Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"Je, ni lini Serikali itarejesha utaratibu wa mafunzo elekezi ya Uongozi, Utawala Bora na Uadilifu kwa Watumishi ambao wamefikia ngazi ya Afisa Mkuu ili wanapopata nafasi za Uteuzi waweze kutumika...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Serikali imewasilisha ombi hilo kupitia Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba wakati akizungumza na ujumbe wa Benki ya Dunia (WB) unaosimamia Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika. Dkt. Mwigulu...
7 Reactions
125 Replies
8K Views
Turukie kwenye mada. Nimeisoma ilani ya CCM. 2020-2025 hakuna mahali nilipoona CCM imelekeleza kuhamisha wamasai kutoka mkoa wa Arusha ( Ngorongoro) kuwapeleka mkoa wa Tanga. 2. Hakuna mahali...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Juzijuzi rais kaja na kizimkazi kabla hapajapoa waziri mkuu kaja na rwangwa marathon tukiwa hatujui mpango ataibuka na nini kule Buhigwe, kabla hatujasahau yale ya tulia kula Mbeya. Nimesikia...
1 Reactions
1 Replies
525 Views
Kila nikikumbuka kifo cha kutisha cha Mwangosi wa hapa Unyaluni halafu nikikumbuka zile risasi 16 alizopigwa Tundu Lisu...duh Halafu nikikumbuka Zitto Kabwe alivyogoma kutoka ndani ya Ukumbi wa...
40 Reactions
132 Replies
7K Views
Nawafahamu wamaasai kipindi kirefu ingawa siyo sana. Nimeishi hapa Karatu vipindi tofauti tofauti hasa kule Mang'ola kwenye wakulima wengi wa vitunguu. Sijawahi kujua kuwa wamaasai ni wapenzi wa...
29 Reactions
120 Replies
12K Views
Katika vitu vinasababisha na kupunguza muda wa kuishi na afya ya akili ni masuala ya siasa. Kila siku ni kusababisha presha na hasira zisizo na maana. Utasikia mafuta yamepanda, umeme umekatika...
2 Reactions
12 Replies
677 Views
Wanajamvi, wazee wetu walituasa kwamba kinga ni bora kuliko tiba! Kambi ya wavuvi Migongo Kijiji cha Kisaba kata ya Maisome Sengerema mkoani Mwanza hali ya usalama si shwari na damu inaweza...
0 Reactions
4 Replies
809 Views
Salaam, Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA" Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa...
9 Reactions
28 Replies
2K Views
Nimefanikiwa kutembelea Bunge letu hivi karibuni wakati vikao vinaendelea. Nilikuwa na issue ya kiofisi, niwaambie Watanzania wenzangu. Ofisi za Bunge la Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa ofisi...
16 Reactions
63 Replies
4K Views
Habari zenu wanaJF wenzangu, Kama ilivyo ada au desturi, leo nimekuja na maono mengine ambayo nina amini hapo kabla Hakuna aliewahi kuwa nayo. Maono yenyewe ni kuhusu namna John P. Magufuli...
31 Reactions
55 Replies
4K Views
8Video Clip ipo Chini"Mwigulu Kama Makamba na Nape! Wanasaka za Uchaguzi (ndoto za Urais)" Jana, 08/09/2023 huko Dodoma Serikali kupitia Bunge lake ilipitisha sheria mpya ya manunuzi ya serikali...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM. Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana. Je wataalamu na...
39 Reactions
71 Replies
4K Views
Mhe.Abdallah Nundu Ali maarufu kwa jina la "Mobimba" Diwani kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM na rafiki wa karibu na Mhe. Livingstone Lusinde.
0 Reactions
76 Replies
8K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye swali, hoja, kisha majibu utatoa wewe msomaji mwenyewe. Kuna msemo wa Kiswahili usemao...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
Wanabodi, Naandaa makala ya kuuliza tuuhitimishe vipi mjadala wa IGA ya Bandari yetu na kampuni ya DPW ya Dubai, kabla ya HGA ya Bandari na DPW haijasainiwa?. Jee Tuitishe mdahalo wa wazi, the hot...
16 Reactions
40 Replies
4K Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la kitu kinachoitwa critical thinking, kama wewe sio critical thinker, nakushauri pita mbali na bandiko hili. Angalizo la Uzalendo Watanzania ni watu wa kuridhika...
8 Reactions
33 Replies
4K Views
Katika pitia pitia za Speech za President nimeona hilo. Limenihuzunisha, limetutukanisha, limetushushia hadhi, limezua maswali, limeonesha poor diplomatic experience and expertise ya viongozi...
1 Reactions
6 Replies
744 Views
Wanabodi Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom