Xiaomi vs Oppo nichukue ipi?

Mamaya

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
4,796
3,728
Wakuu habari,

Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni 420,000.

Je, ni simu gani midrange itanifaa kwa hiyo hela?

Naombeni ushauri.
 
Wakuu habari,
Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake gsm arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni 420,000. je ni simu gan midrange itanifaa kwa hiyo hela? naombeni ushauri.
Chukua galaxy a24, utapata zaidi ya huo ushubwada wa mchina cc Reuben Challe
 
hapana hii ametumia chip ya mediatek, na display amalode 90hz wakati redmi ni chip ya snapdragon na disp ya 120 hz amld
Ukitaka kupotea fatisha hayo mambo ya chip, nimekuja kugundua sio mediatek zote mbaya wala sd zote nzuri, hapa natumia mediatek ila nafurahia simu balaa, nshanunuaga sd ikawa inastack na kuganda mpaka nikaiuza so soma user rews hizo huwa hazidanyanyi ila specification sometime ni chumvi na gimmics
 
Ukitaka kupotea fatisha hayo mambo ya chip, nimekuja kugundua sio mediatek zote mbaya wala sd zote nzuri, hapa natumia mediatek ila nafurahia simu balaa, nshanunuaga sd ikawa inastack na kuganda mpaka nikaiuza so soma user rews hizo huwa hazidanyanyi ila specification sometime ni chumvi na gimmics
Hiyo sumsung inuzwa ngapi
 
Wakuu habari,

Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni 420,000.

Je, ni simu gani midrange itanifaa kwa hiyo hela?

Naombeni ushauri.
Mkuu kwa bajeti hiyo Redmi note 12 unanunua used au?
 
Wakuu habari,

Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni 420,000.

Je, ni simu gani midrange itanifaa kwa hiyo hela?

Naombeni ushauri.
Kwa 420,000/= Redmi Note 12 inafaa sana na sio rahisi kupata display na SoC nzuri kwa bei hiyo hapa Bongo
Kuhusu hiyo Samsung Galaxy A24 inatumia chipset ya MediaTek Helio G99 ambayo haina utofauti mkubwa na Snapdragon 4 Gen 1 inayotumiwa na Redmi Note 12, naweza kusema in real life performance ni sawa

In short chukua Redmi Note 12 Kwa sababu Samsung Galaxy A24 inazidiwa na Redmi Note 12 kwenye vitu vingi halafu bado bei ya A24 ipo juu.
Samsung Galaxy A24 ina advantage ya kuwa na kamera bora zaidi ya Redmi Note 12 ila sasa haziuzwi bei sawa na bado Redmi Note 12 ipo vizuri kuliko hiyo A24 sehemu nyingi

Kwa 420,000 Samsung utakayopata ni Galaxy A14 5G ambayo side by side imeachwa mbali na Redmi Note 12

Kwa 420,000/= bado sijaona simu mpya ya kukushawishi usinunue Redmi Note 12

Chukua Redmi
 
Kwa 420,000/= Redmi Note 12 inafaa sana na sio rahisi kupata display na SoC nzuri kwa bei hiyo hapa Bongo
Kuhusu hiyo Samsung Galaxy A24 inatumia chipset ya MediaTek Helio G99 ambayo haina utofauti mkubwa na Snapdragon 4 Gen 1 inayotumiwa na Redmi Note 12, naweza kusema in real life performance ni sawa

In short chukua Redmi Note 12 Kwa sababu Samsung Galaxy A24 inazidiwa na Redmi Note 12 kwenye vitu vingi halafu bado bei ya A24 ipo juu.
Samsung Galaxy A24 ina advantage ya kuwa na kamera bora zaidi ya Redmi Note 12 ila sasa haziuzwi bei sawa na bado Redmi Note 12 ipo vizuri kuliko hiyo A24 sehemu nyingi

Kwa 420,000 Samsung utakayopata ni Galaxy A14 5G ambayo side by side imeachwa mbali na Redmi Note 12

Kwa 420,000/= bado sijaona simu mpya ya kukushawishi usinunue Redmi Note 12

Chukua Redmi
Bora alipe 450k apate A24 cha ziada atachopata
1. 5yrs of software support upgrade
2. Software iliyotulia isio na mashaka
3. Kamera kali
4. Many ui features
 
Bora alipe 450k apate A24 cha ziada atachopata
1. 5yrs of software support upgrade
2. Software iliyotulia isio na mashaka
3. Kamera kali
4. Many ui features
Ukimwelekeza duka wanalouza kwa hiyo bei basi itakuwa vyema tu, Samsung Galaxy A24 ni simu nzuri ila nimeshindwa kuona ni wapi unapata kwa 450K hapa Bongo
Kuhusu software MIUI 14 ipo vizuri, sio kama MIUI 11 uliyoitumia kwenye Redmi 9. Pitia hapa usome review yote ukipata muda, gsmarena wanasema MIUI 14 imeondoa Ile Chinese feel, kiufupi MIUI 14 sio kama hiyo MIUI 11 kushuka chini. Kwenye MIUI 14 unaweza kufuta bloatware zote kasoro apps nane tu, hiyo ni moja ya improvements zake
Pia kwa features nyingi MIUI 14 haina mpinzani, kwenye software support Samsung ipo vizuri kuliko Xiaomi.

Binafsi ningechukua Redmi Note 12 Kwa sababu ninapenda zaidi MIUI kuliko One UI.
 
Google sms apk nayo inatoka siipend
Ukimwelekeza duka wanalouza kwa hiyo bei basi itakuwa vyema tu, Samsung Galaxy A24 ni simu nzuri ila nimeshindwa kuona ni wapi unapata kwa 450K hapa Bongo
Kuhusu software MIUI 14 ipo vizuri, sio kama MIUI 11 uliyoitumia kwenye Redmi 9. Pitia hapa usome review yote ukipata muda, gsmarena wanasema MIUI 14 imeondoa Ile Chinese feel, kiufupi MIUI 14 sio kama hiyo MIUI 11 kushuka chini. Kwenye MIUI 14 unaweza kufuta bloatware zote kasoro apps nane tu, hiyo ni moja ya improvements zake
Pia kwa features nyingi MIUI 14 haina mpinzani, kwenye software support Samsung ipo vizuri kuliko Xiaomi.

Binafsi ningechukua Redmi Note 12 Kwa sababu ninapenda zaidi MIUI kuliko One UI
 
Back
Top Bottom