusitishwa!

    Honda Prelude ni sport car iliyotengenezwa kutokea 1978 na kusitishwa mwaka 2001, na sasa inarudi officially. Inakuja na 2.0 L engine, ikiwa imeunganishwa na dual-motor hybrid system, ambavyo kwa pamoja vitakupa 200 hp na efficiency ya 20 km/L average. Wanatumia CVT transmission ikiwa na...
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda wanakuja na Honda 0 Series SUV: Baya kuliko Cybertruck ya Tesla!

    Tushawahi kuongelea humu EV kutoka Honda ambayo ni sedan, iliopo katika series 0. Honda 0 Series Saloon: EV yenye muonekano wa ki-future! Hawa jamaa sasa wanaleta SUV yake. Ingawa taarifa za specifications, bei na upatikanaji hazijatolewa, ila ndio hii production type.
  11. moe junior

    JamiiForums Tanzania Natafuta pikipiki /frame ya pikipiki Honda trail 110

    Salaam wakuu!! Nina shida ya pikipiki au frame ya pikipiki Honda Trail 110 katika hali yoyote mahala popote ili mradi iwe na kadi na kuwe na usafiri wa kufika DSM
  12. W

    JamiiForums Tanzania Nahitaji pikipiki aina ya Honda Today

    Habari naomba mwenye connection Ya mtu yoyote anaeuza au amepaki ndani Honda today nzima anicheki 0629765025 Mfukoni kwangu Kuna 450k Location Dar es salaam
  13. black-tz

    JamiiForums Tanzania 🔋✨ Honda Inachagua Njia Yake! 🚗💨 Na kuachana na Nissan

    🔋✨ Honda Inachagua Njia Yake! 🚗💨 Badala ya kwenda 100% EV kama kampuni nyingine za magari, Honda imesema inawekeza zaidi kwenye magari ya Hybrid na kusitisha mpango wa EV! Honda na Nissan zilikuwa zimekubaliana kuungana na kuwa kampuni moja lakini mwanzo wa mwaka huu zilisitisha mpango huo...
  14. black-tz

    JamiiForums Tanzania 🔋✨ Honda Inachagua Njia Yake! 🚗💨

    🔋✨ Honda Inachagua Njia Yake! 🚗💨 Badala ya kwenda 100% EV kama kampuni nyingine za magari, Honda imesema inawekeza zaidi kwenye magari ya Hybrid na kusitisha mpango wa EV! Honda na Nissan zilikuwa zimekubaliana kuungana na kuwa kampuni moja lakini mwanzo wa mwaka huu zilisitisha mpango huo...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda N-Box: Wajapan huwaambii kitu kwenye hii gari!

    Beauty is in the eye of the beholder! Honda N-Box ni moja ya best selling car Japan, na kuna miaka inampita hadi mkali wa miaka yote Toyota Corolla. Ni kagari flani ata kukaelezea ni ngumu labda ukaone tu mwenyewe. Engine yake ndogo balaa, cc 650, CVT transmission na power output ya 62 hp...
  16. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mazda Atenza to Honda Fit Hybrid: Nini unapoteza na nini unagain?

    Wakuu. Baada ya kukaa na Mazda Atenza kwa karibia 2 years, nikaona nibadirishe niende EV ndoto ikiwa Nissan Leaf ila ushuru ukanikata maini nikasema sio mbaya nikienda Hybrid, moja kwa moja nikaangukia Honda Fit Hybrid. Ni gari ndogo, isio na mambo mengi kwa mtu ambae ana misele mingi ya...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Honda stepwagon

    Honda stepwagon,ninavutiwa na muonekano wake . Kama kuna mtu anaitumia humu anaweza kutupatia uzoefu wake na pia changamoto zake kama zipo lakini pia upatikanaji wa vipuri kwa hapa Tanzania ukoje ukizingatia hapa nchini wengi wanapendelea magari ya Toyota. Karibu kwa yeyote mwenye taarifa...
  18. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Battle la Compact SUV: Mazda CX-3 vs Honda Vezel. CIF karibia zipo sawa, ila Ushuru wa TRA mmoja amedabo!

    Kwa wapenzi wa compact SUV kuna haya magari mawili, Mazda CX-3 na Honda Vezel. Ingawa ni taste mbili tofauti, lakini yanaweza kufananishwa ata kwa udogo. Mazda CX-3 yeye ana sifa zifuatazo: Engine: 1.5L SkyActiv-D diesel engine, inatoa power ya 105 hp Transmission: 6-speed manual au...
  19. manyanga21

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ushauri

    Msaada nina honda fit first generation, gari inamiss na kuishiwa nguvu kisha inazima na kuwaka taa ya check engine na taa ya betri baada ya muda inawaka , changamoto inaweza kuwa nini wajuzi na wazoefu Nilipotazama feni ya ac haiwaki,ila feni ya engine inawaka fundi akanishauli nisitumie ac...
  20. Deinstein 01

    JamiiForums Tanzania Honda na Nissan zaungana

    Habari wakuu. Jana kampuni za magari ya Honda na Nissan zilifanya mazungumzo ya kibiashara na kuungana ili kukabiliana na ushindani uliopo kwenye soko la magari. Muungano huu unalenga kutoa magari yanayoendana na teknolojia ya sasa yaani magari ya umeme(EV) na Autonomous cars (magari...
Back
Top Bottom